Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Salamu kwenye hii dhambi, aagh sio kweli.

Kwanza nikitoka hapa nikatubie.

Wee kitukuu cha Shetani (RIKIBOY) HAUJUI.?

Ni wiki ya tatu tu tangu nimerejea kibongobongo Daslam, moja ya siku katika wiki hizo nikiwa nashangaa majengo ya Posta, nikipiga mdomdo kuelekea Mnazi Mmoja huku akili ikiniambia wazi ya kuwa madanguro mjini yamepata changamoto kwaio huenda hawa unaopishana nao na kuwaona PISI KALI ni WAUZA NYAPU (Nilikuwa tayari kununua).

Nilipoikaribia Mnazi Mmoja, niliamua kujilipua kiume (akili ikiniambia mjini hawatongozi , weka bajeti ) LIWALO NA LIWE, nilimparamia Binti mmoja ambaye kimuonekano sikuwa na uwezo kummiliki na hata ningemmiliki basi kwenye tendo nisingemmudu.

Licha ya kudhani nisingemmudu, nilijitutumua kumuongelesha (vuta picha KAJALA MASANJA asimame na IBRA wa KONDE ).

Mimi: Dada SAMAHANI....
(alinikatisha maneno)

Yeye: Karibu, hapa Kuna vitenge, mashati,
Suruali na Kuna,... ingia tu uone kaka
angu dukani.

((Mimi, kimoyomoyo), ni kweli nina shida na nguo lakini sio mpango kununua ghafla hivyo)

Mimi: Hii bei Gani ?

Yeye: Hio elfu 25

((Kimoyomoyo)Yaani nguo ya kununua Buku tano KARUME , ninunue kwako kwa elfu 25 labda Mimi sio Mimi)

Mimi: na hio hapo je ?
Yeye: Hio na hizo zilizobaki ni kuanzia elfu
30 mpaka 35.
Mimi: Nipe ile ya elfu 25, hio hapo.
Yeye: Sawa ngoja nikufungie, hii itamfaa
sana Mama.
Mimi: Okay, Asante. Sasa nipe namba
yako Incase isipomfaa niirejeshe hapa.

(Sina muonekano mzuri kiivo ila ni hii generation ya kina msemaji wa YANGA, yaani tu mwili tudogo, akili na tundevu ndio zitakufanya ujue ya kuwa mimi ni mtu mzima).

Ila nilipewa namba kwa kuwa nilipendeza maana nilikuwa nimetoka kibaruani plus kumuungisha. (Pia uongeaji tuliendana ,wazaramo wote matapeli)

Nilitoka mdomdo mpaka Mnazi Mmoja nikangoja gari za kuelekea porini kwetu CHANIKA ,huko nikawe mume Bora. (SIKU Ikaisha hivyo)

Siku iliofata, nilielekea kazini huko mjini Posta. Baada ya kazi nikampigia yule tapeli wa elfu 25 yangu (bado roho ikiniuma nimeuziwa nguo ya elfu 5 kwa bei ya 25 elfu)

Mimi : Mambo, ni Mimi.
Yeye: Okay kumbe, niambie.
Mimi: Naomba nikuone nje kidogo ya ofisi Yako.
Yeye: Haiwezekani .
Mimi: Okay, kwaio unanisaidiaje?
Yeye: Haiwezekani siwezi kupoteza muda,
muda ni mali
Mimi: nitalipia muda wako.
Yeye: siwezi.
Mimi: Japo nusu saa tu, niambie niilipie
TSH ngapi?
Yeye: Kwaio unaninunua sio ?
Mimi: Hapana,nanunua muda wako.
Yeye: Okay, nitakujibu baada dakika 5

(Ilipita nusu saa ,nikakata tamaa nikaona dili limebuma kwaio nitafute daladala za kwetu KIVULE FREM KUMI ,nisepe.)

Mara napokea simu ya Bibie.

Yeye: Upo wapi?
Mimi: Nipo KEYS HOTEL, kama unaelekea
RUMUMBA kutokea hapa Mnazi
Mmoja .
Yeye: Okay nakuja.
Mimi: Poa.

(Ikabidi niwahi chap kufika KEYS HOTEL nikakodi chumba, Kisha nikaingia kwenye mgahawa wao kumsubiria Mchumba) NILIJILIPUA.

