Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kumbe ndio alikuwa anajaza wese....dah inaelekea jamaa alikuwa anadatisha na ubooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sitasahau hiki kisa kwa mshkaj wangu..baada ya kumaliza A level nikapata tempo ya kuandikisha sensa..sasa nilikua na mshkaj wangu mmoja ikawa nikija kutoka ma bush natoka nae tunakula gambe sana kisha tunaenda zetu disco kipimd hicho..tulikua na utaratibu wetu kuwa we party with no bitchez kwahyo ilikua ni kivyetu vyetu ..siku moja nimerud na mpunga wa maana tukaenda na mwana kama kawaida kula gambe..kdgo ikaja pisi kali sana..jamaa yangu akaielewa nikamwambia kama vp sema nayo..pisi ilikua inasoma chuo cha uhazil
Tbr bas baada ya jamaa kusema na mtoto kumbe mtoto alikua anajiandaa walikua wefunga chuo na kesho yake alikua anapanda treni kwenda dar..so wakakubaliana aende chuo kuchukua begi lake then waende guest then gambe na mambo mengine then kesho amuwahishe stesheni awah tren..jama akaniambia mtoto kaeleweka nikaona mshkaj nisimbanie..nikampa mpunga wanku spendi daah hapo ndo ilikua mistake..basi kwel jamaa akaenda nae chuo wakachukua mizgo then wakapanga guest na wakaja sehem nilipokuwepo tukaendeleza gambe kama kawa..mida mida jamaa akasema ngoja aende akale mzgo basi tukaagana..next day mshkaj akaniambia alikamua kama kawa na demu kesha sepa kwenda dar..basi ikapita hyo sasa siku moja tumekaa sehem mshkaj mmoja akatuona wkt yule mshkaj wangu ametoka basi yule jamaa akaniambia huyu ni jamaa yako nikamwabia yes akaniambia anakumbuka alimuona sehem flan na dem wa chuo ila dem
Mwenyewe kaungua na miwaya nikashtuka kinyama..nikapotezea ila ile kitu ilikua inasumbua sana kichwa siku moja nikamwambia mwana eebwana twende tukachek afya maana maisha mafup haya..aisee sitasahau ile siku baada ya mshkaj wangu kukutwa na ngoma na nikajiona nahusika kwa 80% na issue ile..kpndi hicho hakuna ARV wala nn..mshkaj alipata shock akaanza kuumwa kwa hofu ikawa ndo kuumwa mpk kifo..SITASAHAU AISEE
 
Niko form one muhula wa kwanza na niko likizo , kuna tajiri na kijana mmoja walikuja kijiji kwetu kununua mpunga.
Nikawa nimejenga urafiki na yule kijana.

Wakawa wamekodi godown kwa hiyo mpunga ulikuwa unahifadhiwa humo. Yule tajiri yeye alikuwa anarudi mjini akimuacha yule kijana pale kijijini na alikuwa analala humo humo kwenye godown.
Baadae tajiri aliniomba(bila malipo yoyote) niwe nampa kampani yule kijana kwa kulala wote kwenye godown, nilikubali bila kujua nilikuwa nahatarisha maisha yangu.

Tajiri siku zingine alikuwa haji na anamuachia yule kijana fedha za kununulia huo mpunga kwa siku ambazo hatakuja. Kuna siku ambayo aliacha fedha na mpunga haukununuliwa kwa kiasi kikubwa kwa hiyo kijana akabaki na salio.

Kitendo cha kubaki na salio kumbe wahuni washajua. Hawa wahuni ni jamaa waliowahi kukaaa mjini wakawa wamerudi kijijini kutokana na changamoto ya maisha kwa wazazi wao.Walijulikana kutokana na baada ya tukio kutoonekana.

Imefika usiku baada ya story za hapa na pale tukalala. Baadae katikati ya usingizi nilishtushwa na kitu kikitua kwenye kichwa changu , nikawa nimepigwa panga kwenye paji la uso. Tukaambiwa tuwape hela la sivyo watatuua.

Walipoona nimeloa damu na siwaangalii usoni wakawa wako na kijana wakimpiga mapanga ya ubapa. Kijana akawa anagoma kwamba hana hela lakini baadae walipata kiasi kilichokuwa kimebaki alikokuwa ameficha kwenye magunia.

Baada ya kuondoka nilijikongoja mpaka nyumbani maana ilikuwa karibu, wazazi walinipeleka fasta hospitalini na kushonwa nyuzi.

