Kwa nini CCM ikihofie CHADEMA?

Kwa nini CCM ikihofie CHADEMA?

Kaka kusema kwamba ccm wanalakujisifia kwa kushika dola nusu karne ni makosa makubwa, wanapaswa kijisifia kwa kuakisi kule tunakoelekea kwa kuwa ndiko panapotoa taswira halisi ya kufa ama kustawi kwake.
 
Zemarcopolo anaishi kwenye utopia akipumua hewa ya Lumumba;eti ccm had an option to reject mfumo wa vyama vingi?hata kama mnalipwa na lumumba, watanzania wa leo wanajua maana na umuhimu wa liberal democracy;halafu hoja yako kwamba Tanzania is second to USA in terms of opportunities available kwa wananchi ni hoja ya kipuuzi;unatumia framework gani kufikia conclusion ya ovyo namna hii...

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Tatizo lako umezoa kubebwabebwa ndio maana ukiachwa usimame kwa miguu yako unaporomoka. Kama huoni fursa zilizokuzunguka pamoja na kubebwabebwa kwako kote basi huna manufaa kwa jamii. Utaishia kuandika nadharia tu ambazo hazina tija yoyote kwenye maisha ya kila siku.

Msome mwenzako aliyeona fursa huyu hapa.

hate it or luv it,its so inspiring,tukibadili mfumo wa elimu yetu,mitahala ianze kuandaa enterpreneurs na sio employee,tz ni miongoni mwa nchi chache dunia ambazo kuna fursa za kufa mtu,enterpreneurs ndio watatawala dunia,pamoja na kuwa familia imembeba lkn pia elimu aliyoipata Mo abroad ilimuandaa vizuri kuwa succesful enterprenuer,by the way tuliopo humu humu na elimu yetu hii hii inawezekana tukatoboa hata km hatuna background nzur ya kifedha,ujasiriamali na utajiri unachangiwa na ubunifu,fursa,wazo,kujiamini na kusimamia maamuzi.
 
Wakati CCM inaruhusu mfumo wa vyama vingi ilijua kuwa kutakuwa na changamoto kwenye kushika dola. CCM ingekuwa inaogopa upinzani isingeruhusu uwepo.

Kuweza kushika dola miaka zaidi ya 20 tangu upinzani uanzishwe ni mafanikio makubwa. CCM imeweka rekodi ya kudumu madarakani zaidi ya robo karne tangu kuanzisha upinzani!

Kwahiyo wapinzani Tanzania kwa robo karne wameshindwa kuwaconvince wananchi waisahau CCM. Hiyo ndio hali halisi iliyopo hivi sasa.

Masuala ya mwaka 2015 tusubiri 2015, mpira dakika 90 ingawa muda wa nyongeza kwenye fainali upo na ikibidi penati...

Lkini 4 bila hizi zikiendelea mpaka tunafika 2015 hata wewe utakuwa umehamia CHADEMA. Tunaewajua wachumia tumbo kwa kuhamahama vyama!halafu kuweni wakweli WIZI WA KURA UNAWABEBA SANA.
 
Tatizo lako umezoa kubebwabebwa ndio maana ukiachwa usimame kwa miguu yako unaporomoka. Kama huoni fursa zilizokuzunguka pamoja na kubebwabebwa kwako kote basi huna manufaa kwa jamii. Utaishia kuandika nadharia tu ambazo hazina tija yoyote kwenye maisha ya kila siku.

Msome mwenzako aliyeona fursa huyu hapa.
Typical misukule ya ccm pale lumumba ambayo imelogwa akili na kuwa progammed kuja JF to make smear attacks kwa wana ccm wanaokataa direction ya chama inayoelekea kuzimu;Una bahati identity yako humu ni ya kimsukule, vinginevyo between you and Mpoki Emmanuel Mwambulukutu tungejua nani anabebwa, but more importantly, nani hawezi kushusha utu wake na kutumikia mambo ya kipuuzi;Vinginevyo between you and me, its just a matter of time before haijajulikana nani chose the right side of history na nani chose the wrong side of history, of which definately you are the later and I am the former;

Hivi unajua maana ya fursa ni nini na wananchi wa kawaida (70% of the population) Tanzania wana changamoto gani kufikia fursa husika chini ya mfumo wa sasa wa ccm unaoendekeza uliberali mamboleo na soko huria HOLELA? Nenda kajipande vizuri na hoja kwani hata misukule inayoishi juu ya dari huwa mara nyingine inapata fahamu and make sense of the real world japo kwa muda mfupi;Pole sana kwa maisha ya kimsukule kwenye dari lumumba;Lakini yana mwisho na utarudi tu duniani siku moja lakini utaepuka aibu kwani hakuna atakayejua ulikuwa msukule hence get away with rekodi yako iliyojaa madudu kuliko mambo ya maana kwa watanzania humu JF;

Talking about ccm had an option kukataa mfumo wa vyama vingi? Ni wewe na misukule wenzako tu ndio mliolishwa ujinga huu; Talking about Tanzania is only second to the US in terms of opportunities available kwa wananchi? Hayo ni matokeo ya kusoma shule za kata na baadae kuwa wavivu wa kusoma na badala yake kusikiliza hotuba tu na porojo za wakubwa zenu kwa mwendo wa zidumu fikra; Rudi hapa upinge hoja zangu hizi mbili kwa hoja, kwanza jadili ccm ingeweza vipi kwenda on collision course na wimbi na liberal democracy, pili njoo na analytical framework ku defend hoja yako kwamba Tanzania is second to the free world (USA) in terms of offering livelihood opportunities kwa wananchi wake; nje ya hapo ukiamua kukwepa kurekebisha hoja zako za kipuuzi, njoo na version yako na msukule with smear attacks and I will see what makes sense to respond and what doesn't;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Typical misukule ya ccm pale lumumba ambayo imelogwa akili na kuwa progammed kuja JF to make smear attacks kwa wana ccm wanaokataa direction ya chama inayoelekea kuzimu;Una bahati identity yako humu ni ya kimsukule, vinginevyo between you and Mpoki Emmanuel Mwambulukutu tungejua nani anabebwa, but more importantly, nani hawezi kushusha utu wake na kutumikia mambo ya kipuuzi;Vinginevyo between you and me, its just a matter of time before haijajulikana nani chose the right side of history na nani chose the wrong side of history, of which definately you are the later and I am the former;

Hivi unajua maana ya fursa ni nini na wananchi wa kawaida (70% of the population) Tanzania wana changamoto gani kufikia fursa husika chini ya mfumo wa sasa wa ccm unaoendekeza uliberali mamboleo na soko huria HOLELA? Nenda kajipande vizuri na hoja kwani hata misukule inayoishi juu ya dari huwa mara nyingine inapata fahamu and make sense of the real world japo kwa muda mfupi;Pole sana kwa maisha ya kimsukule kwenye dari lumumba;Lakini yana mwisho na utarudi tu duniani siku moja lakini utaepuka aibu kwani hakuna atakayejua ulikuwa msukule hence get away with rekodi yako iliyojaa madudu kuliko mambo ya maana kwa watanzania humu JF;

Talking about ccm had an option kukataa mfumo wa vyama vingi? Ni wewe na misukule wenzako tu ndio mliolishwa ujinga huu; Talking about Tanzania is only second to the US in terms of opportunities available kwa wananchi? Hayo ni matokeo ya kusoma shule za kata na baadae kuwa wavivu wa kusoma na badala yake kusikiliza hotuba tu na porojo za wakubwa zenu kwa mwendo wa zidumu fikra; Rudi hapa upinge hoja zangu hizi mbili kwa hoja, kwanza jadili ccm ingeweza vipi kwenda on collision course na wimbi na liberal democracy, pili njoo na analytical framework ku defend hoja yako kwamba Tanzania is second to the free world (USA) in terms of offering livelihood opportunities kwa wananchi wake; nje ya hapo ukiamua kukwepa kurekebisha hoja zako za kipuuzi, njoo na version yako na msukule with smear attacks and I will see what makes sense to respond and what doesn't;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Unajua wewe ni kituko sana. Umeshindwa kabisa kujitambua. Lipo jina la kimakonde kwa watu kama wewe ila hapa sio mahala pake. Unazungumzia kuchagua side of history!!! Funny you, side gani uliyochagua wewe, bavicha? Mshauri wako Dr. Slaa anazunguka duniani kuitengenezea nchi yake maadui, muulize response aliyopata - AIBU tupu. Wewe kama unategemea uendelee kubebwabebwa maisha yako yote basi tambua tu kuwa utabaki hapohapo ulipo. Lazima ujifunze kunyanyua your behind na kufanya kitu kinachojiuza sio kulialia wakati umeshabebwabebwa mpaka hapo ulipofika. Tanzania kuna fursa nyingi ambazo zinamuwezesha mtu aliye na akili na uwezo wa kushindana kuzitumia. Wewe unakesha kila siku Jackies unakunywa bia na kuchekeachekea wasichana kwa sababu waliokubeba walifanya bidii, wangekuwa wanalialia kama wewe sijui hata ungekuwa wapi sasa hivi. Stop whining, make use of the opportunities around you - this is the world of competition, whining wont help you to win...
 