Yaani kutoka Stendi ya Mnazi Mmoja kufika KEYS HOTEL ni kama umbali wa meter zisizozidi 50.. lakini huyu Binti alitumia nusu saa kufika pale. (Nikajipa ushindi kwa msemo wa wahenga , KAWIA UFIKE)

Huyu Binti ni mzuri na shepu anayo, tatizo lake ni muongeaji sana, alafu imagine amekutana na mimi born town, mzaramo, tapeli.

Ilikuwa rahisi sana kunyanyuka pale restaurant kuelekea chumbani , huko ikawa UKRAINE VS RUSSIA. Kiukweli huyu Binti hana analolijua katika kungonoka ila anatii kila kauli mnapokuwa katika tendo na anaifata.

Nilipiga Bao zangu kadhaa nikidhamiria kupewa na siku nyingine kiwepesi.

Nilifaidi...
Ule weupe, ile shepu, katabia kake kautiifu na alikuwa na nyege kama ilivyokuwa upande wangu.

Story baada ya Tendo .
1.aliniambia amepanga na anaishi na mdogo wake wa kike hivyo sipaswi kufikiria kumtembelea kwake.
2. Ni mpambanaji ambae kwake hakuna kipya chini ya jua.
3. Kiuchumi yuko vizuri kwa kiasi chake.

Niliyogundua baada ya kupewa penzi mara kadhaa....
1. Yeye ni Mke wa mtu. (Yupo tayari kumuacha huyo bwana ake,na atakuwa tayari kuniacha Mimi kama atavyomuacha huyo bwana ake)
2. Ni mpambanaji kweli kweli yaani michongo mingi anaisukuma
3. Mambo ya hisia amepigwa ganzi yaani yupo yupo tu (Imagine yupo tayari kulipia ngono kwa 100 elfu, mradi apate atakacho)
Kwa sasa hivi nina uwezo wa kutumia muda wake mwingi mno kiasi kwamba soon huenda pia akawa na moyo soft soft



Asilolijua.(isivyo bahati ama Bahati mbaya)
1. Mimi ni mume wa mtu (nazani akijua hilo atazidi kupata ganzi ya moyo)
2. Ninachohitaji kutoka kwake ni ile akili yake. (Mianya ,magepu na namna mitikasi kimjini mjini hufanyika)


Cha mtu huliwa na mtu ila nisiwafumanie na MKE wangu.
Tapeli
 
Uliwezaje kumkopesha mwanamke uliemla na akakurudishia ngumu kueleweka
Ni mwanamke ambaye anaakiki ya utaftaji na nahisi kichwani mwake aliplan kusaidiwa zaidi ya hiyo kiufupi huwa anafanya mishe za kilimo katika large scale
 
Wakuu mwenye konekisheni na mtoto mkali hapa chuga anifanyie wepesi maana nimeingia Jana kuhudhuria mkutano wa taasisi ya wahandisi hapa jijini lkn sijui nianzie wapi,,nipo hadi jpili na muda huu Niko hapa picnic ila nahitaji toto zuri ambalo halina mambo mengi kuhusu maokoto asihofu
Kama hujaondoka tuwasiliane
 
Salamu kwenye hii dhambi, aagh sio kweli.

Kwanza nikitoka hapa nikatubie.

Wee kitukuu cha Shetani (RIKIBOY) HAUJUI.?

Ni wiki ya tatu tu tangu nimerejea kibongobongo Daslam, moja ya siku katika wiki hizo nikiwa nashangaa majengo ya Posta, nikipiga mdomdo kuelekea Mnazi Mmoja huku akili ikiniambia wazi ya kuwa madanguro mjini yamepata changamoto kwaio huenda hawa unaopishana nao na kuwaona PISI KALI ni WAUZA NYAPU (Nilikuwa tayari kununua).

Nilipoikaribia Mnazi Mmoja, niliamua kujilipua kiume (akili ikiniambia mjini hawatongozi , weka bajeti ) LIWALO NA LIWE, nilimparamia Binti mmoja ambaye kimuonekano sikuwa na uwezo kummiliki na hata ningemmiliki basi kwenye tendo nisingemmudu.