Tajiri hakuamini kama tulivamiwa, hii ndio inanifanya nijute mpaka leo.
Baada ya mimi kutolewa hospitalini tajiri akatuita mimi na kijana wake akituambia tuseme ukweli kama tumejiumiza au la maana anaenda kwa mganga.
Tulimwambia aende tu kwa mganga.

Mpaka leo kovu lipo kwenye paji na nilirudi shule nikiwa na nyuzi. Nikikumbuka tukio hili najiona mjinga kukubali ombi la yule tajiri bila malipo huku nikihatarisha maisha yangu. Nawaza angeshusha kidogo angeweza kunikata shingo.
 
Sitasahau hiki kisa kwa mshkaj wangu..baada ya kumaliza A level nikapata tempo ya kuandikisha sensa..sasa nilikua na mshkaj wangu mmoja ikawa nikija kutoka ma bush natoka nae tunakula gambe sana kisha tunaenda zetu disco kipimd hicho..tulikua na utaratibu wetu kuwa we party with no bitchez kwahyo ilikua ni kivyetu vyetu ..siku moja nimerud na mpunga wa maana tukaenda na mwana kama kawaida kula gambe..kdgo ikaja pisi kali sana..jamaa yangu akaielewa nikamwambia kama vp sema nayo..pisi ilikua inasoma chuo cha uhazil
Tbr bas baada ya jamaa kusema na mtoto kumbe mtoto alikua anajiandaa walikua wefunga chuo na kesho yake alikua anapanda treni kwenda dar..so wakakubaliana aende chuo kuchukua begi lake then waende guest then gambe na mambo mengine then kesho amuwahishe stesheni awah tren..jama akaniambia mtoto kaeleweka nikaona mshkaj nisimbanie..nikampa mpunga wanku spendi daah hapo ndo ilikua mistake..basi kwel jamaa akaenda nae chuo wakachukua mizgo then wakapanga guest na wakaja sehem nilipokuwepo tukaendeleza gambe kama kawa..mida mida jamaa akasema ngoja aende akale mzgo basi tukaagana..next day mshkaj akaniambia alikamua kama kawa na demu kesha sepa kwenda dar..basi ikapita hyo sasa siku moja tumekaa sehem mshkaj mmoja akatuona wkt yule mshkaj wangu ametoka basi yule jamaa akaniambia huyu ni jamaa yako nikamwabia yes akaniambia anakumbuka alimuona sehem flan na dem wa chuo ila dem
Mwenyewe kaungua na miwaya nikashtuka kinyama..nikapotezea ila ile kitu ilikua inasumbua sana kichwa siku moja nikamwambia mwana eebwana twende tukachek afya maana maisha mafup haya..aisee sitasahau ile siku baada ya mshkaj wangu kukutwa na ngoma na nikajiona nahusika kwa 80% na issue ile..kpndi hicho hakuna ARV wala nn..mshkaj alipata shock akaanza kuumwa kwa hofu ikawa ndo kuumwa mpk kifo..SITASAHAU AISEE
🥺🥺🥺🥺😭😭Hamna jinsi ungefanyaje sasa
 
Nilimpa demu wangu wa utotoni li baruti fulani lenye muundo wa mshumaa nikamdanganya kuwa ukiwasha kale kautambi zinatokea rangi nzuri aisee si akaenda nalo moja kwa moja hadi kwao akaingia jikoni ambapo wapangaji wote hupikia humo na mama yake yupo humo anapika si akaliwasha bwanaaa weeeee LIKAJIBU PWAAAAA kmmke daa wengine walizimia na kulazwa include mama yake ila mmoja aliruka mripuko uliposikika akatua kwenye maji ya moto.Jamani navyoongea hivi kuna mtu ana jeraha lilosababishwa na ujinga wangu MUNGU NISAMEHE.Mi baruti tuliipata kwa dada yangu ambae alikuwa anafanya kazi kwa WaINDI sio jambo la kujisifia ila kilichonikuta baada ya hilo tukio mixer na mapolisi waliingia mama yangu haelewi kwa nini nimekuja kukamatwa aisee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23]dah
 
Ninachojutiaa ni 2016 dem mmoja hv sister aliniombaa niendee kwakee nikamsaidiee kufungaa kitandaa chake alinunuaa ,nikaendaa bhanaa kilichonikutaaa baada ya kufungaa kitandaa nikaanza kupigishwa story za hapa napale wkt nataka kusepaa akaniambia unaondokaje ujanywa hata soda c ndio akaletaa coca na wine bhanaaa tukaanza kunywa hapo ilikuwaa mida ya saa nne asubuh cku ya jpili huku tunapiga story ,maraa akasemaa ngojaa aandaee breakfast bhanaa bhanaa breakfast ikajaa tukaendeleaa na winee nikamtaniaa ,

