Mwanaume kazi...! vunja msitu, hama dar es salaam kama huna cha kufanya, sio unasafisha vyoo kwa salary ya 120 elfu!
mwanaume kukimbia kijijini ni ujinga +ve++++++!
futa hii kauli kwanza niweze kuchangia mada,
serikali haipati mapato kupitia uchangudoa, hivyo si kazi halali.
uchangudoa hauna valid certificate, where is the profession given from? so hii si kazi halali, otherwise jukwaa la kazi lingejaa nafasi za kazi za uchangudoa.
Machangudoa hawana haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.