Okay sawa kiongozi lakini ninachojiuliza ni kuwa nilikuwa shortlisted kwa post tano nyuma kabla ya hizi za August mwaka huu.
Cheti cha kuzaliwa kilikuwa certified chini ya district registrar .
Habari za asubuhi wataalamu,
Ninaomba kuuliza swali , mnamo mwezi wa nane nilifanikiwa ku apply nafasi 4 kwa taasisi nne tofauti kwa kada yangu . Lakini post moja matokeo ya shortlist yametoka na sijafanikiwa kuwa shortlisted kwa sababu ya cheti cha kuzaliwa kutokuwa certified na advocate au...
Hii hali na mimi huwa inanitokea ila nimetambua ni earwax au uchafu wa masikioni unaojaa na kusababisha sikio kuziba Kwa muda , mimi siku nyingine hata siku nzima linaziba kesho yake lifunguka .
Mwaka jana ndio nilianza kuhisi hili tatizo lilipo anza kama double sound Kwa sikio la kulia yaani...
Njoo kiongozi tutengeneze app yetu ya fantasy 6 Tz, unajua kiongozi SOKA la kibongo limekua Kwa kasi na katika mashabiki wa SOKA wengi ni watumiaji wa smartphone .
Hapa Kwa kila wiki zinachaguliwa mechi sita za ligi kuu Tanzania za Kibabe hivyo watumiaji wanatakiwa kuchagua mchezaji mmoja ambaye...
Nawakubali sana wanangu wa Aza boy , moja ya shule bora kabisa mjini Dar es salaam, inawakutanisha wanafunzi kutoka pande zote za jiji wakiwa na uwezo na vipaji mbalimbali. Nikiwa Azania sec nimekutana na vipanga , na Vijana wenye vipaji mbalimbali either mpira, kuchora, ku dance na kuimba .
Hatari sana hili game lina magari kama Bombastic, McLaren, Ford indigo , Lamborghin ndio lenye spidi kubwa na acceleration na magari mengineyo . Mimi nimecheza 2006- 2011
Kwa mimi nimecheza game zote ila eFootball ni moja ya game bora sana ikifuatiwa na Fifa mobile hii ni Kwa sababu ya kiwango cha juu cha gameplay realistic , graphic , pia inakupa challenge ya kutosha kuliko DLS.
Kwa sasa wameita eFootball Kwa maana ya electronic football kuwezesha Michezo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.