Wine aipandi bhanaa nifanyie mpng wa safari mbili kubwaa nikampaa ten afate dukani akakataa akasemaa nisijali ataninuliaaa bhanaa akafata safar akaja nazo ,yy nikamwachia wine [emoji485] mm nikaanza kunywa safari mdg mdg tu ,baada safari zikakoleaa na dem wine ishamlegeza macho full kujichekeshaa tu mwishowee nikatakaa kusepaa ndipo dem akaniambia JIONGEZE nikamwambia hapanaaa ww n km sister tu bhanaa ,

Weeee akakimbilia mlango akafungaa na funguo akachomoaaa bhanaa bhanaa akawaa sasaa ananitaka tuduuu wt uku akiongeaaa mambo mengi na jinc anavyonizimiaaa tokaa cku aliponionaaa mtaani kwangu tokaa ameamia akaona mm ndio mwanaume namfaaaa bhanaa ajaongeaa mengi mwishowee ALINIBAKAAA ,,,baada yakubakwaa na yulee dem ckutegemeaa kbs kilichokujaa tokeaa maishan maana nawaambiaaga watu nilibakwa na mwanamkeee hawaamini kbs
So sad
 
Nilimpenda mdada Fulani hivi advance, lakini kutokana na maisha yangu ya UTAWA[emoji1] nikaona nikomae na yangu nisijue ya Leo sio ya Jana.

Miaka ikaenda, tukamaliza shule bila kumuambia lolote, bila kujua tukaenda college Moja, ilikuwa ni Furaha siku nimeonana nae, hug za kutosha Hadi watu wa pembeni wakawa nashanga, ye alikuwa na mwenzie namie nlikuwa na jamaa angu. Maisha ya college pia sikumwambia lolote but tulikuwa karibu sana kama wapenzi. Room kwake naenda nakaa Hadi night kucheki Korean series etc,

Yule Binti alimaliza mbele yangu, Siku hiyo nipo kwa Mji wa Mkapa nikaona nimtolee uvivu nikamfungukia ukweli wote, Binti akawa anashangaa Kwann sikumuambia mapema had muda ule na alikuwa Hana mtu, akanipea polee lakini akawa tayari na mtu wake. Japo naye alikuwa anahisia namii baada ya ku confess, nikaona sio uungwana kuingilia mahusiano yake na jamaa wake wa sasa, nikaachana nae japo tunaishi kama wapenzi.

Nlichojifunza ukimuelewa mtu usikawie kusema, mwambie akatae mwenyewe na kujifanya unaogopa tongoza kuhofia utapoteza urafiki wenu nimejua ni ujinga.
Udomo zege ndo ulikukosesha tunda
 
Sitasahau hiki kisa kwa mshkaj wangu..baada ya kumaliza A level nikapata tempo ya kuandikisha sensa..sasa nilikua na mshkaj wangu mmoja ikawa nikija kutoka ma bush natoka nae tunakula gambe sana kisha tunaenda zetu disco kipimd hicho..tulikua na utaratibu wetu kuwa we party with no bitchez kwahyo ilikua ni kivyetu vyetu ..siku moja nimerud na mpunga wa maana tukaenda na mwana kama kawaida kula gambe..kdgo ikaja pisi kali sana..jamaa yangu akaielewa nikamwambia kama vp sema nayo..pisi ilikua inasoma chuo cha uhazil
Tbr bas baada ya jamaa kusema na mtoto kumbe mtoto alikua anajiandaa walikua wefunga chuo na kesho yake alikua anapanda treni kwenda dar..so wakakubaliana aende chuo kuchukua begi lake then waende guest then gambe na mambo mengine then kesho amuwahishe stesheni awah tren..jama akaniambia mtoto kaeleweka nikaona mshkaj nisimbanie..nikampa mpunga wanku spendi daah hapo ndo ilikua mistake..basi kwel jamaa akaenda nae chuo wakachukua mizgo then wakapanga guest na wakaja sehem nilipokuwepo tukaendeleza gambe kama kawa..mida mida jamaa akasema ngoja aende akale mzgo basi tukaagana..next day mshkaj akaniambia alikamua kama kawa na demu kesha sepa kwenda dar..basi ikapita hyo sasa siku moja tumekaa sehem mshkaj mmoja akatuona wkt yule mshkaj wangu ametoka basi yule jamaa akaniambia huyu ni jamaa yako nikamwabia yes akaniambia anakumbuka alimuona sehem flan na dem wa chuo ila dem
Mwenyewe kaungua na miwaya nikashtuka kinyama..nikapotezea ila ile kitu ilikua inasumbua sana kichwa siku moja nikamwambia mwana eebwana twende tukachek afya maana maisha mafup haya..aisee sitasahau ile siku baada ya mshkaj wangu kukutwa na ngoma na nikajiona nahusika kwa 80% na issue ile..kpndi hicho hakuna ARV wala nn..mshkaj alipata shock akaanza kuumwa kwa hofu ikawa ndo kuumwa mpk kifo..SITASAHAU AISEE
Sad
 
