Mimi ni msichana mtanzania mwenye umri wa miaka 21 na ninaishi jijini Mwanza ,elimu yangu ya o level nimesoma Uganda na elimu yangu ya chuo nimeipata katika chuo cha usimamizi wa fedha I.FM tawi la mwanza kwa ngazi ya cheti "Certificate of accountancy ".
Nimekuja kwenu wanajamvi mnisaidie...
Pole sana mkuu mi nakushauri siku nyingine ukinunua gari usiwe na tabia ya kupeleka carwash wakuoshee kisha unawaachia funguo halafu unakuwa umekaa pembeni unachati au unapata kilaji.
Wezi huwa na connection na watu wa car wash hivyo suala la kuchonga ufunguo huwa ni fasta tu wakati unasubiria...
Mimi pia nipo mwanza nlitaka nfanye biashara hiyo ya mazao hasa ya mahindi na maharage lakini bado sijapata mwongozo,kwa watu wa kanda ya ziwa ,mji gani unauza mahindi bei nafuu kwa ajil ya kuyaleta kuyauza mwanza mwanza???nsaidien wadau,bei kwa kilo,usafiri na bei ya kuuza kwa mjini
Kila mwenye akaunti mpya humu jf sio mgeni na yeye...!!!Wengine humu ni wakongwe kuliko hata nyinyi mnaolalamika et mimi ni mpya humu...!!!hii ni akaunti maalum ya kutaftia mpenzi baada ya wenzangu wengi kufanikiwa na kuleta mrejesho humu
Habari zenu wanajamvi...!!!
Mimi ni mvulana rijali kabisa na nimekuja mbele yenu wanajamvi kwa ajili ya kutafuta mpenzi simple kabisa na mwenye vigezo vifuatavyo..;
1:Awe na miaka 18 na kuendelea.
2:Kabila yoyote ile.
3:Awe anajua kusoma na kuandika.
4:Dini yoyote ile.
5:Awe na mapenzi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.