Unajua wewe ni kituko sana. Umeshindwa kabisa kujitambua. Lipo jina la kimakonde kwa watu kama wewe ila hapa sio mahala pake. Unazungumzia kuchagua side of history!!! Funny you, side gani uliyochagua wewe, bavicha? Mshauri wako Dr. Slaa anazunguka duniani kuitengenezea nchi yake maadui, muulize response aliyopata - AIBU tupu. Wewe kama unategemea uendelee kubebwabebwa maisha yako yote basi tambua tu kuwa utabaki hapohapo ulipo. Lazima ujifunze kunyanyua your behind na kufanya kitu kinachojiuza sio kulialia wakati umeshabebwabebwa mpaka hapo ulipofika. Tanzania kuna fursa nyingi ambazo zinamuwezesha mtu aliye na akili na uwezo wa kushindana kuzitumia. Wewe unakesha kila siku Jackies unakunywa bia na kuchekeachekea wasichana kwa sababu waliokubeba walifanya bidii, wangekuwa wanalialia kama wewe sijui hata ungekuwa wapi sasa hivi. Stop whining, make use of the opportunities around you - this is the world of competition, whining wont help you to win...

Pole sana, ila cha kufurahisha ni kwamba kwanza uneshindwa jadili kwa hoja kama nilivyokuomba and my prediction was right kwamba per misukule training, utakuja na smear attacks on me; Pili kinachonifurahisha ni kwamba inaelekea unajifanya sana kunifahamu pengine kupitia mimi kugombea kura za maoni ubunge kinondoni(2015); Nashukuru kwamba angalau you have an idea of who I am, otherwise kama ni kubebwa unawajua vyema kina nani wanabebwa ndani ya chama; fanya utafiti wako vizuri again on who I am, what I have been up to, and what I do, don't assume tu mambo kwa akili ya kimsukule;

Usinifananishe nao hao role models wako, hatufanani hata kidogo kwani kwanza they are on the wrong side of our country's history, that already is a huge gap between me and them;

Kutekeleza kanuni ya ccm kwamba "kukosoa na kukosolewa ndio silaha ya mapinduzi", you call that 'whining'? Ni dhahiri wewe ni mwana ccm mzamiaji, kila ukosoaji wa chama basi ni ubavicha, as if chadema ikifutika kwa mfano, basi mapungufu ya ccm yanayogharimu wananchi maisha yao nayo yataondoka na bavicha au chadema all together;

Zemarcopolo (msukule wa Lumumba), ushauri wangu ni mdogo tu, shuka kutoka dari la misukule hapo Lumumba ndugu yangu while you still can; unashabikia ccm kama vile ni biashara ya mtu binafsi au ni timu ya mpira; ccm ni taasisi ambayo ilipewa dhamana na wakulima na wafanyakazi hivyo kukamata hatamu lakini imewaangisha kwa sababu waliopewa dhamana na hiyo hatamu wamejiweka zaidi kwenye utamu na umma unawakataa sasa; Elimu yako ya kata inaonyesha hujui kwamba ccm was designed to be a mass based party, and thays becoming counter productive and people like you make it worse for chama chetu CCM;

Between me and you and your role models, You may have the TIME, but tulio on the right side of history we do have the CLOCK;

Kwa nara ya mwisho nakupa fursa ya kujadili kwa hoja argument zako ambazo naziona ni za kipuuzi kuhusiana na ccm's supremacy na hoja ya kichwa cha shule ya kata kwamba Tanzania offers the best livelihood opportunities in the world, only second to the United States, au kubali tu umeteleza kwani kila nikiku challenge unakimbilia personal attacks kwani ndivyo mlivyotumwa kutukana wanao kosoa ccm, kina dr slaa, kina mzee kaduma, mzee kitine, na hata mzee mangula kabla hajarudishwa kujenga chama; Mlichojaliwa misukule ni fitina, unafiki, na ubinafsi at the expense of the deprived majority in our country; Natamani sana ungekuwa unajibizana nami kwa hoja but unfortunately, Lumumba wanawa train to make smear attacks kimsukule; Watoto wenu wangewajua, hakika wangeishi maisha ya wasiwasi kwa jinsi mnavyokipeleka chama na pia nchi kuzimu;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Pole sana, ila cha kufurahisha ni kwamba kwanza uneshindwa jadili kwa hoja kama nilivyokuomba and my prediction was right kwamba per misukule training, utakuja na smear attacks on me; Pili kinachonifurahisha ni kwamba inaelekea unajifanya sana kunifahamu pengine kupitia mimi kugombea kura za maoni ubunge kinondoni(2015); Nashukuru kwamba angalau you have an idea of who I am, otherwise kama ni kubebwa unawajua vyema kina nani wanabebwa ndani ya chama; fanya utafiti wako vizuri again on who I am, what I have been up to, and what I do, don't assume tu mambo kwa akili ya kimsukule;

Usinifananishe nao hao role models wako, hatufanani hata kidogo kwani kwanza they are on the wrong side of our country's history, that already is a huge gap between me and them;

Kutekeleza kanuni ya ccm kwamba "kukosoa na kukosolewa ndio silaha ya mapinduzi", you call that 'whining'? Ni dhahiri wewe ni mwana ccm mzamiaji, kila ukosoaji wa chama basi ni ubavicha, as if chadema ikifutika kwa mfano, basi mapungufu ya ccm yanayogharimu wananchi maisha yao nayo yataondoka na bavicha au chadema all together;

Zemarcopolo (msukule wa Lumumba), ushauri wangu ni mdogo tu, shuka kutoka dari la misukule hapo Lumumba ndugu yangu while you still can; unashabikia ccm kama vile ni biashara ya mtu binafsi au ni timu ya mpira; ccm ni taasisi ambayo ilipewa dhamana na wakulima na wafanyakazi hivyo kukamata hatamu lakini imewaangisha kwa sababu waliopewa dhamana na hiyo hatamu wamejiweka zaidi kwenye utamu na umma unawakataa sasa; Elimu yako ya kata inaonyesha hujui kwamba ccm was designed to be a mass based party, and thays becoming counter productive and people like you make it worse for chama chetu CCM;

Between me and you and your role models, You may have the TIME, but tulio on the right side of history we do have the CLOCK;

Kwa nara ya mwisho nakupa fursa ya kujadili kwa hoja argument zako ambazo naziona ni za kipuuzi kuhusiana na ccm's supremacy na hoja ya kichwa cha shule ya kata kwamba Tanzania offers the best livelihood opportunities in the world, only second to the United States, au kubali tu umeteleza kwani kila nikiku challenge unakimbilia personal attacks kwani ndivyo mlivyotumwa kutukana wanao kosoa ccm, kina dr slaa, kina mzee kaduma, mzee kitine, na hata mzee mangula kabla hajarudishwa kujenga chama; Mlichojaliwa misukule ni fitina, unafiki, na ubinafsi at the expense of the deprived majority in our country; Natamani sana ungekuwa unajibizana nami kwa hoja but unfortunately, Lumumba wanawa train to make smear attacks kimsukule; Watoto wenu wangewajua, hakika wangeishi maisha ya wasiwasi kwa jinsi mnavyokipeleka chama na pia nchi kuzimu;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kweli wewe ni HASARA. Endelea kuandika nadharia zisizokuwa na tija kwenye real life. Dunia inasonga mwele wewe undelea kuchungulia kwenye dirisha lako la bavicha, kama hiyo ndio unaona the right side of history. Naona bado unaishi kwenye fikra za elimu bure, afya bure, mají bure, mbolea bure, nyumba bure maisha ya kwenye michoro ya hekaya. By the way, mimi sikujui na wala sina sababu ya kutaka kukujua. To me you are just a JF characker asiyejitambua, who can do and say anything to get attention hata kama kujisingizia kutekwa nyara.
 
Kweli wewe ni HASARA. Endelea kuandika nadharia zisizokuwa na tija kwenye real life. Dunia inasonga mwele wewe undelea kuchungulia kwenye dirisha lako la bavicha, kama hiyo ndio unaona the right side of history. Naona bado unaishi kwenye fikra za elimu bure, afya bure, mají bure, mbolea bure, nyumba bure maisha ya kwenye michoro ya hekaya. By the way, mimi sikujui na wala sina sababu ya kutaka kukujua. To me you are just a JF characker asiyejitambua, who can do and say anything to get attention hata kama kujisingizia kutekwa nyara.

