usimchunguze sana bata banaa...
wewe enjoy your part
hakuna mwanaume mwaminifu...
wanaume wote ni sawa tofauti majina tu my dia....
mmmmh smile hapo kwenye red,vipi kuhusu wanawake?
usimchunguze sana bata banaa...
wewe enjoy your part
hakuna mwanaume mwaminifu...
wanaume wote ni sawa tofauti majina tu my dia....
asinipende? aninyanyase na watoto.aache kuniheshimu na kunithamini.... na malovee yote aache kuprovide
ila kama ananiacha shwari mi poa tu
ila nisijue
wangu muaminifu lol kazi kwako smile...............:drama::coffee:
anamegwa kama kawaida...