Start-Menu
Member
- Sep 10, 2023
- 12
- 63
Kumbukizi ya moja ya Games za zamani zilizochezwa sana na watoto na vijana miaka ya 2000 ni Need for speed.
Unakumbuka kuicheza?
Ulikuwa na umri gani?
ipakue hapa chini ukumbushie enzi 🙂
Dah ebhana ee!! mi nime cheza tangu 2002 hadi 2009, ilikuwa inapigwa knockout ya kufa mtu.
Nilikuwa niko radhi nisiende vipindi vya mchana shuleni niende kucheza na wengine, keyboard moja watu wawili
1. Download hapa (MB 103) >> Need For Speed Download
2. Extract
3. fungua file la config.exe
4. minya more options
5. Weka tiki kwenye "no movie" kisha minya "save and launch", game irafunguka.
Kwa wale ambao game itakuwa taratibu, badili hii sehemu iwe Directx 6
VYA ZIADA
Wale mnaotaka ushindani uongezeke, game ikifunguka nenda sehemu ya "Opponenents", Nenda "Skill Level", badili iwe "Advanced".
Kupata magari ya Fze, tombstone na Bomber, ingia sehemu ya kuchagua gari andika fzr2000
Unakumbuka kuicheza?
Ulikuwa na umri gani?
ipakue hapa chini ukumbushie enzi 🙂
Dah ebhana ee!! mi nime cheza tangu 2002 hadi 2009, ilikuwa inapigwa knockout ya kufa mtu.
Nilikuwa niko radhi nisiende vipindi vya mchana shuleni niende kucheza na wengine, keyboard moja watu wawili
1. Download hapa (MB 103) >> Need For Speed Download
2. Extract
3. fungua file la config.exe
4. minya more options
5. Weka tiki kwenye "no movie" kisha minya "save and launch", game irafunguka.
Kwa wale ambao game itakuwa taratibu, badili hii sehemu iwe Directx 6
VYA ZIADA
Wale mnaotaka ushindani uongezeke, game ikifunguka nenda sehemu ya "Opponenents", Nenda "Skill Level", badili iwe "Advanced".
Kupata magari ya Fze, tombstone na Bomber, ingia sehemu ya kuchagua gari andika fzr2000