Talking about nashinda jackys kunywa bia, looks like unajaribu kunifahamu kwa kila namna na kuokoteza tu;Kwa watu wanaonijua, mimi sinywi bia;

Nimeshadokezwa wewe ni nani, sio ajabu you have that kind of tone; You are definately not on my level, na nimeambiwa jinsi gani nawapa uwoga; mmejaa wivu, fitina, chuki, majungu na ubinafsi na kuharibu sio tu chama bali nchi yetu; Nadhani unajua kwamba mimi sina njaa msukule wangu mpendwa, ila nina moyo wa kujitolea na pia nina matarajio kama binadamu wewe na binadamu wengine; sasa kwa vile mnapenda sana kutumia watu, kisha sio tu mnawatekeleza bali kuwavuruga kabisa sababu mnahitaji akili yao lakini mnawaogopa watawafunika, kaeni hivyo hivyo na kauli zenu za whining...; sisi wengine tunaangalia chama, sio viongozi, vinginevyo tusingekuwa hapa tulipo;

Again, ni dhahiri hauna uwezo wa kupambana na mimi kwa hoja bila punching below the belt; Una mengi umeyakimbia, sio humu bali kwingine kwingi tu; Kwa sasa sioni zaidi cha kujadili na wewe lakini nadhani wengi humu wanaona jinsi gani umeshindwa kujadili hoja zangu kwa hoja zaidi ya smear attacks; Ujue tu kwamba kila nikiona upuuzi wako humu at the expense of deprivation in our countrym, ntakurudia tena na tena;

Niseme tu kwamba kama woga wenu ni kwamba najijenga kisiasa JF, nimeshaweka wazi kwamba sina mpango wa kuendelea na siasa zenu uchwara, kwahiyo msitarajie kuniona huko kinondoni siju wapi; Vinginevyo mchango wangu humu JF ni kutumia elimu na exposure niliyolipiwa na wakulima (you are right) kuweka sawa hoja za wapuuzi kama wewe zenye nia ya kurubuni umma wa watanzania;

Kuhusu kutekwa, ni vizuri umelijadili hilo na unajua kwanini nasema hivyo; Vinginevyo familia yangu imeshapitia mengi sana ndugu yangu msukule wa Lumumba 'Zemarcopolo', time will tell...;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Talking about nashinda jackys kunywa bia, looks like unajaribu kunifahamu kwa kila namna na kuokoteza tu;Kwa watu wanaonijua, mimi sinywi bia;

Nimeshadokezwa wewe ni nani, sio ajabu you have that kind of tone; You are definately not on my level, na nimeambiwa jinsi gani nawapa uwoga; mmejaa wivu, fitina, chuki, majungu na ubinafsi na kuharibu sio tu chama bali nchi yetu; Nadhani unajua kwamba mimi sina njaa msukule wangu mpendwa, ila nina moyo wa kujitolea na pia nina matarajio kama binadamu wewe na binadamu wengine; sasa kwa vile mnapenda sana kutumia watu, kisha sio tu mnawatekeleza bali kuwavuruga kabisa sababu mnahitaji akili yao lakini mnawaogopa watawafunika, kaeni hivyo hivyo na kauli zenu za whining...; sisi wengine tunaangalia chama, sio viongozi, vinginevyo tusingekuwa hapa tulipo;

Again, ni dhahiri hauna uwezo wa kupambana na mimi kwa hoja bila punching below the belt; Una mengi umeyakimbia, sio humu bali kwingine kwingi tu; Kwa sasa sioni zaidi cha kujadili na wewe lakini nadhani wengi humu wanaona jinsi gani umeshindwa kujadili hoja zangu kwa hoja zaidi ya smear attacks; Ujue tu kwamba kila nikiona upuuzi wako humu at the expense of deprivation in our countrym, ntakurudia tena na tena;

Niseme tu kwamba kama woga wenu ni kwamba najijenga kisiasa JF, nimeshaweka wazi kwamba sina mpango wa kuendelea na siasa zenu uchwara, kwahiyo msitarajie kuniona huko kinondoni siju wapi; Vinginevyo mchango wangu humu JF ni kutumia elimu na exposure niliyolipiwa na wakulima (you are right) kuweka sawa hoja za wapuuzi kama wewe zenye nia ya kurubuni umma wa watanzania;

Kuhusu kutekwa, ni vizuri umelijadili hilo na unajua kwanini nasema hivyo; Vinginevyo familia yangu imeshapitia mengi sana ndugu yangu msukule wa Lumumba 'Zemarcopolo', time will tell...;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Hahahahahahahahhahahahahahhahahahahaha kijana mbona unaweweseka? Sina uwezo wa kupambana na wewe!!! Hapo uatakuwa sahihi kwa asilimia 100 kwa sababu siwezi kuwa na uwezo na jambo ambalo sina lengo nalo. Sina lengo la kupambana na wewe na kama usingeingiza pua yako kwenye hoja za zemarcopolo wala nisingekumbuka kama unaexist. Tone yangu ni response ya tone uliyoanza nayo - soma post yako ya kwanza kwenye hii thread ili ujikumbushe. Acha kuzuga eti una hoja iliyoshondwa kujibiwa- HAKUNA hoja ninayoshindwa kuijibu nikakaa kimya. Mimi ni mtu ninayejua kuwa kuna limit to everything na ninajua kuwa kuna hoja ninazoweza kujibu na zile nisizoweza kujibu. So far sijaona hoja uliyoleta nikaishindwa kuijibu ila zipo dharau ulizoleta ambazo nimezicnfront kwa dharau. Sounds fair now?
 
Hahahahahahahahhahahahahahhahahahahaha kijana mbona unaweweseka? Sina uwezo wa kupambana na wewe!!! Hapo uatakuwa sahihi kwa asilimia 100 kwa sababu siwezi kuwa na uwezo na jambo ambalo sina lengo nalo. Sina lengo la kupambana na wewe na kama usingeingiza pua yako kwenye hoja za zemarcopolo wala nisingekumbuka kama unaexist. Tone yangu ni response ya tone uliyoanza nayo - soma post yako ya kwanza kwenye hii thread ili ujikumbushe. Acha kuzuga eti una hoja iliyoshondwa kujibiwa- HAKUNA hoja ninayoshindwa kuijibu nikakaa kimya. Mimi ni mtu ninayejua kuwa kuna limit to everything na ninajua kuwa kuna hoja ninazoweza kujibu na zile nisizoweza kujibu. So far sijaona hoja uliyoleta nikaishindwa kuijibu ila zipo dharau ulizoleta ambazo nimezicnfront kwa dharau. Sounds fair now?

I disagree kwamba ccm ilikuwa na uwezo wa kuzuia vyama vingi, kilichotokea ni ujanja kuwaweka wananchi mkao waone kama vyama vingi ni hisani ya ccm kwa upinzani; liberal democracy ni wave ambayo isingiweza kuepukwa, ilianzia former soviet satelite states na mwalimu akawahi kuikoa ccm; matokeo yake, unlike nchi hizo ambapo vyama tawala fell kifo cha mende kutokana na kutoandaa ujio wa vyama vingi at their own pace; nyerere saved ccm; kwa mfano, vyama vya upinzani vilipewa 3 yrs kujijenga huku ccm ikijipanga to consolidate its new position; mbaya zaidi, ratiba ya chaguzi kuu haikubadilika ikawa ni ile ile kila baada ya miaka mitano; upinzani ungeweza na ukiweza badilisha ratiba ya uchaguzi, itafungua akili za wananchi wengi; ningependa kusikia hoja yako mbadala kwa hili;

Pili, Unlike hoja yako kwamna tanzania offers the best opportunities to umma wake only second to the free world (USA), I am of a contrary opinion; Kwana hauna any analytical framework that puts tanzania and the US at the centre vis a vis nchi nyingine duniani but hasa nchi maskini; pili unasahau au hauna ufahamu juu ya jinsi gani neoliberal economic approach haven't delivered and will never deliver to the majority of Tanzanians; hata world bank na imf ambao ndio na engineers wa mageuzi tanzania and LDCs in general, wanahaha kutafuta njia ya kufanya reforms bila kupoteza trust ya stakeholders;economic growth wanayosifia na wana lumumba wengi kudakia wimbo has never been an inclusive growth; in that light, under the current strategies of offering opportunities to the poor, kiukweli its meant for the few kupenya; ningependa pia kusikia hoja yako mbadale kwa hili;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
I disagree kwamba ccm ilikuwa na uwezo wa kuzuia vyama vingi, kilichotokea ni ujanja kuwaweka wananchi mkao waone kama vyama vingi ni hisani ya ccm kwa upinzani; liberal democracy ni wave ambayo isingiweza kuepukwa, ilianzia former soviet satelite states na mwalimu akawahi kuikoa ccm; matokeo yake, unlike nchi hizo ambapo vyama tawala fell kifo cha mende kutokana na kutoandaa ujio wa vyama vingi at their own pace; nyerere saved ccm; kwa mfano, vyama vya upinzani vilipewa 3 yrs kujijenga huku ccm ikijipanga to consolidate its new position; mbaya zaidi, ratiba ya chaguzi kuu haikubadilika ikawa ni ile ile kila baada ya miaka mitano; upinzani ungeweza na ukiweza badilisha ratiba ya uchaguzi, itafungua akili za wananchi wengi; ningependa kusikia hoja yako mbadala kwa hili;

