Nammna ya Kuficha documents bila kutumia Software

Nammna ya Kuficha documents bila kutumia Software

Info Boy

Member
Joined
Sep 9, 2013
Posts
33
Reaction score
6
Ni rahisi kuficha na kufichua mafiles yako kwenye PC bila kutumia software ya aina yoyote. Tutatumia Command Prompt, Mfano una folder liko drive D lina videos ambazo hutaki mtu mwingine azione,
(a)Fuata step hizi kuficha:
1.Bonyeza Window button na herufi R, window mpya itafunguka na utatype cmd na kubonyeza enter
2. Command Prompt itafunguka na utatype attrib +s +h D:\Videos" Utaona folder hilo halipo.
Soma zaidi hapa
 
INFO BOY,,,,MBONA KUNA KWANGU KITU KINAGOMA,,,,baada yaku click window botton na r,,zen CDM,,,inaleta ms inasema window canot find the respective file,,inakuaje hapo
 
INFO BOY,,,,MBONA KUNA KWANGU KITU KINAGOMA,,,,baada yaku click window botton na r,,zen CDM,,,inaleta ms inasema window canot find the respective file,,inakuaje hapo
Type cdm kwa herufi ndogo.
Jamani NI CMD na haijalisha ni herufi ndogo au KUBWA
 
Type cdm kwa herufi ndogo.
:doh:cdm lazima ataleta error, type cmd

Ila mtoa maada kama unataka kuelemisha watu ni vema unatumia njia ambayo hata mtu anaejifunza computer keo ataweza kukuelewa, kwa mfano mwambie Click Start, Then run then kwenye command prompt ndio type cmd kwa Windows Xp, kama windows 7 - Start - then mahali inaonyesha search for windows and files hapo type cmd
 
:doh:cdm lazima ataleta error, type cmd

Ila mtoa maada kama unataka kuelemisha watu ni vema unatumia njia ambayo hata mtu anaejifunza computer keo ataweza kukuelewa, kwa mfano mwambie Click Start, Then run then kwenye command prompt ndio type cmd kwa Windows Xp, kama windows 7 - Start - then mahali inaonyesha search for windows and files hapo type cmd
ok sawa ni typing error ni cmd
 
:doh:cdm lazima ataleta error, type cmd

Ila mtoa maada kama unataka kuelemisha watu ni vema unatumia njia ambayo hata mtu anaejifunza computer keo ataweza kukuelewa, kwa mfano mwambie Click Start, Then run then kwenye command prompt ndio type cmd kwa Windows Xp, kama windows 7 - Start - then mahali inaonyesha search for windows and files hapo type cmd

Umenichekesha sana kwny sentensi ya kwanza, watu wamezoea sana neno cdm(chadema) mpaka wanajisahau kuandika cdm badala ya cmd
 
Roght Click kwenye file /folder husika, nenda properties, then utaona sehem ya hidden. Click hapo then apply ok! Kwa windows os
 
mkuu nimesha i hide,nipe jinsi ya kuiona tena.

simple,, kama unatumia windows 7 au xp fungua folder yoyote, kwenye toolbar ya juu utaona toools, nenda folder options then utaona show hidden filed/folder utaclick hapo then file/folder lako ukirudi utaliona, kulificha tena nenda ondoa "show hidden folders" ...... kama unatumia wind 8 fungua foler lolote juu kabisa utona option ya view, click hapo then tafuta ki option ya hidden items click hapo and vice versa...
 
simple,, kama unatumia windows 7 au xp fungua folder yoyote, kwenye toolbar ya juu utaona toools, nenda folder options then utaona show hidden filed/folder utaclick hapo then file/folder lako ukirudi utaliona, kulificha tena nenda ondoa "show hidden folders" ...... kama unatumia wind 8 fungua foler lolote juu kabisa utona option ya view, click hapo then tafuta ki option ya hidden items click hapo and vice versa...

Nimefanya kama ulivyoelekeza mkuu jinsi ya kuliona folder lkn ktk laptop yangu imegoma kuonekana hlo file nlilo li-hide nifanyaje ili nlione tena?
 
Nimefanya kama ulivyoelekeza mkuu jinsi ya kuliona folder lkn ktk laptop yangu imegoma kuonekana hlo file nlilo li-hide nifanyaje ili nlione tena?

(b)Fuata steps hizi kufichua:
1.Fungua Command Prompt na utatypeattrib -s -h D:\Videos"kisha uatona folder lako
 
Nimefanya kama ulivyoelekeza mkuu jinsi ya kuliona folder lkn ktk laptop yangu imegoma kuonekana hlo file nlilo li-hide nifanyaje ili nlione tena?

unatumia os/ windows ipi?? je unakumbuka location ya file lako kabla ya kuli hide? reply
 
INFO BOY,,,,MBONA KUNA KWANGU KITU KINAGOMA,,,,baada yaku click window botton na r,,zen CDM,,,inaleta ms inasema window canot find the respective file,,inakuaje hapo

Sawa tunaipenda CHADEMA lakini sio kwenye DOS jama!
 
Back
Top Bottom