Recent content by The asker

  1. The asker

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Wale wote mliotoa ramli ambazo hazikutimia. Nawaomba kwa hiari yenu bila shuruti mlete tunguri zenu hapa jukwaani tuziteketeze mbele ya halaiki. Kisha mtakula viapo vya kutojihusisha na ramli za aina yoyote tena.
  2. The asker

    Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

    Mkuu ulituangusha wanajeshi wa mpakani. Mimi walinibembeleza wanishikisha hizo cards, nikashinda vocha ya buku 8 wakaniambia niwape simu waniwekee nikawapa. Badae nikashinda redio bas wakasema nichangie hako ka percentage, nikasema sina hela, wakanishawishi nikagoma, wakasema nilipe fine ndo...
  3. The asker

    Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

    Asee mimi na cayafas tulikuja kukaza tukatoboa hadi siku tunafuata vyeti tulipikiwa ubwabwa na mi soda, tukapewa mahali pa kulala na kama hiyo haitoshi asubuhi tukaombwa kuhutubia wanafunzi parade. I wish ungesikia vile nilihubiri ambacho sikutenda.
  4. The asker

    Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

    Kufanya mtihani ofisini, nikiwa na njaa huku nimesimamiwa walimu wanaokula wali nyama. Sikufurahiswa hilo shambulio la aibu mkuu.
  5. The asker

    Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

    [emoji28][emoji28] Mungu ni mwema mkuu naamini tutaenda
  6. The asker

    Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

    Nakumbuka A-level mi na mwanangu cayafas tulikuwa hatupigi msuli na kuingia darasani ilikuwa kwa makando makando Muda wetu mwingi tulikuwa bwenini tunapiga stori, kucheza draft nk, sometimes tulikuwa tunashinda kijijini. Ilifika time mwalimu wa darasa alinikana kuwa mimi sio mwanafunzi wake...
  7. The asker

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu unaposema dominance ambayo hata fergie alishindwa cjaelewa ipo katka misingi ipi, kwa sababu man city epl kachukua mara mbili mfulurizo ila fergie alisha chukua mara tatu mfulurizo twice. Sasa cijaelewa mbili inakuwaje dominance afu tatu isiwe.
  8. The asker

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ole anadai anataka watu walioelekeza moyo utd, sasa sijui hili zee analotaka kuchukua for about 50 m, moyo wake upo utd?. Kama cio kuja kuwa kma chamacky kusubir magoli ya vichwa, coz hata kudribble halijui. Af huyu ed n mpumbav mmoja hiv asiejua mpira anachojua yeye n pesa tu. Anachukulia ile...
  9. The asker

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    The lion does not concern itself with the opinion of the sheeps "Cersei lannister" If people ask you tell them the north remembers, tell them winter came for house frey "Arya stark" The man who passes the sentence should be the one to swing the sword "Ned stark"
  10. The asker

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Tryrion lannister'' I want you to f*ck me like it is my last day on this world"
  11. The asker

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Habar za hii timu yetu n tetesi tupu wazee, sioni kama kutakuwa na ingizo jipya lolote with just two days left dirisha lifungwe
  12. The asker

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo natoka hiv Walsall Wigan Cheltenham Grimsby Galatasary All win
  13. The asker

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuna huu mkeka nataka niutie buku 55000 wandugu but nataka nmtoe juve coz anacheza wiki ile nyingne return yake 200000. Naomba maoni
  14. The asker

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu mc chere njoo umuone istanbul huku kesha mwaga ugali
  15. The asker

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Zero bet huwa inatumika wakat mechi inaendelea eg mechi ikiwa may be dkk 50 na matokeo ni 1-0 unafuta yale matokeo unatabir mshind n yupi or sare. Eg ukitabir zero bet 1 mean huyo anaeongoza afunge goli jingine na mechi iishe ameshinda . Zero bet 2 wa away achomoe na mechi iishe 1-1 au mwenzake...
Back
Top Bottom