Pili, Unlike hoja yako kwamna tanzania offers the best opportunities to umma wake only second to the free world (USA), I am of a contrary opinion; Kwana hauna any analytical framework that puts tanzania and the US at the centre vis a vis nchi nyingine duniani but hasa nchi maskini; pili unasahau au hauna ufahamu juu ya jinsi gani neoliberal economic approach haven't delivered and will never deliver to the majority of Tanzanians; hata world bank na imf ambao ndio na engineers wa mageuzi tanzania and LDCs in general, wanahaha kutafuta njia ya kufanya reforms bila kupoteza trust ya stakeholders;economic growth wanayosifia na wana lumumba wengi kudakia wimbo has never been an inclusive growth; in that light, under the current strategies of offering opportunities to the poor, kiukweli its meant for the few kupenya; ningependa pia kusikia hoja yako mbadale kwa hili;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Unaposema Nyerere unazungumzia CCM. Kwahiyo, maneno yako mwenyewe kuwa uamuzi wa kukubali vyama vingi ulikuwa juu ya CCM au Nyerere kama ulivyoweka ni de facto acceptance ya fact kwamba uwepo wa mfumo wa vyama vingi nchini ni matokeo ya maamuzi ya CCM.
Hapa usichanganye mambo kama wapotoshaji wanvyojaribu kufanya. Sijasema kuwa iwapo CCM ingekataa mfumo wa vyama vingi ingeendelea kuenjoy safe heaven ya kuwa cháma kimoja, that has never been my point lakini may be nchi yetu ingekuwa na historia tofauti kabisa na tuliyokuwa nayo sasa iwapo CCM ingeamua kukataa pressure za kina Margreth Thatcher.
Theotetically kila cháma duniani kingependa kuwa peke yake kinaongoza bila kubughudhiwa, CCM is not an exception, lakini busara za viongozi wa CCM zikawafanya waone kwamba kwa wakati tulio nao tuingie kwenye mfumo wa vyama vingi.
Tukumbushane tu kwamba mfumo wa vyama vingi Tanzania sio kitu kipya, tunasema umeanza mwaka 1992 lakini lugha sahihi ni kwamba umerudishwa tena mwaka 1992.
Kufahamu zaidi jinsi sera za CCM zinavyoangalia hali ya dunia angalia ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005-2010 chini ya kichwa cha habari "hali ilivyo duniani na jukumu lililo mbele yetu".

Kuhusu Tanzania kutoa fursa zaidi, kwanza
rejea post yangu niliyoandika hivyo ili uipate maana niliyokusudia. Nimeandika hivi "Kwa mtanzania mwenye bidii, for personal progress, Tanzania has more opportunities than any Europen country can offer. Only USA can compete with Tanzania in terms of opportunies of personal progress." Sasa hapa ukichukua nusu mstari tu na kuifanya ndio maana ya yote niliaondika inakuwa siyo sahihi.
Hapa ninamzungumzia mtanzania, na yule mwenye bidii. Halafu ninacompare opportunities ambazo mtanzania huyo anaweza kuzipata akiwa Tanzania na akiwa nje ya Tanzania kwa maedneleo yake binafsi na ninasema ni Marekani peke yake ambako mtanzania huyu mwenye bidii anaweza kukutana na opportunities zinazofanana na zie ambazo angezipata Tanzania. Hii ni at population level.
Kama tukisema Brazil wanajua mpira kuliko Tanzania haimaanishi kila mbrazil utakayekutana naye atakuwa fit kwenye mpira kuliko watanzania au kama watani wangu wanavyoamini kuwa kila mchina anajua carate.
Mimi sijaona nchi duniani ambayo sheria na sera zake zinampa mtanzania mwenye bidii zaidi ya Tanzania and only in Marekani kwa sababu Marekani wanajitahidi sana kuvumilia wageni kuliko nchi yoyote duniani. Kama kuna nchi unayodhani ina uvumilivu mkubwa kwa wageni/ wahamiaji zaidi ya Marekani basi nitajie.

Kuhusu fursa kwa watu masikini. Inasikitisha kuona mara nyingi tunatumia muda mrefu kuzungumzia watu masikini na wale walioshindwa. Hata kwa mfano kwenye matokeo ya form four ya juzi, tumeongelea zaidi wanafunzi waliofeli kuliko wale waliofaulu. We care more about failure than success.
Kwanini kama jamii hatujavutiwa na sababu za wanafunzi kufaulu lakini tumevutiwa zaidi na sababu za kufeli. Hata ile ripoti aliyopewa mtoto wa mkulima na kuifungia kabatini inazungumzia sababu za kufeli tu. Mimi na wewe tunapaswa kutumia muda pia kujiuliza kuhusu wale waliofanikiwa. Ukienda kijijini unaweza kumkuta mtu kachoka, maisha magumu, mambo yake hayaendi halafu kwa huruma tu ya kibinadamu ukadhani kuwa mtu yule amekuwa pale kwa bahati mbaya - sorry, its not always so. Angalia mfano wa Dr. Dau wa NSSF, unadhani Dr. Dau alikuwa na opportunity zaidi kuliko his age mates ambao wengi wao wamepigika? What did Dau do to differ from others?
Au tumuangalie mtoto wa mkulima (Mizengo Pinda), leo maa yake ameonekana kwenye media akipokea mwenge, baba yake ameshaonekana several times. Pinda amepata fursa gani zaidi ya watu wa říká lake waliobaki kijijini ambao sasa hivi wana maisha magumu. Kama taifa kwa kiasi kikubwa tunadownplay umuhimu wa personal efforts za kutafuta maendeleo. Hstukumbushani kiasi cha kutosha kuwa mtu yeyote mwenye akili timamu na afya njema anayeishi Tanzania HANA SABABU ya kuwa masikini at the age of 45 unless awe amepata matatizo ya kisheria na kufilisiwa au amepata natural disaster. Give me a scenario ya mtu mwenye afya njema na akili timamu lakini amekusa opportunity ya personal progress Tanzania and I will tell you how many opportunities sorround that person.

Muangalie Mohammed Dewji. Amesoma Marekani, akatamani maisha ya kuvaa tai asubuhi kuingia kazini wall street na kikombe cha kahawa mezani. Baada ya muda mfupi akaona wall street na tai zake sio kule anakotaka kuwa, maisha yalikuwa ni ya kupokea na kutumia pesa. Pay day alikuwa anaisubiri kwa hamu. Baba yake akamwambia Tanzania is where opportunities are. Dewji akarudi Bongo. Tangu amerudi bongo ameanzisha biashara ambayo imekuwa mara 1000, yes mara ELFU MOJA. Sasa hivi ana uwezo wa kuajiri watu wa level ya wall street zaidi ya 100. Hapa usiniquote vibaya, sisemi kila mtu awe tajiri kwa level ya Mo, ila Mo´s story inaonyesha jinsi opportunities zilivyo nyingi Bongo na watu wamekaa vibarazani wakilalamika kuwa maisha magumu.

Ngoja nitoe mfano wa mwisho. Siku hizi yameibuka makundi ya watu wanaolalamika kuwa wachina wanakuja Bongo kuchukua opportunities za wabongo kwa sababu wanafanya umachinga. This is ridiculous, yaani mtu ametoka china hajui kiswahili wala hajui mtaa hata mmoja. Mtu huyu anakuja kariakoo halafu anaweza kufanya umachinga vizuri zaidi kuliko wewe uliyezaliwa na kukulia hapo. Nooo huu ni uzembe na kumfukuza mchina hakutatui uzembe huo.
Kuna rafiki yangu mmarekani mweusi alikuwa analalamika siku moja jinsi ubaguzi wa rangi unavyolimit progress ya watu weusi. Nikamwambia kweli ubaguzi upo, na kweli ubaguzi una mchango wake kwenye kulimit progress ya watu weusi, lakini the fact kwamba in general Nigerian immigrant population in American is more progressive that african american population inadhihirisha kuwa ubaguzi wa rangi is not the major hindrance to the progress of black people. Mtu katoka Nigeria na accent yake ile anakuja Marekani hajawahi hata kuona underground train halafu anafanikiwa kuliko wewe mzawa, hiyo ni ishara tosha kwamba huyu mzawa hajafanya jitihada za kutosha.
Same to our people.

