Azania Sec. School (SPECIAL THREAD)

Azania Sec. School (SPECIAL THREAD)

Nawakubali sana wanangu wa Aza boy , moja ya shule bora kabisa mjini Dar es salaam, inawakutanisha wanafunzi kutoka pande zote za jiji wakiwa na uwezo na vipaji mbalimbali. Nikiwa Azania sec nimekutana na vipanga , na Vijana wenye vipaji mbalimbali either mpira, kuchora, ku dance na kuimba .
Yaan pale full package.

Kuna vipanga.

Kuna watu wenye vipaji

Alaf kuna sisi sasa, hatupo kotekote, kazi yetu kuchonga modo tuu na kuvaa milegezo.
 
Short history;
Azania secondary school is among the oldest schools in the country, started to operate in the year 1933. This means it is now 88 years old (2021). Formally the school was owned by Tanzanians of Asian origin before taken by government in the year 1967. The school is situated in Charambe Street, along United Nations road, Upanga west ward in Ilala municipality in Dar es salaam region.

ALSO KNOWN AS BIG NATION😎

Uzi tayari.
Kuna arusha school ya 1932
 
Big Nation kwa Dar ni Tambaza Azania hawatuwezi kiUgomvi ,kwa Unyamwezi ,KwaExposure nk

Tazama Mbali Zaidi (Tambaza) ndio moto wa kuotea mbali.
 
Dah nimekumbuka mbali enzi za Ngoozye,Mwalimu wa michezo marehemu Hatia,Mzee Matawa,Mganga,Nkya,Luchwaza,Mlokozi nk

Niliwahi dakwa nikiwa natoroka mida ya saa 9 na Luchwaza akaenda nikabidhi kwa Mganga ilikua noma sana .
 
Short history;
Azania secondary school is among the oldest schools in the country, started to operate in the year 1933. This means it is now 88 years old (2021). Formally the school was owned by Tanzanians of Asian origin before taken by government in the year 1967. The school is situated in Charambe Street, along United Nations road, Upanga west ward in Ilala municipality in Dar es salaam region.

ALSO KNOWN AS BIG NATION😎

Sukari ya warembo😈


Uzi tayari.
Dah,
Kitambo sana.
Walimu kama Tokyo (History), Mugituti, Andrew Kwayu (Head Master), Mchwampaka (Discipline), Christian, Kuna wa Physics nadhan ndio alikua msaidiz wa Kwayu, Fuvu kwenye mathematics, etc.

Bifu Azania vs Jitegemee, Pigana sana bisibisi na viwembe pale feri kulikua na kituo Cha daladala mbele ya NBC Bank au ile bustani. Bifu lilikua eti kugombea hicho kituo Cha daladala.

Bifu Azania vs Al-haramain tukikutana kwenye mechi za UMISETA Ilala. Na Kuna bifu maaarufu la Azania vs Tambaza ambalo sikulikuta. Bifu hili lilipelekea kufutwa kwa O-Level Tambaza. Wanasema kuna mwamba wa Tambaza alitoka bonden Kwa madiba na formula ya kutengeneza mabomu ya petrol, hiyo ndio iliyoipa ushindi Tambaza against Azania.

🎶 Azania Azania Azania our school,
We look at you with pride,
you are known far and wide, you are always our guide,
we will never forget you 🎶
 
Back
Top Bottom