Recent content by The Gojo

  1. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Hizi nyimbo nazitafuta sana. 1. Www.mapenzi abdul misambano akiwa na tam tam ikibidi nipate nyimbo zao zote walizoimba akiwemo sekedia 2. Picco mapenzi hamna tena
  2. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Kero katika stendi kuu ya mabasi Dodoma

    Samahani mkuu, nimeandika nikiwa kwenye basi nasafiri. Nadhani nimerekebisha
  3. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Kero katika stendi kuu ya mabasi Dodoma

    Habari! Nataka kufikisha kero hii kwa niaba ya wasafiri wanaoingia na kutoka katika Stand Kuu ya Mabasi, Dodoma. Kila mtu anajua kuwa ni wajibu wa raia kulipa kodi, lakini ni lazima kuwe na mantiki katika hiyo kodi. Nimeshangazwa sana na utaratibu wa ushuru uliowekwa katika stand hii ambao...
  4. The Gojo

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mwanaume ndiye Mtu wa kwanza kuzuia Mimba zisizopangwa

    UTANGULIZI: ▪︎Mimba zisizotarajiwa zimekuwa tatizo sugu kwa miaka mingi katika jamii yetu. Nataka kusaidia kuondoa mimba zisizopangwa kwa kumuelimisha mtoto wa kiume ambae ndiye huweka mimba. Ni rahisi, mwanaume anatakiwa ajue na kuelewa mzunguko wa hedhi wa mwanamke kwa usahihi. Hitaji la...
  5. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    Matokeo kura za maoni manyoni kaka molemo,or ....anybody with the results!!!
  6. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CHADEMA nchini kote

    matokeo ya kura za maoni wilaya ya manyoni -Singida tafadhali.
  7. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Kamati Kuu CCM kukutana Mei 23 Dodoma kujadili ajenda mbalimbali

    lowassa kaingia vyuoni,wanavyuo njaa wanapita kuandkisha majina et...akipia URAIS atawakumbuka. njooni muone Mzumbe MBEYA,Teku,MUST,T.I.A ni aibuuuu
  8. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya shirika la Kijasusi la kanisa Katoliki duniani na Tanzania

    saaaaaafi sana kamanda
  9. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Tazama hii picha ya Dr. Amani Kabourou enzi akiwa CHADEMA, halafu mfikirie na Zitto

    Watu wenye fikra pana na wanaomjua vema zzk,hawana muda wa kupoteza. wanasema c mwanasiasa,ni mpiga DILI,msaliti pure!!!!
  10. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa ahojiwa kwa masaa sita (6) Central Police...

    Ni upumbavu tu kuamini tz itapga hatua kwa ccem kuendelea kutawala! Police ni walewale,na hata uwe msomi kiasi gani ukiwa ccem sharit ujitoe ufahamu na uiweke elimu yako mfukoni.
  11. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Simiyu: Kamanda Ramadhan J Mayenga wa CHADEMA afariki Dunia

    R.I.P Mayenga.... tindilaga poleeee!!! I mean pumzika kwa amani.
  12. The Gojo

    JamiiForums Tanzania TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    R.I.P Komba
  13. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Membe aapa kuwaangamiza wafanyabiashara wa mawe mkoa wa Arusha

    teheheheeee!!! lugendo kutalee
  14. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Katibu wa CHADEMA Hanang

    Mmmh?? hii ndo Tanzania, kutenda haki ni muujiza. R.I.P
  15. The Gojo

    JamiiForums Tanzania Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

    TIGO kukoje wakuu?
Back
Top Bottom