Tunapotumia muda mwingi kutafuta external factors za kublame ndivyo jinsi tunavyopoteza muda muhimu wa kuanalyse intrinsic factors, ambazo as a matter of fact ni muhimu zaidi kuliko zile za nje.

Mwisho kabisa neseme hivi - HAKUNA mtu au
jamii hata moja duniani iliyoweza kuendelea bila kukutana na vikwazo, maendeleo yanakuja pale mtu au jamii inapovikabili vikwazo hivyo kwa usahihi, kuorodhesha tu sababu za mtu au jamii kuwa masikini sio utatuzi wa umasikini wake/wao.
 
Unaposema Nyerere unazungumzia CCM. Kwahiyo, maneno yako mwenyewe kuwa uamuzi wa kukubali vyama vingi ulikuwa juu ya CCM au Nyerere kama ulivyoweka ni de facto acceptance ya fact kwamba uwepo wa mfumo wa vyama vingi nchini ni matokeo ya maamuzi ya CCM.
Hapa usichanganye mambo kama wapotoshaji wanvyojaribu kufanya. Sijasema kuwa iwapo CCM ingekataa mfumo wa vyama vingi ingeendelea kuenjoy safe heaven ya kuwa cháma kimoja, that has never been my point lakini may be nchi yetu ingekuwa na historia tofauti kabisa na tuliyokuwa nayo sasa iwapo CCM ingeamua kukataa pressure za kina Margreth Thatcher.
Theotetically kila cháma duniani kingependa kuwa peke yake kinaongoza bila kubughudhiwa, CCM is not an exception, lakini busara za viongozi wa CCM zikawafanya waone kwamba kwa wakati tulio nao tuingie kwenye mfumo wa vyama vingi.
Tukumbushane tu kwamba mfumo wa vyama vingi Tanzania sio kitu kipya, tunasema umeanza mwaka 1992 lakini lugha sahihi ni kwamba umerudishwa tena mwaka 1992.
Kufahamu zaidi jinsi sera za CCM zinavyoangalia hali ya dunia angalia ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005-2010 chini ya kichwa cha habari "hali ilivyo duniani na jukumu lililo mbele yetu".

Kuhusu Tanzania kutoa fursa zaidi, kwanza
rejea post yangu niliyoandika hivyo ili uipate maana niliyokusudia. Nimeandika hivi "Kwa mtanzania mwenye bidii, for personal progress, Tanzania has more opportunities than any Europen country can offer. Only USA can compete with Tanzania in terms of opportunies of personal progress." Sasa hapa ukichukua nusu mstari tu na kuifanya ndio maana ya yote niliaondika inakuwa siyo sahihi.
Hapa ninamzungumzia mtanzania, na yule mwenye bidii. Halafu ninacompare opportunities ambazo mtanzania huyo anaweza kuzipata akiwa Tanzania na akiwa nje ya Tanzania kwa maedneleo yake binafsi na ninasema ni Marekani peke yake ambako mtanzania huyu mwenye bidii anaweza kukutana na opportunities zinazofanana na zie ambazo angezipata Tanzania. Hii ni at population level.
Kama tukisema Brazil wanajua mpira kuliko Tanzania haimaanishi kila mbrazil utakayekutana naye atakuwa fit kwenye mpira kuliko watanzania au kama watani wangu wanavyoamini kuwa kila mchina anajua carate.
Mimi sijaona nchi duniani ambayo sheria na sera zake zinampa mtanzania mwenye bidii zaidi ya Tanzania and only in Marekani kwa sababu Marekani wanajitahidi sana kuvumilia wageni kuliko nchi yoyote duniani. Kama kuna nchi unayodhani ina uvumilivu mkubwa kwa wageni/ wahamiaji zaidi ya Marekani basi nitajie.

Kuhusu fursa kwa watu masikini. Inasikitisha kuona mara nyingi tunatumia muda mrefu kuzungumzia watu masikini na wale walioshindwa. Hata kwa mfano kwenye matokeo ya form four ya juzi, tumeongelea zaidi wanafunzi waliofeli kuliko wale waliofaulu. We care more about failure than success.
Kwanini kama jamii hatujavutiwa na sababu za wanafunzi kufaulu lakini tumevutiwa zaidi na sababu za kufeli. Hata ile ripoti aliyopewa mtoto wa mkulima na kuifungia kabatini inazungumzia sababu za kufeli tu. Mimi na wewe tunapaswa kutumia muda pia kujiuliza kuhusu wale waliofanikiwa. Ukienda kijijini unaweza kumkuta mtu kachoka, maisha magumu, mambo yake hayaendi halafu kwa huruma tu ya kibinadamu ukadhani kuwa mtu yule amekuwa pale kwa bahati mbaya - sorry, its not always so. Angalia mfano wa Dr. Dau wa NSSF, unadhani Dr. Dau alikuwa na opportunity zaidi kuliko his age mates ambao wengi wao wamepigika? What did Dau do to differ from others?
Au tumuangalie mtoto wa mkulima (Mizengo Pinda), leo maa yake ameonekana kwenye media akipokea mwenge, baba yake ameshaonekana several times. Pinda amepata fursa gani zaidi ya watu wa říká lake waliobaki kijijini ambao sasa hivi wana maisha magumu. Kama taifa kwa kiasi kikubwa tunadownplay umuhimu wa personal efforts za kutafuta maendeleo. Hstukumbushani kiasi cha kutosha kuwa mtu yeyote mwenye akili timamu na afya njema anayeishi Tanzania HANA SABABU ya kuwa masikini at the age of 45 unless awe amepata matatizo ya kisheria na kufilisiwa au amepata natural disaster. Give me a scenario ya mtu mwenye afya njema na akili timamu lakini amekusa opportunity ya personal progress Tanzania and I will tell you how many opportunities sorround that person.

Muangalie Mohammed Dewji. Amesoma Marekani, akatamani maisha ya kuvaa tai asubuhi kuingia kazini wall street na kikombe cha kahawa mezani. Baada ya muda mfupi akaona wall street na tai zake sio kule anakotaka kuwa, maisha yalikuwa ni ya kupokea na kutumia pesa. Pay day alikuwa anaisubiri kwa hamu. Baba yake akamwambia Tanzania is where opportunities are. Dewji akarudi Bongo. Tangu amerudi bongo ameanzisha biashara ambayo imekuwa mara 1000, yes mara ELFU MOJA. Sasa hivi ana uwezo wa kuajiri watu wa level ya wall street zaidi ya 100. Hapa usiniquote vibaya, sisemi kila mtu awe tajiri kwa level ya Mo, ila Mo´s story inaonyesha jinsi opportunities zilivyo nyingi Bongo na watu wamekaa vibarazani wakilalamika kuwa maisha magumu.

Ngoja nitoe mfano wa mwisho. Siku hizi yameibuka makundi ya watu wanaolalamika kuwa wachina wanakuja Bongo kuchukua opportunities za wabongo kwa sababu wanafanya umachinga. This is ridiculous, yaani mtu ametoka china hajui kiswahili wala hajui mtaa hata mmoja. Mtu huyu anakuja kariakoo halafu anaweza kufanya umachinga vizuri zaidi kuliko wewe uliyezaliwa na kukulia hapo. Nooo huu ni uzembe na kumfukuza mchina hakutatui uzembe huo.
Kuna rafiki yangu mmarekani mweusi alikuwa analalamika siku moja jinsi ubaguzi wa rangi unavyolimit progress ya watu weusi. Nikamwambia kweli ubaguzi upo, na kweli ubaguzi una mchango wake kwenye kulimit progress ya watu weusi, lakini the fact kwamba in general Nigerian immigrant population in American is more progressive that african american population inadhihirisha kuwa ubaguzi wa rangi is not the major hindrance to the progress of black people. Mtu katoka Nigeria na accent yake ile anakuja Marekani hajawahi hata kuona underground train halafu anafanikiwa kuliko wewe mzawa, hiyo ni ishara tosha kwamba huyu mzawa hajafanya jitihada za kutosha.
Same to our people.

Tunapotumia muda mwingi kutafuta external factors za kublame ndivyo jinsi tunavyopoteza muda muhimu wa kuanalyse intrinsic factors, ambazo as a matter of fact ni muhimu zaidi kuliko zile za nje.

Mwisho kabisa neseme hivi - HAKUNA mtu au
jamii hata moja duniani iliyoweza kuendelea bila kukutana na vikwazo, maendeleo yanakuja pale mtu au jamii inapovikabili vikwazo hivyo kwa usahihi, kuorodhesha tu sababu za mtu au jamii kuwa masikini sio utatuzi wa umasikini wake/wao.