Licha ya kudhani nisingemmudu, nilijitutumua kumuongelesha (vuta picha KAJALA MASANJA asimame na IBRA wa KONDE ).

Mimi: Dada SAMAHANI....
(alinikatisha maneno)

Yeye: Karibu, hapa Kuna vitenge, mashati,
Suruali na Kuna,... ingia tu uone kaka
angu dukani.

((Mimi, kimoyomoyo), ni kweli nina shida na nguo lakini sio mpango kununua ghafla hivyo)

Mimi: Hii bei Gani ?

Yeye: Hio elfu 25

((Kimoyomoyo)Yaani nguo ya kununua Buku tano KARUME , ninunue kwako kwa elfu 25 labda Mimi sio Mimi)

Mimi: na hio hapo je ?
Yeye: Hio na hizo zilizobaki ni kuanzia elfu
30 mpaka 35.
Mimi: Nipe ile ya elfu 25, hio hapo.
Yeye: Sawa ngoja nikufungie, hii itamfaa
sana Mama.
Mimi: Okay, Asante. Sasa nipe namba
yako Incase isipomfaa niirejeshe hapa.

(Sina muonekano mzuri kiivo ila ni hii generation ya kina msemaji wa YANGA, yaani tu mwili tudogo, akili na tundevu ndio zitakufanya ujue ya kuwa mimi ni mtu mzima).

Ila nilipewa namba kwa kuwa nilipendeza maana nilikuwa nimetoka kibaruani plus kumuungisha. (Pia uongeaji tuliendana ,wazaramo wote matapeli)

Nilitoka mdomdo mpaka Mnazi Mmoja nikangoja gari za kuelekea porini kwetu CHANIKA ,huko nikawe mume Bora. (SIKU Ikaisha hivyo)

Siku iliofata, nilielekea kazini huko mjini Posta. Baada ya kazi nikampigia yule tapeli wa elfu 25 yangu (bado roho ikiniuma nimeuziwa nguo ya elfu 5 kwa bei ya 25 elfu)

Mimi : Mambo, ni Mimi.
Yeye: Okay kumbe, niambie.
Mimi: Naomba nikuone nje kidogo ya ofisi Yako.
Yeye: Haiwezekani .
Mimi: Okay, kwaio unanisaidiaje?
Yeye: Haiwezekani siwezi kupoteza muda,
muda ni mali
Mimi: nitalipia muda wako.
Yeye: siwezi.
Mimi: Japo nusu saa tu, niambie niilipie
TSH ngapi?
Yeye: Kwaio unaninunua sio ?
Mimi: Hapana,nanunua muda wako.
Yeye: Okay, nitakujibu baada dakika 5

(Ilipita nusu saa ,nikakata tamaa nikaona dili limebuma kwaio nitafute daladala za kwetu KIVULE FREM KUMI ,nisepe.)

Mara napokea simu ya Bibie.

Yeye: Upo wapi?
Mimi: Nipo KEYS HOTEL, kama unaelekea
RUMUMBA kutokea hapa Mnazi
Mmoja .
Yeye: Okay nakuja.
Mimi: Poa.

(Ikabidi niwahi chap kufika KEYS HOTEL nikakodi chumba, Kisha nikaingia kwenye mgahawa wao kumsubiria Mchumba) NILIJILIPUA.

Yaani kutoka Stendi ya Mnazi Mmoja kufika KEYS HOTEL ni kama umbali wa meter zisizozidi 50.. lakini huyu Binti alitumia nusu saa kufika pale. (Nikajipa ushindi kwa msemo wa wahenga , KAWIA UFIKE)

Huyu Binti ni mzuri na shepu anayo, tatizo lake ni muongeaji sana, alafu imagine amekutana na mimi born town, mzaramo, tapeli.

Ilikuwa rahisi sana kunyanyuka pale restaurant kuelekea chumbani , huko ikawa UKRAINE VS RUSSIA. Kiukweli huyu Binti hana analolijua katika kungonoka ila anatii kila kauli mnapokuwa katika tendo na anaifata.

Nilipiga Bao zangu kadhaa nikidhamiria kupewa na siku nyingine kiwepesi.

Nilifaidi...
Ule weupe, ile shepu, katabia kake kautiifu na alikuwa na nyege kama ilivyokuwa upande wangu.