Niko form one muhula wa kwanza na niko likizo , kuna tajiri na kijana mmoja walikuja kijiji kwetu kununua mpunga.
Nikawa nimejenga urafiki na yule kijana.

Wakawa wamekodi godown kwa hiyo mpunga ulikuwa unahifadhiwa humo. Yule tajiri yeye alikuwa anarudi mjini akimuacha yule kijana pale kijijini na alikuwa analala humo humo kwenye godown.
Baadae tajiri aliniomba(bila malipo yoyote) niwe nampa kampani yule kijana kwa kulala wote kwenye godown, nilikubali bila kujua nilikuwa nahatarisha maisha yangu.

Tajiri siku zingine alikuwa haji na anamuachia yule kijana fedha za kununulia huo mpunga kwa siku ambazo hatakuja. Kuna siku ambayo aliacha fedha na mpunga haukununuliwa kwa kiasi kikubwa kwa hiyo kijana akabaki na salio.

Kitendo cha kubaki na salio kumbe wahuni washajua. Hawa wahuni ni jamaa waliowahi kukaaa mjini wakawa wamerudi kijijini kutokana na changamoto ya maisha kwa wazazi wao.Walijulikana kutokana na baada ya tukio kutoonekana.

Imefika usiku baada ya story za hapa na pale tukalala. Baadae katikati ya usingizi nilishtushwa na kitu kikitua kwenye kichwa changu , nikawa nimepigwa panga kwenye paji la uso. Tukaambiwa tuwape hela la sivyo watatuua.

Walipoona nimeloa damu na siwaangalii usoni wakawa wako na kijana wakimpiga mapanga ya ubapa. Kijana akawa anagoma kwamba hana hela lakini baadae walipata kiasi kilichokuwa kimebaki alikokuwa ameficha kwenye magunia.

Baada ya kuondoka nilijikongoja mpaka nyumbani maana ilikuwa karibu, wazazi walinipeleka fasta hospitalini na kushonwa nyuzi.

Tajiri hakuamini kama tulivamiwa, hii ndio inanifanya nijute mpaka leo.
Baada ya mimi kutolewa hospitalini tajiri akatuita mimi na kijana wake akituambia tuseme ukweli kama tumejiumiza au la maana anaenda kwa mganga.
Tulimwambia aende tu kwa mganga.

Mpaka leo kovu lipo kwenye paji na nilirudi shule nikiwa na nyuzi. Nikikumbuka tukio hili najiona mjinga kukubali ombi la yule tajiri bila malipo huku nikihatarisha maisha yangu. Nawaza angeshusha kidogo angeweza kunikata shingo.
Pole.Cha ajabu baada ya hayo kutokea,ukute tajiri hakukupa hata mshiko kidogo tu wakufutia machozi.
 
Nakumbuka A-level mi na mwanangu cayafas tulikuwa hatupigi msuli na kuingia darasani ilikuwa kwa makando makando
Muda wetu mwingi tulikuwa bwenini tunapiga stori, kucheza draft nk, sometimes tulikuwa tunashinda kijijini.

Ilifika time mwalimu wa darasa alinikana kuwa mimi sio mwanafunzi wake maana hajawahi kuniona darasani.
Bas bwana kutokana kutoingia class perfomance ikawa siyo ya kuridhisha.

Kuepuka hilo me na kayafa tukasema kama vip hatutakuwa tunafanya mitihani, bas tukaadhimu mioyoni mwetu kuwa hatutakuwa tunafanya mitihani na huo mswada ukapitiswa.