Asante kwa ufafanuzi wako wa kina; Kuna masuala ambayo nakubaliana na wewe lakini mengine I have some reservations ambazo nitajaribu kuzijadili as we proceed;

Kwa mujibu wa Albert Einstein, moja kati ya brainiest human beings that ever lived alipata kusema kwamba:

"The average human use less than 10 percent of the Brain God has given him."
Albert Einstein alienda mbali na kutamka kwamba - hata yeye ambae alikuwa ame accomplish so much not only for himself but for the human kind in general, hakutumia more than 10% of his God – given brain; Nakubaliana na wewe katika muktadha huu (wa Einstein) lakini only if there are certain factors that we hold constant; Umejadili sana USA kama mfano lakini unasahau msemo wa "Ukiona Vinaelewa, Ujue Vimeundwa"; Naomba kusikia majibu yako juu ya swali lifuatalo:

· Je Tanzania chini ya CCM, tumeunda nini ili wananchi wake waelee? Pengine una majibu, please share…

Nadhani unajua kwamba USA was one of the worst countries in the World for one to live nyakati kabla ya mid 20[SUP]th[/SUP] Century, kama ilivyotokea Tanzania ambao we lost a lot of brain iliyokimbilia nje (brain drain), na mtu yoyote anayerudi sasa, haitokani na serikali ya CCM kuwaandalia mazingira mazuri bali inatokana na jinsi gani the international community (sio serikali ya CCM) is fighting hard for the country to reform so that economic, political, and social freedoms and justice become realised, lakini bado wanapata shida sana to get things right kutokana na rushwa, patrionalism, n.k;

Bottom line hapa is – whether kwa kujua au kutojua, unatumia dhana ya "American Dream" kufananisha na nchi nyingine kama Tanzania kwa kutumia an approach of ‘one size fits all', which has proven to be a failure in many contexts; iwapo American Values zingekuwa practiced world all over; Kuna kitu kinajadiliwa as American Exceptionalism, na kwa ufupi, what this means ni kwamba - No matter how developed a society becomes e.g. China, Brazil, India, none of these will offer what the USA offer kwa wananchi wake; Unlike the USA, Social, Economic, and Political justice is difficult to be realized in these countries (including Tanzania); Mfano wako wa Nigeria is correct only if we discuss that in the context of USA and the American Dream, otherwise it is very wrong to try and emulate that experience elsewhere. Nitafafanua zaidi:

The American Dream as we all came to understand it, was put in place with a PURPOSE, and all along it has been a national ethos iliyolenga kuondoa minyororo ambayo wananchi kama wa Tanzania ya leo wamekuwa wamefungwa kutokea kipindi cha ukoloni hadi kipindi hiki cha ukoloni mamboleo - lack of social, political and economic justice kwa wananchi walio wengi, unless your interpretation of "Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania" chini ya CCM, ndio inakupeleka kujenga hoja unazojenga; Kumbuka, wamarekani waliamua kujiwekea a set of ideas and moral attitudes to define and guide them as people regardless of race etc ili kuondokana na vikwazo ambavyo vilizuia fursa kwa makundi Fulani fulani; Katika muktadha huu, in the USA, ‘FREEDOM' ni ufunguo wa kila kitu kwani its freedom ndio inayotoa fursa kwa watu wote for prosperity and success, na mtu unaweza kufanikiwa kupanda kutoka tabaka moja kwenda tabaka jingine (upward social mobility) kutokana na jasho lako, na kwa formula ambayo inaeleweka; Lakini kwa Tanzania, Zemarcopolo (huu ni mfano tu), akifanikiwa, haina maana kwamba yeye ndio mfano bora wa kuiga kwani if I follw his steps, aidha sina guarantee ya kufanikiwa au nitakutana na costs nyingine kubwa kuliko jasho langu, ili nifike alipofika yeye; Nikuulize swali lingine:

Je, in your view, in Tanzania, do you think we do have set of ideas and moral attitudes as people kama walizonazo wenzetu marekani ambapo hard work is a guarantee to success and prosperity?

Binafsi sidhani tunalo hilo; Mifano yako ya Mo Dewji (with all due respect to him), I find it superficial; Ukimsoma vizuri Issa Shivji kuhusiana na "Class Struggles in Tanzania", utaelewa vizuri zaidi hoja yangu hii;

Nimalizie kwanza kusisitiza kwamba if we use framework ya Albert Einstein and his argument on 10% kama mfano; Einstein did not take into account of issues different races, classes, etc - to him – he was addressing the white race as synonymous to Human Beings, especially USA and Western Europe; Vinginevyo naunga mkono hoja yako only in the "context of the USA", not in the context of "USA experience fits elsewhere"; Nakubaliana na wewe kwamba if you do not make it in the USA, you are the only one to blame, but not in Tanzania; Mfano wako wa Nigerians vis a vis African Americans nakuunga mkono, but only in the context of mjadala wangu hapo juu kuhusiana na USA imetokea wapi kama jamii – American Dream…; Vinginevyo, kama races nyingine (Einstein alikuwa anazungumzia white people) wanatumia less than 10% of their installed brain capacity to produce for their consumption, basi kwa mtu mweusi kufeli in the USA I would say mtu huyo basi anatumia less than 1% (one percent) of his/her installed capacity (brain) to produce for his/her own consumption;

Nitakurudia baadae kuhusiana na hoja yako juu ya CCM na ujio wa vyama vingi;
 
Mkuu TUKUTUKU Hivi vyama vya kisiasa vya Kibongoo vimeamuwa kuanzisha Vikundi vya wanamgambo wa vyama kulikoni? Utafikiri Tanzania hakuna

jeshi la Polisi au Jeshi la wananchi? Majangaa hayo Majangaaa!!!!!!!!!!!!!!!!! Tanzania kwa miaka inayokuja mbele itakuwa kama Lebanon

kutakuwa na Vikundi vingi vya wanamgambo, Natabiri WaKristo nao Wataanzisha Vikundi vyao vya Wanamgambo na Wa-islam nao pia

Wataanzisha Vikundi vyao basi kutakuwa Tanzania hakukaliki kila sehemu kuna vikundi vyenye silaha. Hivyo ndivyo alivyo tuachia Urithi

wa nchi yetu yenye Maziwa Makuu Baba wa taifa Mwalimu Nyerere?

Umeishia darasa la ngapi?? maana inabidi wakati mwingine tusielimishe bila ya kujua uwezo wa mjinga!!!!Nyinyiemu wanao vijana waharibu sana green guard, kuna makampuni ya ulinzi kila kona,pia katiba za vyama vyote zilipitia kwa msajili wa vyama vya siasa na ndani ya ktiba nyingi kuna vikundi vya ulinzi leo unashangaa nini??? Ulitaka cdm waendelee kuwategemea polisi wanaopandishwa vyeo kwa kuua watu!!!! Nasikia wewe ni mtoto wa mzee Kamuhanda bana!!!!!
 
Umeishia darasa la ngapi?? maana inabidi wakati mwingine tusielimishe bila ya kujua uwezo wa mjinga!!!!Nyinyiemu wanao vijana waharibu sana green guard, kuna makampuni ya ulinzi kila kona,pia katiba za vyama vyote zilipitia kwa msajili wa vyama vya siasa na ndani ya ktiba nyingi kuna vikundi vya ulinzi leo unashangaa nini??? Ulitaka cdm waendelee kuwategemea polisi wanaopandishwa vyeo kwa kuua watu!!!! Nasikia wewe ni mtoto wa mzee Kamuhanda bana!!!!!

Umeishia darasa la ngapi?? maana inabidi wakati mwingine tusielimishe bila ya kujua uwezo wa mjinga!!!!Nyinyiemu wanao vijana waharibifu sana green guard, kuna makampuni ya ulinzi kila kona,pia katiba za vyama vyote zilipitia kwa msajili wa vyama vya siasa na ndani ya katiba nyingi kuna vikundi vya ulinzi leo unashangaa nini??? Ulitaka cdm waendelee kuwategemea polisi wanaopandishwa vyeo kwa kuua watu!!!! Nasikia wewe ni mtoto wa mzee Kamuhanda bana!!!!!
 

TANGU kuanzishwa kwa vyama vingi nchini mwaka 1992, tayari chaguzi nne zinazoshirikisha vyama vingi zimefanyika.


Katika chaguzi hizo nne, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeendelea kushika dola kwa ushindi wa kishindo katika kiti cha urais, wabunge na madiwani.


Ushindi huu wa kishindo umeendelea kupungua kutoka ngazi ya ubunge na udiwani, ambapo wapinzani wamekuwa wakinyakua viti vya majimbo hata ambavyo vilikuwa vinatajwa kuwa ngome ya CCM.

Kupungua huko kwa viti vya ubunge na udiwani, ni kiashiria kuwahuenda kwa mara ya kwanza katika historia ya uchaguzi nchini, CCM itaenda katika uchaguzi mkuu mwaka 2015, kikiwa hakina uhakika wa kushinda.