Story baada ya Tendo .
1.aliniambia amepanga na anaishi na mdogo wake wa kike hivyo sipaswi kufikiria kumtembelea kwake.
2. Ni mpambanaji ambae kwake hakuna kipya chini ya jua.
3. Kiuchumi yuko vizuri kwa kiasi chake.

Niliyogundua baada ya kupewa penzi mara kadhaa....
1. Yeye ni Mke wa mtu. (Yupo tayari kumuacha huyo bwana ake,na atakuwa tayari kuniacha Mimi kama atavyomuacha huyo bwana ake)
2. Ni mpambanaji kweli kweli yaani michongo mingi anaisukuma
3. Mambo ya hisia amepigwa ganzi yaani yupo yupo tu (Imagine yupo tayari kulipia ngono kwa 100 elfu, mradi apate atakacho)
Kwa sasa hivi nina uwezo wa kutumia muda wake mwingi mno kiasi kwamba soon huenda pia akawa na moyo soft soft



Asilolijua.(isivyo bahati ama Bahati mbaya)
1. Mimi ni mume wa mtu (nazani akijua hilo atazidi kupata ganzi ya moyo)
2. Ninachohitaji kutoka kwake ni ile akili yake. (Mianya ,magepu na namna mitikasi kimjini mjini hufanyika)


Cha mtu huliwa na mtu ila nisiwafumanie na MKE wangu.
Duh
 
Salamu kwenye hii dhambi, aagh sio kweli.

Kwanza nikitoka hapa nikatubie.

Wee kitukuu cha Shetani (RIKIBOY) HAUJUI.?

Ni wiki ya tatu tu tangu nimerejea kibongobongo Daslam, moja ya siku katika wiki hizo nikiwa nashangaa majengo ya Posta, nikipiga mdomdo kuelekea Mnazi Mmoja huku akili ikiniambia wazi ya kuwa madanguro mjini yamepata changamoto kwaio huenda hawa unaopishana nao na kuwaona PISI KALI ni WAUZA NYAPU (Nilikuwa tayari kununua).

Nilipoikaribia Mnazi Mmoja, niliamua kujilipua kiume (akili ikiniambia mjini hawatongozi , weka bajeti ) LIWALO NA LIWE, nilimparamia Binti mmoja ambaye kimuonekano sikuwa na uwezo kummiliki na hata ningemmiliki basi kwenye tendo nisingemmudu.

Licha ya kudhani nisingemmudu, nilijitutumua kumuongelesha (vuta picha KAJALA MASANJA asimame na IBRA wa KONDE ).

Mimi: Dada SAMAHANI....
(alinikatisha maneno)

Yeye: Karibu, hapa Kuna vitenge, mashati,
Suruali na Kuna,... ingia tu uone kaka
angu dukani.

((Mimi, kimoyomoyo), ni kweli nina shida na nguo lakini sio mpango kununua ghafla hivyo)

Mimi: Hii bei Gani ?

Yeye: Hio elfu 25

((Kimoyomoyo)Yaani nguo ya kununua Buku tano KARUME , ninunue kwako kwa elfu 25 labda Mimi sio Mimi)

Mimi: na hio hapo je ?
Yeye: Hio na hizo zilizobaki ni kuanzia elfu
30 mpaka 35.
Mimi: Nipe ile ya elfu 25, hio hapo.
Yeye: Sawa ngoja nikufungie, hii itamfaa
sana Mama.
Mimi: Okay, Asante. Sasa nipe namba
yako Incase isipomfaa niirejeshe hapa.

(Sina muonekano mzuri kiivo ila ni hii generation ya kina msemaji wa YANGA, yaani tu mwili tudogo, akili na tundevu ndio zitakufanya ujue ya kuwa mimi ni mtu mzima).

