hajawekwa kiganjani ni kwamba kuwa decent ndo tatizo kwake na inaonekana hajajua bado jinsi ya kutumia uanaume wake kwa wanawake interms of making decision.... ushaur wangu ni kwamba inatakiwa uwe harsh ktk vtu vya kipuuz na ambavyo huvifurahii na inatakiwa ufanye maamuz magumu ikiwezekana...
Ebwana mkuu umenikumbusha mbali sana..
Unajua nlikua nafatilia hiz iman ambazo tunaziita za zaman kwa muda kidogo na nikagundua wazee wetu wa zaman walikua na uwezo mkubwa wa kufkiri na walikua watu siasa nzur kwa kias chake ukiangalia misemo hii ming ina maana ya kumkataza kijana ktu flan...
We kahinda rejea kichwa cha habar cha hii thread inahusu nini sio unaongea tu bila kuelewa umesoma nin kama angeandika kuhusu vedasto angeandika makala yake, hakuna ajenda ya siri hapo ni matatizo yako binafsi ya kutafsiri mambo knyume na kwa mtazamo huo mambo mengi utayatafsiri kinyume na...
Hv nyinyi mnaojiita wakristo mnaakili dhaifu hamfatilii mambo akishasema mchungaj wenu bas mnayabeba hvyo hvyo nimeamin kwel mapreaches wanakupandikizien chuki na uhasama juu ya uislam na waislam na kukufichen ukwel juu ya uislam soma link hii ntayoitoa ndo utajua ukristo walipigana vp miaka...
Nakusikitikia kwa kutokua mdadisi na kuyachukulia mambo juu juu bila kufanyia utafiti wa kutosha... Nini maana ya uislam? Uislam una maana mbili ya kwanza: amani...
Wanajamii changieni mnayoyajua kuhusu ukwel wa uwepo wa hawa viumbe (nguva- nusu binadam nusu samaki).. Na ifuatayo ni research ndogo nliyoifanya kuhusu hawa viumbe.
The National...
waungwana... kulipia huduma ya internet ktk bb kwa sisi wengine ni mtihan so kama kuna muungwana anaejua jins ya kuifanya itumie internet km cmu nyingine nielekezen..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.