Dini zinatengenezwa na watu wenye nguvu ili kutawala wanyonge.
Kwahyo inashangaza sana pale napoona mbwa analalamika kwanini mmiliki wake havai mnyororo shingoni kama yeye.
Dhana ya ukifa hauendi popote ni uongo kwakuwa 'wewe' haupo.
'Wewe' ni kitu ambacho kipo sasaivi tu. Hata usipokufa lakini baadae hiyo unayoiita 'mimi' saivi haitakuwepo.
'Wewe' ni kitu ambacho kipo kwenye wakati uliopo basi. Hivo kusema hiyo wewe kuna sehemu itaenda au haitaenda ukifa ni kosa...
Unaambiwa huyu mjapan ndo anashikilia rekodi ya kupiga puli kwa muda mrefu.
Akivunja rekodi iliyokuwepo ya masaa 9 na dakika 33 kwa kuweka rekodi yake mpya ya masaa 9 na dakika 58.
Rekodi iliyokuwepo ilikuwa inashikiliwa na Masanobu Sato. Yeye mwenyewe.
Unaambiwa
#Ni yeye.
Masanobu sato for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.