Recent content by The Great Genius

  1. The Great Genius

    Muungano ukivunjika, Zanzibar kuwa 'Dubai ndogo'

    Hiyo ni jazba mkuu. Usiseme hivyo.
  2. The Great Genius

    Muungano ukivunjika, Zanzibar kuwa 'Dubai ndogo'

    Kuna wanaoamini kuwa uwepo wa muungano ni kikwazo kwa Wazanzibar ktk kutumia fursa walizonazo ili kujiletea maendeleo yao, hilo sio jambo la kufumbia macho au kudharau. Kuna wanaoamini kuwa hata kama muungano huu utavunjika inawezekana isiwe ndio mwisho wa matatizo ya wazanzibar. Hawa nanaamini...
  3. The Great Genius

    Vodacom yazindua kupiga simu kwa bei nafuu, na ofa ya ujumbe mfupi/SMS na intaneti

    Hata hivyo hiyo offer ya kupiga ilikuwepo kama 2-3 months ago(kama sijakosea), mpaka inaisha hata sikumbuki kama niliitumia. Mimi naami hii offer inalenga kundi fulani la watu, sidhani kama mtu mzima na heshima yako utasubiri usiku ufike ndio upige simu. Mazumgumzo gani hayo ya kusubiri usiku...
  4. The Great Genius

    Namna ya kufungua computer bila kufahamu user password

    Mkuu siku hizi tunatumia tracking system, pasword haizuii kitu.
  5. The Great Genius

    Vodacom yazindua kupiga simu kwa bei nafuu, na ofa ya ujumbe mfupi/SMS na intaneti

    Kwa kuanzia sio mbaya sana. Ila wapunguze gharama za internet, maana matumizi ya internet sio FB na Twitter tu.
  6. The Great Genius

    Jinsi ya kudownload vitabu na link zake

    Mimi hutumia p2p managers eg. Mediaget au Somud. Unaadika tu jina inaleta list ndefu tu, wewe unafanya kuchagua.
  7. The Great Genius

    Microsoft proffesional 2010

    Labda ndio feedback yenyewe mkuu, si unajua kibongo bongo!
  8. The Great Genius

    Vga setup ya dell latitude d6500

    Ili siku nyingine usiumize kichwa sana jaribu kutumia Drive identifier. Inakusaidia ku identify drivers zote zinazomiss kwenye windows yako. Ukii run inaleta list ya driver zote compartible pamoja na status, then utatakiwa kudownload au ku updated kulingana na mahitaji yako. Mambo ya...
  9. The Great Genius

    Zantel wapunguza gharama za internet

    Vipi hiyo UNLIMITED vigezo na masharti havijazingatiwa? Maana tunaona kwa Voda, Tigo na TTCL speed inakuwa limited.
  10. The Great Genius

    Zantel wapunguza gharama za internet

    Bado kwa hapa bongo internet services ni expensive sana hasa kwa wenye matumizi makubwa ya internet. Airtel 400mb inafaa kwa ku surf na matumizi madogo madogo tu, lakini si kwa matumizi makubwa. I think we still have a long way to go.
  11. The Great Genius

    Utajuaje kama mpenzi wako ni mwaminifu au la?

    Hapo kwenye red naona umeteleza kidogo Smile. Huna sababu ya kusema wanaume wote si waaminifu kwa sababu huna ushahidi. Hapa nina maana kwamba hata mwenzio hujui uaminifu wake kwako, kwa hiyo huna sababu ya kumtilia mashaka kwani hujui kitu chochote juu hilo.
  12. The Great Genius

    Mh. Mtei: Baraza jipya la mawaziri; Uwiano umezingatiwa?

    Mimi kwanza nimeishaanza kutilia mashaka wachangiaji wa hizi threads zenye udini. Inawezekana kuna watu wana IDs hadi kumi kwa ajili ya kuchangia mambo haya. Sitarajii kama tuna watu wengi humu jf (great thinkers) wenye mawazo ya kidini kiasi hicho. Maana utakuta mtu anaanzisha thread isiyo na...
  13. The Great Genius

    Mh. Mtei: Baraza jipya la mawaziri; Uwiano umezingatiwa?

    Kila siku udini... udini... udini.... hadi kichwa kinauma. Hivi kweli, ulishajiuliza ikiwa kiongozi fulani wa dini yako amekufanyia nini cha ziada personally kwa nafasi yake serikalini. Mbona wote mafisadi tu, wanakukumbuka saa ngapi. Nyie mtaishia tu kupigana vikumbo, huku wenzenu wanazidi kula...
Back
Top Bottom