Wapinzani wakuu wa CCM ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambacho kinashikilia rekodi ya pili kwa kuwa na viti vingi vya ubunge na udiwani nyuma ya CCM.

Nafasi ya ushindi katika uchaguzi huo, hasa katika ngazi ya urais imekumbwa na changamoto nyingi.

Wakati CCM imetimiza miaka 36 tangu kuzaliwa kwake, Chadema ina miaka 21 ambapo ndani ya miaka mitano kimeweza kujipambanua kwa Watanzania kama chama chenye sera madhubuti kinachotazamia kuchukua dola mwaka 2015.

Kwa nini CCM ikihofie Chadema na si vyama vingine? Ni mipango na mikakati ya muda mrefu, baada ya kuusoma mchezo wa CCM na kutumia udhaifu wake kujijenga.

CCM imewasahau wananchi wa kawaida na kukumbatia matajiri, Chadema ikaona hao ndio wanafaa na kuwafanya mtaji wao.

Ni ukweli ulio wazi kuwa mtaji wa chama chochote kile ni watu ambao ni wanachama hai.

Kitendo cha Chadema kutetea viti vyake vinne vya udiwani kwenye uchaguzi mdogo wa wiki iliyopita mkoani Arusha, ni hatua kubwa waliyopiga ambayo imekifanya chama hicho kufikisha idadi ya viti 15 kwenye Baraza la Madiwani, wakati CCM kimebakiwa kuwa na viti 12.

Mbio za Chadema kuifukuzia dola kwa kusimama na miguu yake yenyewe katika uchaguzi mkuu wa tatu ulioshirikisha vyama vingi mwaka 2005, baada ya kuwa msindikizaji kwa mihula miwili ambapo ilimsimamisha Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe wakati CCM ilimsimamisha Rais Jakaya Kikwete kwa mara ya kwanza.

Katika uchaguzi wa kwanza wa mwaka 1995, Chadema ilishiriki uchaguzi huo bila ya kuweka mgombea urais, ambapo walikubaliana kumuunga mkono mgombea wa chama cha NCCR-Mageuzi, Augustino Mrema ambaye alikuwa anakubalika sana wakati huo.

Uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, Chadema ilishiriki tena uchaguzi huo kama mwanzo bila kusimamisha mgombea urais na safari hii ushirika ulihamia kwa CUF ambapo walimuunga mkono mgombea wake, Profesa Ibrahim Lipumba.

Mwaka huo, Chadema kilipata asilimia tatu ya kura za wabunge na jumla ya wabunge wanne na kushika nafasi ya nne katika vyama vya upinzani baada ya vyama vya CUF, TLP na UDP.

Baada ya kuchoka kuwa msindikizaji, Chadema ilijisuka upya na kumsimamisha Mbowe, ambaye alishindwa katika uchaguzi huo na hiyo ikawa kama changamoto kwa Chadema.

Chadema wakati huo ikaona ni wakati muafaka kujipambanua kwa wananchi, ambapo ilijieneza nchi nzima hata sehemu ambazo ilikuwa haikubaliki na kuvuna wanachama wengi zaidi.

Katika miaka yote hiyo CCM ilikuwa inaingia kwenye uchaguzi ikiwa na uhakika wa asilimia nyingi tu ya kushinda urais na viti vingi vya ubunge na udiwani bila kuhofia vyama vya upinzani.

Imani hii ya ushindi wa kishindo, inaanza kuyeyuka taratibu baada ya mwaka 2010, Chadema kupata viti vingi vya ubunge na udiwani hata katika majimbo ambayo yalikuwa ngome ya CCM.

Hofu ya kupoteza viti vingi vya ubunge na udiwani si hofu pekee inayoikabili CCM, bali pia inahofia kiti cha urais, haina uhakika nacho.

Tofauti kati ya Chadema na CCM baada ya uchaguzi ni kwamba, CCM hubweteka kwa madai ya kufanya kazi waliyotumwa na wananchi, lakini Chadema wao huchochea moto kwa kufanya mikutano mikoani yenye kauli mbiu za kuvutia kwa wananchi wanaopenda kusikia wanayotaka kusikia.

Mikutano hii imesaidia kuizindua CCM, ambapo nao hutembea mikoa iliyopitiwa na Chadema kujitakasa na kukanusha baadhi ya mambo baada ya jina lake kutiwa doa na Chadema.

Chadema imekuwa ikifanya mavuno katika vyuo vikuu mbalimbali pamoja na kuongeza idadi ya wanachama wanaotoka vyama vingine, wengi wao wakiwa viongozi.

CCM imekuwa ikifanya hivyo, lakini sasa ni kama imejisahau na inaanza upya ilipoishia.

Kujisahau huko kwa CCM kumeipaisha Chadema ambapo sasa ni vigumu kwa kijana wa kawaida kumueleza mambo hasi kuhusu Chadema.

Hii ni changamoto kwa CCM kushtuka na kuwakumbuka wananchi ambao kila uchao wanalalamikia ugumu wa maisha umeletwa na chama hicho.

Ni changamoto pia kwa Chadema kutobweteka kwa kuridhika na mafanikio madogo waliyo nayo.

KWA NINI CCM IKIHOFIE CHADEMA?? - MPEKUZI HURU

CCM inaiogopa CDM kama US wanavyoiogopa Alqaeda!
 
Asante kwa ufafanuzi wako wa kina; Kuna masuala ambayo nakubaliana na wewe lakini mengine I have some reservations ambazo nitajaribu kuzijadili as we proceed;

Kwa mujibu wa Albert Einstein, moja kati ya brainiest human beings that ever lived alipata kusema kwamba:

“The average human use less than 10 percent of the Brain God has given him.”
Albert Einstein alienda mbali na kutamka kwamba - hata yeye ambae alikuwa ame accomplish so much not only for himself but for the human kind in general, hakutumia more than 10% of his God – given brain; Nakubaliana na wewe katika muktadha huu (wa Einstein) lakini only if there are certain factors that we hold constant; Umejadili sana USA kama mfano lakini unasahau msemo wa “Ukiona Vinaelewa, Ujue Vimeundwa”; Naomba kusikia majibu yako juu ya swali lifuatalo:

· Je Tanzania chini ya CCM, tumeunda nini ili wananchi wake waelee? Pengine una majibu, please share…

Nadhani unajua kwamba USA was one of the worst countries in the World for one to live nyakati kabla ya mid 20[SUP]th[/SUP] Century, kama ilivyotokea Tanzania ambao we lost a lot of brain iliyokimbilia nje (brain drain), na mtu yoyote anayerudi sasa, haitokani na serikali ya CCM kuwaandalia mazingira mazuri bali inatokana na jinsi gani the international community (sio serikali ya CCM) is fighting hard for the country to reform so that economic, political, and social freedoms and justice become realised, lakini bado wanapata shida sana to get things right kutokana na rushwa, patrionalism, n.k;

Bottom line hapa is – whether kwa kujua au kutojua, unatumia dhana ya “American Dream” kufananisha na nchi nyingine kama Tanzania kwa kutumia an approach of ‘one size fits all’, which has proven to be a failure in many contexts; iwapo American Values zingekuwa practiced world all over; Kuna kitu kinajadiliwa as American Exceptionalism, na kwa ufupi, what this means ni kwamba - No matter how developed a society becomes e.g. China, Brazil, India, none of these will offer what the USA offer kwa wananchi wake; Unlike the USA, Social, Economic, and Political justice is difficult to be realized in these countries (including Tanzania); Mfano wako wa Nigeria is correct only if we discuss that in the context of USA and the American Dream, otherwise it is very wrong to try and emulate that experience elsewhere. Nitafafanua zaidi:

The American Dream as we all came to understand it, was put in place with a PURPOSE, and all along it has been a national ethos iliyolenga kuondoa minyororo ambayo wananchi kama wa Tanzania ya leo wamekuwa wamefungwa kutokea kipindi cha ukoloni hadi kipindi hiki cha ukoloni mamboleo - lack of social, political and economic justice kwa wananchi walio wengi, unless your interpretation of “Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania” chini ya CCM, ndio inakupeleka kujenga hoja unazojenga; Kumbuka, wamarekani waliamua kujiwekea a set of ideas and moral attitudes to define and guide them as people regardless of race etc ili kuondokana na vikwazo ambavyo vilizuia fursa kwa makundi Fulani fulani; Katika muktadha huu, in the USA, ‘FREEDOM’ ni ufunguo wa kila kitu kwani its freedom ndio inayotoa fursa kwa watu wote for prosperity and success, na mtu unaweza kufanikiwa kupanda kutoka tabaka moja kwenda tabaka jingine (upward social mobility) kutokana na jasho lako, na kwa formula ambayo inaeleweka; Lakini kwa Tanzania, Zemarcopolo (huu ni mfano tu), akifanikiwa, haina maana kwamba yeye ndio mfano bora wa kuiga kwani if I follw his steps, aidha sina guarantee ya kufanikiwa au nitakutana na costs nyingine kubwa kuliko jasho langu, ili nifike alipofika yeye; Nikuulize swali lingine:

Je, in your view, in Tanzania, do you think we do have set of ideas and moral attitudes as people kama walizonazo wenzetu marekani ambapo hard work is a guarantee to success and prosperity?

