asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Katibu wa chadema wa kijiji cha Min'genyi wa chadema auawa kikatili na mgambo wawili kwa kugongwa na gari la Mwalimu Gidasaida.
Katibu huyo alimpeleka mwandishi wa habari wa ITV kumuhoji Mwekezaji wa shamba la Gidaagamodi kumuhoji kuhusu uonevu wa kuwanyanyasa wananchi jirani na shamba lake.
Huu ukatili ni wa kuupiga vita, haki itendeke.kwani inavyonekana mwenyekiti wa kijiji na Afisa mtendaji wa kata wanafahamu kinachoendelea.
Katibu huyo alimpeleka mwandishi wa habari wa ITV kumuhoji Mwekezaji wa shamba la Gidaagamodi kumuhoji kuhusu uonevu wa kuwanyanyasa wananchi jirani na shamba lake.
Huu ukatili ni wa kuupiga vita, haki itendeke.kwani inavyonekana mwenyekiti wa kijiji na Afisa mtendaji wa kata wanafahamu kinachoendelea.