Recent content by tHe gIFT

  1. T

    Miezi Mitano ya Juliana Shonza na Mtela Mwampamba: Tathmini ya Kupata au Kuliwa?

    Hakika kama ikifika mahali ccm ikakikabadilika na kuwa kama mnavyotamani(mtoa mada na mliochangia), pengine unaweza ukawa mwanzo mwema wa mabadiliko katika hili taifa. Nasema hivi kwa kumaanisha kuwa ccm ndio mnaotuvuruga(taifa) kwa kuwapa watu wasio na hekima kuwa mstari wa mbele. M4c forward...
  2. T

    Kwa nini CCM ikihofie CHADEMA?

    Kaka kusema kwamba ccm wanalakujisifia kwa kushika dola nusu karne ni makosa makubwa, wanapaswa kijisifia kwa kuakisi kule tunakoelekea kwa kuwa ndiko panapotoa taswira halisi ya kufa ama kustawi kwake.
  3. T

    Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

    Lazima ccm sisimu tuipeleke pale makumbusho iwe sehemu ya kivutio cha utalii hapa arusha,,,ushindi wa chadema ni ushindi wa haki
  4. T

    Live Updates: Uchaguzi wa Kata nne Arusha tarehe 14 July 2013

    Arusha tuchague kufa ama kuishi ila lazima ccm tuipeleke pale makumbusho iwe sehemu ya kivutio cha utalii....backward never, forward ever
  5. T

    Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

    Acheni umbumbumbu watanzania wenzangu mnaosema eti tutaipiga rwanda kisa ni ndogo kijokrafia, ni nani aliwafundisha kuwa uimara wa jeshi ama wa taifa unapimwa kwa misingi ya ukubwa wa ardhi??? Pumbafu nyie hamjui historia mnaandika tuu....kama nchi kuwa kubwa ndiyo inakuwa na jeshi nzuri mbona...
  6. T

    Ni kweli mgombea wa chadema erelai ajisalimisha kwa mwigulu nchemba hii leo,chadema kususia uchaguzi

    Mtoa mada amenitia hasira sana, hii ni kwasababu maandiko yake yanaudhi na kuchefua hususani pale anapomtaja Mwigulu kama shujaa, basi tuu acheni Mungu aitwe Mungu maana mimi ningelikuwa ndiyo Mungu nisingekuwa nimemuacha hai hadi muda huu kwani nina mchukulia kama gaidi kwenye kibali cha...
  7. T

    Sumaye awekeza Shilingi Milioni 931 Benki ya CRDB

    tusiubari ufisadi ndugu zangu, nyie mnaotaka ushaidi mmeipata wapi hiyo mamlaka? nyie ni mahakama?. kutoa taarifa ya malalamiko ni universal right, ushaidi ni hatua ingine tofauti.
  8. T

    Tuhuma nzito kwa CHADEMA: Barua yao ya kuhujumu nchi yanaswa!

    Taifa limetumbulia katika siasa zisizo na mwisho, tumekuwa watu wakuwaza uchaguzi kila baada ya uchaguzi. Yale yanayojadiliwa lengo la wahusika ni kujiimarisha wao, vyama vyao na siyo vinginevyo, pengine hii ndiyo hasara kubwa ya vyama vingi
  9. T

    Lipumba amepoteza hadhi ya kuwa Mwenyekiti CUF

    hii swala ni mtambuka, linahitaji umakini na busara katika kulijadili.. huenda kama taifa tukawa tunaelekea tusikopajua
  10. T

    Hii la mahakama ya kadhi limekaaje?

    Ni busara hiyo mahakama ikianzishwa nje ya serikali, uwe utaratibu wa waislamu na siyo serikali. Hilo litasaidia serikali kuwajibika kwa watanzania na siyo kwa dini
  11. T

    Tundu Lissu awa ndio nguzo kubwa ya katiba mpya bora- CCM wamuundia mizengwe aisiijadili

    Eee mungu, muumba wa mbingu na nchi utuepushe na hila zote zenye nia yakukwamisha ndoto yetu yakuwa na taifa la haki,usawa na uadilifu... Wataichelewesha haki yetu lakin hawataweza kufanya hivyo milele
  12. T

    Kwa rasimu hii, CCM inakufa

    Let us wait and see what will happen at near future.......kupambana na ccm ni sawa na kucheza kamari, unaliwa au ule. Kwan wao ushindi kwa nilazima hata kwa njia za giza
  13. T

    RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

    Watu wengi hawajui kwanin muungano ulikuwapo? Hatupendi kujiuliza hilo badala yake tunakimbilia ama kuuvunja au kuuimarisha pasipo kujua chanzo cha uwepo wake. Hata watawala wetu wanapata kigugumiza kusema kam tulilazimishwa na mabepari.hil n tatizo
  14. T

    Kunyimwa dhamana kwa m.kiti wa vijana CUF kwa kosa la uchochezi, yathibitisha CDM inabebwa na CCM

    Sasa kifo cha cuf nje nje, miti yote inaanza kuteleza. Huruma yenu iko wapi kwa ccm mliyo onyesha mkaamua serikal ya pamoja z'bar? Je mmeshajua uamuzi wenu haukuwa sahih? Iweni wajanja kama nyoka, wapole kama maua
  15. T

    Miezi 6 ya Mangula kuwang'oa mafisadi CCM yayeyuka, adaiwa kukata tamaa!

    Pengine ameamua kutumia japo busara kidogo ya kukaa kimya baada ya kujua kwamba chama hakiokoki tena na akaamua kuwaacha nape na mwigulu waendelee na kaz ya kujaza maji kwenye pakacha linalovuja.....si wakatishi tamaa maana kufanya hivyo n dhambi kuu
Back
Top Bottom