Ila nilipewa namba kwa kuwa nilipendeza maana nilikuwa nimetoka kibaruani plus kumuungisha. (Pia uongeaji tuliendana ,wazaramo wote matapeli)

Nilitoka mdomdo mpaka Mnazi Mmoja nikangoja gari za kuelekea porini kwetu CHANIKA ,huko nikawe mume Bora. (SIKU Ikaisha hivyo)

Siku iliofata, nilielekea kazini huko mjini Posta. Baada ya kazi nikampigia yule tapeli wa elfu 25 yangu (bado roho ikiniuma nimeuziwa nguo ya elfu 5 kwa bei ya 25 elfu)

Mimi : Mambo, ni Mimi.
Yeye: Okay kumbe, niambie.
Mimi: Naomba nikuone nje kidogo ya ofisi Yako.
Yeye: Haiwezekani .
Mimi: Okay, kwaio unanisaidiaje?
Yeye: Haiwezekani siwezi kupoteza muda,
muda ni mali
Mimi: nitalipia muda wako.
Yeye: siwezi.
Mimi: Japo nusu saa tu, niambie niilipie
TSH ngapi?
Yeye: Kwaio unaninunua sio ?
Mimi: Hapana,nanunua muda wako.
Yeye: Okay, nitakujibu baada dakika 5

(Ilipita nusu saa ,nikakata tamaa nikaona dili limebuma kwaio nitafute daladala za kwetu KIVULE FREM KUMI ,nisepe.)

Mara napokea simu ya Bibie.

Yeye: Upo wapi?
Mimi: Nipo KEYS HOTEL, kama unaelekea
RUMUMBA kutokea hapa Mnazi
Mmoja .
Yeye: Okay nakuja.
Mimi: Poa.

(Ikabidi niwahi chap kufika KEYS HOTEL nikakodi chumba, Kisha nikaingia kwenye mgahawa wao kumsubiria Mchumba) NILIJILIPUA.

Yaani kutoka Stendi ya Mnazi Mmoja kufika KEYS HOTEL ni kama umbali wa meter zisizozidi 50.. lakini huyu Binti alitumia nusu saa kufika pale. (Nikajipa ushindi kwa msemo wa wahenga , KAWIA UFIKE)

Huyu Binti ni mzuri na shepu anayo, tatizo lake ni muongeaji sana, alafu imagine amekutana na mimi born town, mzaramo, tapeli.

Ilikuwa rahisi sana kunyanyuka pale restaurant kuelekea chumbani , huko ikawa UKRAINE VS RUSSIA. Kiukweli huyu Binti hana analolijua katika kungonoka ila anatii kila kauli mnapokuwa katika tendo na anaifata.

Nilipiga Bao zangu kadhaa nikidhamiria kupewa na siku nyingine kiwepesi.

Nilifaidi...
Ule weupe, ile shepu, katabia kake kautiifu na alikuwa na nyege kama ilivyokuwa upande wangu.

Story baada ya Tendo .
1.aliniambia amepanga na anaishi na mdogo wake wa kike hivyo sipaswi kufikiria kumtembelea kwake.
2. Ni mpambanaji ambae kwake hakuna kipya chini ya jua.
3. Kiuchumi yuko vizuri kwa kiasi chake.

Niliyogundua baada ya kupewa penzi mara kadhaa....
1. Yeye ni Mke wa mtu. (Yupo tayari kumuacha huyo bwana ake,na atakuwa tayari kuniacha Mimi kama atavyomuacha huyo bwana ake)
2. Ni mpambanaji kweli kweli yaani michongo mingi anaisukuma
3. Mambo ya hisia amepigwa ganzi yaani yupo yupo tu (Imagine yupo tayari kulipia ngono kwa 100 elfu, mradi apate atakacho)
Kwa sasa hivi nina uwezo wa kutumia muda wake mwingi mno kiasi kwamba soon huenda pia akawa na moyo soft soft



Asilolijua.(isivyo bahati ama Bahati mbaya)
1. Mimi ni mume wa mtu (nazani akijua hilo atazidi kupata ganzi ya moyo)
2. Ninachohitaji kutoka kwake ni ile akili yake. (Mianya ,magepu na namna mitikasi kimjini mjini hufanyika)


