Umeandika mithili ya mshambuliaji wa football, anayewaza kushangilia badala ya kufunga. Matokeo yake hafungi, na hatoshangilia. Mie si mwenyeji wa mbeya, lakini naifahamu mbeya, Arusha, dar, na mwanza. Je, haya yanastahili kuwa majiji, ukilinganisha na paris?....siku Dodoma ikiwa jiji uje...