Itakuwa hawataki watu wakijue so wasomi wa hiyo fani wanakuwa wachache hivyo wanaongizana wenyewe na watoto wao ni kama vilivyo vyuo vya misitu,hali ya hewa na madini. Hivyo vyuo havijulikani kwa wahitimu mashuleni hata kwenye selform havipo.
Gharama za uendeshaji National Park ni kubwa sana kuliko gharama za kuendesha Game Reserve. Lile pori lilikuwa Game revserve hivyo linaweza kurejeshwa huko ili kusave pesa za uendeshaji kama National Park.
Uende chuo anachotaka akasome uombe nafasi maana kuna madogo waliochaguliwa hivyo vyuo hawataenda hivyo nafasi zinakuwepo baadae kikubwa ni kukomaa na uongozi wa hivyo vyuo. Mwanzoni atakilipia ada ila baadae anaweza kupewa rukuzu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.