Cha mtu huliwa na mtu ila nisiwafumanie na MKE wangu.
Umetisha tapeli
 
jaman msada hivi ikoje kila napomsogelea bint kwa ajili ya kumtongoza nikiwa naye zero distance lazma nipige chafya na haikuwahi tokea chafya akaja afu nimkose ila isipokuja nimekosa

na mara nyingi inakuja hasa napotaka kumkumbatia hivi

kifupi pia tongoza yangu sio maneno nakupenda sijui blabla kibao
kihuni huni saana naweza shika tu mkono mchekeshe kidogo mvute karibu chafya hiyo
 
jaman msada hivi ikoje kila napomsogelea bint kwa ajili ya kumtongoza nikiwa naye zero distance lazma nipige chafya na haikuwahi tokea chafya akaja afu nimkose ila isipokuja nimekosa

na mara nyingi inakuja hasa napotaka kumkumbatia hivi

kifupi pia tongoza yangu sio maneno nakupenda sijui blabla kibao
kihuni huni saana naweza shika tu mkono mchekeshe kidogo mvute karibu chafya hiyo
Tafuta pesa Kaka.
 
Nakumbuka niko zangu home, demu ananitext,”mambo” nikajibu “Poa!” Baada ya hapo text zikawa nyingi, mara “ I am hungry “! Nikaagiza chakula si huyooooo akaja kuchukuwa, baadaye akaamuwa kulia chakula hicho kwangu, huku tukiendelea kupiga story,
Baadaye akauliza kama nina wine, bahati nzuri huwa ipo 24/7, mida mida nikaomba mzigo si akachomoa! Hadi akatoka nje kabisa
emoji2365.png
. Duh?! Baada ya dakika kama 2 hivi, nikaona anakuja na kuniuliza, “ una cond*ms?!” Nikajibu “ninazo!” Yeye ni single mother hakutaka kubebeshwa mimba nyingine!, kilichofuata ni kula mzigo kimasihara, sikurudia tena! Mwisho akauliza” how unakaa na ndomu ndani muda wote!?!” Nikamjibu tu kuwa ni for precautions!
It was a good sex ever though and we are good friends
Chai jaba.
 
Salamu kwenye hii dhambi, aagh sio kweli.

Kwanza nikitoka hapa nikatubie.

Wee kitukuu cha Shetani (RIKIBOY) HAUJUI.?

Ni wiki ya tatu tu tangu nimerejea kibongobongo Daslam, moja ya siku katika wiki hizo nikiwa nashangaa majengo ya Posta, nikipiga mdomdo kuelekea Mnazi Mmoja huku akili ikiniambia wazi ya kuwa madanguro mjini yamepata changamoto kwaio huenda hawa unaopishana nao na kuwaona PISI KALI ni WAUZA NYAPU (Nilikuwa tayari kununua).

Nilipoikaribia Mnazi Mmoja, niliamua kujilipua kiume (akili ikiniambia mjini hawatongozi , weka bajeti ) LIWALO NA LIWE, nilimparamia Binti mmoja ambaye kimuonekano sikuwa na uwezo kummiliki na hata ningemmiliki basi kwenye tendo nisingemmudu.

Licha ya kudhani nisingemmudu, nilijitutumua kumuongelesha (vuta picha KAJALA MASANJA asimame na IBRA wa KONDE ).

Mimi: Dada SAMAHANI....
(alinikatisha maneno)

Yeye: Karibu, hapa Kuna vitenge, mashati,
Suruali na Kuna,... ingia tu uone kaka
angu dukani.

((Mimi, kimoyomoyo), ni kweli nina shida na nguo lakini sio mpango kununua ghafla hivyo)

Mimi: Hii bei Gani ?

Yeye: Hio elfu 25

((Kimoyomoyo)Yaani nguo ya kununua Buku tano KARUME , ninunue kwako kwa elfu 25 labda Mimi sio Mimi)

Mimi: na hio hapo je ?
Yeye: Hio na hizo zilizobaki ni kuanzia elfu
30 mpaka 35.
Mimi: Nipe ile ya elfu 25, hio hapo.
Yeye: Sawa ngoja nikufungie, hii itamfaa
sana Mama.
Mimi: Okay, Asante. Sasa nipe namba
yako Incase isipomfaa niirejeshe hapa.

(Sina muonekano mzuri kiivo ila ni hii generation ya kina msemaji wa YANGA, yaani tu mwili tudogo, akili na tundevu ndio zitakufanya ujue ya kuwa mimi ni mtu mzima).

