Sio hvyo tu mkuu, wengne kabla ya umauti huwa wanaomba wapikiwe aina flan ya chakula, au hata huomba maji ya kunywa....haya mambo kina mshana jr wanaeza kufafanua zaid, wamebobea ktk hz fani ngoja tumuite aje
kukaa kwa mashemeji au mawifi hakujawahi kumwacha mtu salama...
Maisha ni magum sawa ila mtu ukijitegemea kwa kujituma kufanya kaz hata ya kubeba zege ni salama zaid kuliko kukaa na kumtegemea ndugu...Maisha ya manyanyaso kutoka kwa ndugu ndiyo yaliyosababisha niweke degree yangu pembeni na...
Mdogo wako amekomaa kiimani, pamoja na kupigwa anarudi kwa bwana ake akiamini ipi siku hatapigwa tena, by the way tafuten namna ya kuwaweka sawa lkn si kuwatenganisha maana kilichowafanya wakaamua kuishi pamoja wanakijua wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.