Binafsi sidhani tunalo hilo; Mifano yako ya Mo Dewji (with all due respect to him), I find it superficial; Ukimsoma vizuri Issa Shivji kuhusiana na “Class Struggles in Tanzania”, utaelewa vizuri zaidi hoja yangu hii;

Nimalizie kwanza kusisitiza kwamba if we use framework ya Albert Einstein and his argument on 10% kama mfano; Einstein did not take into account of issues different races, classes, etc - to him – he was addressing the white race as synonymous to Human Beings, especially USA and Western Europe; Vinginevyo naunga mkono hoja yako only in the “context of the USA”, not in the context of “USA experience fits elsewhere”; Nakubaliana na wewe kwamba if you do not make it in the USA, you are the only one to blame, but not in Tanzania; Mfano wako wa Nigerians vis a vis African Americans nakuunga mkono, but only in the context of mjadala wangu hapo juu kuhusiana na USA imetokea wapi kama jamii – American Dream…; Vinginevyo, kama races nyingine (Einstein alikuwa anazungumzia white people) wanatumia less than 10% of their installed brain capacity to produce for their consumption, basi kwa mtu mweusi kufeli in the USA I would say mtu huyo basi anatumia less than 1% (one percent) of his/her installed capacity (brain) to produce for his/her own consumption;

Nitakurudia baadae kuhusiana na hoja yako juu ya CCM na ujio wa vyama vingi;

Mkuu Mchambuzi, kwanza nimegundua
kwamba katika tunachojadili hapa kwa kiasi kikubwa tuko kwenye page
moja. Ila pia nieleze masikitiko yangu kwamba katika post yako
nimegundua kuwa ile chapter ya kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya
2005-2010 inayosema „Hali Ilivyo Duniani na Majukumu Yaliyo Mbele
Yetu“ hujaipitia. Nasema hivi kwa sababu sehemu kubwa ya hoja
ulizoraise hapa zina majibu ya moja kwa moja toka kwenye chapter
hiyo.

Kwanini nasema tuko kwenye page moja?
Kimsingi tunakubaliana kuwa Marekani ni nchi exceptional ambapo kila
mtu ana fursa ya personal progress. Na hii ndio sababu ya kauli yangu
ya awali iliyosababisha huu mjadala kufika hapa.

Je, in your view, in Tanzania, do you think we do have set of ideas or moral attitudes as people kama walizonazo wenzetu Marekani ambapo hard work is a guarantee to success and prosperity?

Swali hili lina majibu mawili:
1.
Historia ya Marekani ni ya miaka kama 300 hivi iliyopita. Nchi yetu au more precisely taifa letu lina historia ya miaka 50 sasa hivi! Kwahiyo sisi kama taifa bado tuko katika hatua za kuevolve na ni kweli kwamba wenzetu wako mbali zaidi yetu.

2. Pamoja na kwamba wenzetu wametuzidi katika kutengeneza na kusimamia shani
za kitaifa, lakini umuhimu wa hard work kwa mtu anayetaka kupata mafanikio sio jambo lililojificha. Hakuna maendeleo mtu anaweza kupata bila kufanya bidii. Ndio maana ya ule usemi „Juhudi na Maarifa“. Ukiisoma tena post yangu ya awali nimesema kuwa kama taifa, tumeshindwa kukumbashana kuwa msingi wa mafanikio ni kufanya bidii.

Hapa umetumia neno guarantee. Guarantee hakuna lakini if we are to speak

mathematically, yule anafanya bidii ana chances kubwa za kupata
mafanikio na yule aliyekata tamaa chances zake ziko close to zero.
Kwahiyo, kwa vile tuko katika kuevolve kama taifa, basi ni vyema
kila unapotokea mwanya tukumbushane kuwa jitihada ni muhimu kwa
mafanikio.



Nimesikitika kuona kwa mfano Mbowe na wenzake wameona solution ya watoto wa form
four kufeli ni kuitisha maandamano ya kuilaani serikali. Nilimtumia
Dr. Slaa video ya Obama alivyojibu swali la kuporomoka kwa elimu
Marekani wakati yuko kwenye kampeni za Urais mwaka 2008 akiwa
mpinzani. Dr. Slaa Hakujibu kitu, lakini naamini kuna kitu
alijifunza iwapo aliangalia ile video.



Wazee wa Tanzania wa sasa wenye rika la miaka 65-80 waliofanikiwa, wengi
wao ni kupitia elimu (kwa maana ya ajira, hasahasa ajira
serikalini). Tukumbushane tu kuwa wapo watu walikuwa wanakataa
elimu, serikali ilikuwa inatumia adhabu ili watu wawapeleke watoto
shule. Kadri tunavyoshuka rika la chini kuna makundi ya
waliofanikiwa kwa elimu na ujasiriamali na hivi sasa wanaofanikiwa
kwa ujasiriamali wanakuwa wengi zaidi kuliko wanaotegemea elimu
(ajira). Mtu aliyekataa elimu akikosa personal progress hana wa
kumlaumu.


Ukiangalia watu uliosoma nao at a centain level sekondari au shule ya msingi,
utaona wapo ambao „hawajamake it“. Kwenye post yako ya juu
ulisema kuwa wewe umefanikiwa na unachofanya ni kujaribu kusaidia
wengine. May be I should ask you, je ni nini kimekuwezesha wewe
kufanikiwa zaidi ya baadhi ya wenzako uliosoma au kukua nao? Jibu
linaweza kuwa na maelezo mengi, lakini lazima part of it iwe kuwa
ulifanya bidii.Na hapo ndipo tunapata jibu la swali lako la msingi
(in green), kuwa hard work ni msingi wa mafanikio nchini Tanzania.


Einstein was right na ni kweli kuwa mara nyingi au mara zote kuna so much
untried options kabla mtu hajagive up.


Kompyuta yenye speed kali kuliko zote duniani ina uwezo mara 1000 slower than
uwezo wa binadamu. Lakini binadamu huyu huyu aliye na uwezo wa
kucompute 1000X faster than the fastest computer ana uwezo wa
kuiboresha hiyo computer ikawa faster and faster.


Kwahiyo evolution ya uwezo wa computer inatokea a lot faster that evolution
of man.Hii ni hatari kwa sababu in the next 20 years inakadiriwa kuwa
binadamu atakuwa na uwezo wa kutengeneza computer yenye uwezo wa
kucompute as fast as a human! Hii maana yake ni kwamba kuanzia hapo
generation zinazofuata za computer zitakuwa zina uwezo mkubwa kuliko
binadamu.


What does this imply katika maisha tunayoishi? Je, computer hiyo
itaendelea kuobey orders za aliyeitengeneza? Je atakayeitengeneza
computer hiyo hawezi kuiingiza kwenye robot akalituma kutawala sehemu
nyingine za duia? Binadamu wana haki nyingi sababu tunasema ndio
viumbe wenye akili zaidi, je, computer hii itapata haki kwa sababu
ina akili zaidi ya binadamu?


Robot la kwanza kuonyesha degree of freedom lilikamatwa likitoroka, bahati
nzuri lilikamatwa kwenye parking lot kabla halijapotea likarudishwa
ndani kuendelea na kazi. Je, robot huyu angekuwa na uwezo wa kufiri
haraka zaidi ya binadamu wangeweza kumkamata? Alikuwa anaenda wapi?
Kufanya nini?

Tukumbuke kwamba maendeleo ya sayansi hutokea kwa speed isiyotabirika. Jambo
ambalo tunatabiri litatokea miaka 20 ijayo anaweza kutokea mtu
akalifanya hata kesho kama jinsi historia ya binadamu kwenda mwezini
ilivyotokea bila kutarajiwa! Kwahiyo tusidhani tuna muda mwingi wa
kufikiria jinsi ya kudeal na hizi changamoto za teknolojia.


Haya yote ni maswali ambayo watu wa ulimwengu huu inabidi wayajibu. Haya
maswali tusiwaachie wamarekani na wajerumani peke yao. Wakati kijana
wa Marekani anajiuliza maswali haya, kijana wa Lushoto amekaa
kibarazani analalamika maisha magumu wakati amezungukwa na ardhi
yenye rutuba ilijaa mimea ya asili na míti ya matunda ambayo chini
yake kuna matunda yayiyooza yametapakaa!
 
Back
Top Bottom