Ila nilipewa namba kwa kuwa nilipendeza maana nilikuwa nimetoka kibaruani plus kumuungisha. (Pia uongeaji tuliendana ,wazaramo wote matapeli)

Nilitoka mdomdo mpaka Mnazi Mmoja nikangoja gari za kuelekea porini kwetu CHANIKA ,huko nikawe mume Bora. (SIKU Ikaisha hivyo)

Siku iliofata, nilielekea kazini huko mjini Posta. Baada ya kazi nikampigia yule tapeli wa elfu 25 yangu (bado roho ikiniuma nimeuziwa nguo ya elfu 5 kwa bei ya 25 elfu)

Mimi : Mambo, ni Mimi.
Yeye: Okay kumbe, niambie.
Mimi: Naomba nikuone nje kidogo ya ofisi Yako.
Yeye: Haiwezekani .
Mimi: Okay, kwaio unanisaidiaje?
Yeye: Haiwezekani siwezi kupoteza muda,
muda ni mali
Mimi: nitalipia muda wako.
Yeye: siwezi.
Mimi: Japo nusu saa tu, niambie niilipie
TSH ngapi?
Yeye: Kwaio unaninunua sio ?
Mimi: Hapana,nanunua muda wako.
Yeye: Okay, nitakujibu baada dakika 5

(Ilipita nusu saa ,nikakata tamaa nikaona dili limebuma kwaio nitafute daladala za kwetu KIVULE FREM KUMI ,nisepe.)

Mara napokea simu ya Bibie.

Yeye: Upo wapi?
Mimi: Nipo KEYS HOTEL, kama unaelekea
RUMUMBA kutokea hapa Mnazi
Mmoja .
Yeye: Okay nakuja.
Mimi: Poa.

(Ikabidi niwahi chap kufika KEYS HOTEL nikakodi chumba, Kisha nikaingia kwenye mgahawa wao kumsubiria Mchumba) NILIJILIPUA.

Yaani kutoka Stendi ya Mnazi Mmoja kufika KEYS HOTEL ni kama umbali wa meter zisizozidi 50.. lakini huyu Binti alitumia nusu saa kufika pale. (Nikajipa ushindi kwa msemo wa wahenga , KAWIA UFIKE)

Huyu Binti ni mzuri na shepu anayo, tatizo lake ni muongeaji sana, alafu imagine amekutana na mimi born town, mzaramo, tapeli.

Ilikuwa rahisi sana kunyanyuka pale restaurant kuelekea chumbani , huko ikawa UKRAINE VS RUSSIA. Kiukweli huyu Binti hana analolijua katika kungonoka ila anatii kila kauli mnapokuwa katika tendo na anaifata.

Nilipiga Bao zangu kadhaa nikidhamiria kupewa na siku nyingine kiwepesi.

Nilifaidi...
Ule weupe, ile shepu, katabia kake kautiifu na alikuwa na nyege kama ilivyokuwa upande wangu.

Story baada ya Tendo .
1.aliniambia amepanga na anaishi na mdogo wake wa kike hivyo sipaswi kufikiria kumtembelea kwake.
2. Ni mpambanaji ambae kwake hakuna kipya chini ya jua.
3. Kiuchumi yuko vizuri kwa kiasi chake.

Niliyogundua baada ya kupewa penzi mara kadhaa....
1. Yeye ni Mke wa mtu. (Yupo tayari kumuacha huyo bwana ake,na atakuwa tayari kuniacha Mimi kama atavyomuacha huyo bwana ake)
2. Ni mpambanaji kweli kweli yaani michongo mingi anaisukuma
3. Mambo ya hisia amepigwa ganzi yaani yupo yupo tu (Imagine yupo tayari kulipia ngono kwa 100 elfu, mradi apate atakacho)
Kwa sasa hivi nina uwezo wa kutumia muda wake mwingi mno kiasi kwamba soon huenda pia akawa na moyo soft soft



Asilolijua.(isivyo bahati ama Bahati mbaya)
1. Mimi ni mume wa mtu (nazani akijua hilo atazidi kupata ganzi ya moyo)
2. Ninachohitaji kutoka kwake ni ile akili yake. (Mianya ,magepu na namna mitikasi kimjini mjini hufanyika)


Cha mtu huliwa na mtu ila nisiwafumanie na MKE wangu.
CHAI
 
Back
Top Bottom