Recent content by THE HITCHER

  1. THE HITCHER

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Uzi umepoa,leteni visa yani hata safari za mabasi za usiku ima maana hazijazalisha kimasihara?
  2. THE HITCHER

    Amenitelekeza hotelini, kisa sikwenda na salio la kumpatia

    Unajuta kupoteza mbegu una uhakika gani kama anaujauzito wako? Au una fata kauli yale?
  3. THE HITCHER

    Sevilla ipo nafasi ya 11 la Liga ila bingwa wa Europa mnahoji nini?

    Pia usisahau usm alger ana mechi 3 mkononi akishinda anakua nafasi ya 3
  4. THE HITCHER

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Mkuu premio ya 2008 imaitwaje nisaidie yaweza kua nimekosea ilq mi najua ni maarufu kwa jina hilo maana kila mwaka inatoleo lake Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  5. THE HITCHER

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Wakuu ijumaa asubuh nasafari ya kwenda handeni Tanga, njia ipi nipite? Natokea kahama, ipi nzuri ipi short cut au ushauri pls gari gari ni sedani premio new model ya 2008 Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  6. THE HITCHER

    Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

    Mi nilijua kweli alishawqhi kua dj Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
  7. THE HITCHER

    Waliokuwa watuhumiwa, warasmishwe kuwa Walinzi Chadema

    Lijenje yupo dar ukonga ni mchungaj wa kanisa
  8. THE HITCHER

    DCI Boaz vipi, Mbona amekimbia kesi ya Mbowe?

    Moses lijenje yupo Dar tena ni mchungaji wa kanisa
  9. THE HITCHER

    Yupo wapi Spika Mstaafu, Job Ndugai?

    Nimekosa mimi nimekosa mimi nimekosa san[emoji23]
  10. THE HITCHER

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    Kijana mmoja anejua kazi zote ili nimlipe vizur
  11. THE HITCHER

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    Natafuta kijana mtaam wa kuandaa mabango ya 3d na anae jua car branding na shell mshahara mzur na ofis ipo kanda ya ziwa
  12. THE HITCHER

    Anahitajika kijana fundi wa kutengeneza mabango

    Awe fundi anaejua kutengeneza mabango ya kuwaka,3d anae jua kufanya branding zote kama magari,ku brand shell eneo la kazi ni kanda ya ziwa na mshara mzuri kama yupo anichek kwa no.0746294348
  13. THE HITCHER

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Njoo tuyajenge nipate kisa cha kusimulia [emoji23]
  14. THE HITCHER

    Wakala kaniwezesha kukwepa tozo haramu za miamala

    Mtoa maada yupo sahihi, ni keeli kama alifanya hivyo atakua alipopunguza garama,inaitwa win win situation yani wakala kama angemueekea mteja keenye simu yake,wakala angepata commision ya 280 kea kuweka 150,000/= na hiyo 280 mwisho wa mwezi ina katwa kodi sasa hapoa kapata 1500/= ina maana kapata...
  15. THE HITCHER

    History of Assassinations of Iran's Top Nuclear Scientists

    Ukiona huelewi jua haikuhusu
Back
Top Bottom