Ninatamani kuanzisha space research organization hapa Tanzania

Mazugwa

Member
Apr 19, 2013
63
60
Habari za wakati huu wakuu,

Nimewahi kuandika mada kuhusu space research kwa hapa Tanzania na matamanio yangu kama raia wa Tanzania kuanzisha au kua na kitu kwaajiri ya research za kisayansi kama zilivyo nchi zilizoendelea, kuanzisha research organization kwaajiri ya mambo ya anga na kua na lab nzuri kwa ajiri ya vijana wenye ujuzi na engineers wazuri na wenye vipaji tulio nao.

Mmwenye interest ya kweli naomba anifuate inbox.
 
Unataka kufanya Space Research au unataka kuanzisha space Research Organization
 
Kuanzisha space research organization
Inabidi kwanza uanze kufanya Space Research.Tafuta Pesa Kidogo Ununue Telescope,Nunua PC install Application za Space,Anza kuangalia Anga hasa usiku ili uone movement na position za objects mbalimbali.Chapisha Vile unavyoona Angani kwa kutumia lugha ya kiswahili kisha ujenge nafasi na jina katika jamii yenye wenye hamasa na masuala ya Space.Unaweza kuwa unaweka Picha ya hali ya Anga kwa siku husika au hata video ili kuvutia zaidi ya hadhira.


Kama kweli una nia utaanza kufanyia kazi huu ushauri bali ya kuendelea kutamani kuanzisha SRO.

Wasiliana na vyuo hapa Tanzania kama UDSM na Nelson Mandela ili uone kama wana kitengo cha SPace Studies ili upate kampani ya watu wenye interest kama hakuna unaweza kuanzisha tu kama club ndani ya vyuo vikuu ili upate zaidi following kutoka kwa Academia ambao ndio moyo wa Space.

Ukishindwa kufanya hivyo vyote.Basi Anzisha X handle ya Tanzania Space Program kisha umfollow Elon Musk,NASA,SpaceX,ESA etc Wakikufollow back unakuwa Tayari umepiga hatua moja kubwa sana ndani ya muda mfupi.


Tembelea hizi links ujifunze zaidi

PM for more details
 
Inabidi kwanza uanze kufanya Space Research.Tafuta Pesa Kidogo Ununue Telescope,Nunua PC install Application za Space,Anza kuangalia Anga hasa usiku ili uone movement na position za objects mbalimbali.Chapisha Vile unavyoona Angani kwa kutumia lugha ya kiswahili kisha ujenge nafasi na jina katika jamii yenye wenye hamasa na masuala ya Space.Unaweza kuwa unaweka Picha ya hali ya Anga kwa siku husika au hata video ili kuvutia zaidi ya hadhira.


Kama kweli una nia utaanza kufanyia kazi huu ushauri bali ya kuendelea kutamani kuanzisha SRO.

Wasiliana na vyuo hapa Tanzania kama UDSM na Nelson Mandela ili uone kama wana kitengo cha SPace Studies ili upate kampani ya watu wenye interest kama hakuna unaweza kuanzisha tu kama club ndani ya vyuo vikuu ili upate zaidi following kutoka kwa Academia ambao ndio moyo wa Space.

Ukishindwa kufanya hivyo vyote.Basi Anzisha X handle ya Tanzania Space Program kisha umfollow Elon Musk,NASA,SpaceX,ESA etc Wakikufollow back unakuwa Tayari umepiga hatua moja kubwa sana ndani ya muda mfupi.


Tembelea hizi links ujifunze zaidi

PM for more details
Ahsante sana mkuu naanza kufanyia kazi ushauri wako kuanzia sasa na nikihitaji ushauri zaidi nitakutafuta
 
Inabidi kwanza uanze kufanya Space Research.Tafuta Pesa Kidogo Ununue Telescope,Nunua PC install Application za Space,Anza kuangalia Anga hasa usiku ili uone movement na position za objects mbalimbali.Chapisha Vile unavyoona Angani kwa kutumia lugha ya kiswahili kisha ujenge nafasi na jina katika jamii yenye wenye hamasa na masuala ya Space.Unaweza kuwa unaweka Picha ya hali ya Anga kwa siku husika au hata video ili kuvutia zaidi ya hadhira.


Kama kweli una nia utaanza kufanyia kazi huu ushauri bali ya kuendelea kutamani kuanzisha SRO.

Wasiliana na vyuo hapa Tanzania kama UDSM na Nelson Mandela ili uone kama wana kitengo cha SPace Studies ili upate kampani ya watu wenye interest kama hakuna unaweza kuanzisha tu kama club ndani ya vyuo vikuu ili upate zaidi following kutoka kwa Academia ambao ndio moyo wa Space.

Ukishindwa kufanya hivyo vyote.Basi Anzisha X handle ya Tanzania Space Program kisha umfollow Elon Musk,NASA,SpaceX,ESA etc Wakikufollow back unakuwa Tayari umepiga hatua moja kubwa sana ndani ya muda mfupi.


Tembelea hizi links ujifunze zaidi

PM for more details
Lile Dili lenu la kariakoo kiganjani limeishia wapi 😆
 
Inabidi kwanza uanze kufanya Space Research.Tafuta Pesa Kidogo Ununue Telescope,Nunua PC install Application za Space,Anza kuangalia Anga hasa usiku ili uone movement na position za objects mbalimbali.Chapisha Vile unavyoona Angani kwa kutumia lugha ya kiswahili kisha ujenge nafasi na jina katika jamii yenye wenye hamasa na masuala ya Space.Unaweza kuwa unaweka Picha ya hali ya Anga kwa siku husika au hata video ili kuvutia zaidi ya hadhira.


Kama kweli una nia utaanza kufanyia kazi huu ushauri bali ya kuendelea kutamani kuanzisha SRO.

Wasiliana na vyuo hapa Tanzania kama UDSM na Nelson Mandela ili uone kama wana kitengo cha SPace Studies ili upate kampani ya watu wenye interest kama hakuna unaweza kuanzisha tu kama club ndani ya vyuo vikuu ili upate zaidi following kutoka kwa Academia ambao ndio moyo wa Space.

Ukishindwa kufanya hivyo vyote.Basi Anzisha X handle ya Tanzania Space Program kisha umfollow Elon Musk,NASA,SpaceX,ESA etc Wakikufollow back unakuwa Tayari umepiga hatua moja kubwa sana ndani ya muda mfupi.


Tembelea hizi links ujifunze zaidi

PM for more details

Natumai mleta mada kapata muongozo
 
Lile Dili lenu la kariakoo kiganjani limeishia wapi 😆
Mkuu,halijaisha,kwa nini nimehisi kwamba ulielewa vizuri na unatamani lifanikiwa ila una kiwango kikubwa cha mshaka?Anyway liko tayari nalifanyia kazi na tayari nimeshapata developers watatu so ni suala la kuweka resources zote sawa tu
 
1700316751282.png

1700316836080.png

1700316948444.png
 
Mkuu,halijaisha,kwa nini nimehisi kwamba ulielewa vizuri na unatamani lifanikiwa ila una kiwango kikubwa cha mshaka?Anyway liko tayari nalifanyia kazi na tayari nimeshapata developers watatu so ni suala la kuweka resources zote sawa tu
Ushatusua wew. Nitaleta CV mniajir jack ma, hiyo ni Alibaba ndan ya bongo
 
Ujinga mtupu. Watu wa space wenzako wanawatafuta vyuoni huko, unakuja jf. Gadamn. Nenda BOT PALE
 
Back
Top Bottom