PAUKWA PAKAWA hatukufanya baadhi mitihani kadhaa huku tukisingizia kuwa tumefanya na tumekusanya hivyo tunahitaji matokeo yetu. Issue ilikuja sanuka kuwa hatufanyi mitihani baada ya kukwepa test paper kadhaa za ticha mmoja, nae akamua kuwa anatubana tukawa tunafanya kishingo upande.

Basi siku moja huyo ticha akatangaza kuwa atatunga mtihani ila kila mwanafunzi anayetaka kufanya atatoa buku.
Me na kayafa tukajisemea "tayari huu umetupita", sio kwamba hatukuwa na pesa ila kukwepa paper maana kuna mishe tulikuwa tunazifanya pale school zinatupatia pesa za kuishi ki doni.

Siku ya paper me na mwanangu pamoja na wengine ambao hawakujisikia kutoa buku tukawa tuko huko bwenini tunapiga stori Ticha kaingia kugawa paper haoni watu kadhaa kuuliza akaambiwa ni watu ambao hawakutoa pesa.

Ticha akasema poa ila "The asker na cayafas" hawa watafanya huu mtihani bure.
Basi akaamua kutufuata bwenini kutupige paper. Sisi pale ndani tulikuwa tuna kaa kwa machale so wakati anakuja nikamuona nika msitua mwanangu.
Kumbe yule ticha alimstua ticha mwengine waje kutuvamia afu yule ticha mwingine akapita njia ambayo ni blind spot.

Basi pale bwenini kulikuwa na ki store ambacho juu tulitoboa ceiling kwa ajili ya kujificha endapo tuta vamiwa na vikosi vya urusi. Mim nikachumpa nikazama kwenye dari,cayafa akaamua kukimbilia uhamishoni( vichakani) coz bweni lilikuwa karibu na vichaka MAKOSAA

Yule ticha aliyekuwa blind spot akamnoki jamaa yetu akaanza kumuita "we cayafas unakwenda wap embu twende ukafanye mtihani" kayafa hakutaka kugeuka akaendelea kutokomea, mwalimu akasema tena "we kayafa nimekuona embu njoo hapa ukafanye mtihani" lakini kayafa asisikie.

Wakati huo mm nipo darini nawasikiliza nkatamani kucheka ila nkajizuia maana pia ningetoa siri juu la lile handaki.
Basi walimu wakatoa maneno yao pale ya ghadhabu na uchuro kisha wakaondoka.

Basi wakati wa chakula ukafika tukaenda kuchukua chakula hakukuwa na ticha na mtihani ushafanyika so amani amani.
Akatumwa Headboy akaja kutuambia tunaitwa na headmaster. Hapo hata hatujagusa msosi.

Tukaenda mpaka ofisi ya walimu tukawakuta wamejaa full maana walikuwa wanakula pamoja pale ofisini.
Basi tukasomewa mashitaka tukajitetea hatukuwa na pesa, walimu wengine wakachangia tabia zetu mbovu kama za mademu, kutohudhuria parade, class na kulala bwenini.

Basi ikaamuriwa tutafanya mtihani pale ofisini mbele yao na tukitoroka siku nyingne tutafanyia paredi mbele ya halaiki ya wanafunzi,
Tukapewa mtihani kisha wao wakapakua wali nyama na kuanza kula huku sisi tukiteseka na maswali ya physical geography. Nakumbuka ubwabwa ulikuwa unanukia sana na wakati huo sisi hatujala hivyo akili ikawa inawaza chakula kuliko contour za map.

Baada ya kumaliza paper tukakusanya tukarudi kukaa wakatuambia mnaweza kwenda, sisi tukasema huko chakula kimeisha na sisi tuna njaa tukiwa tunalenga ule ubwabwa, maana msosi wa skuli ulikuwa ugali na mchuzi wa wadudu wale weusi wa kwenye maharage maana walikuwa wengi kuliko maharage yenyewe.

Basi tukatia ngumu pale maana tuliona ubwabwa umebaki, headmaster akaamua kutupatia ule ubwabwa tukala kisha tukatokomea kama washindi.
 
Nakumbuka A-level mi na mwanangu cayafas tulikuwa hatupigi msuli na kuingia darasani ilikuwa kwa makando makando
Muda wetu mwingi tulikuwa bwenini tunapiga stori, kucheza draft nk, sometimes tulikuwa tunashinda kijijini.

Ilifika time mwalimu wa darasa alinikana kuwa mimi sio mwanafunzi wake maana hajawahi kuniona darasani.
Bas bwana kutokana kutoingia class perfomance ikawa siyo ya kuridhisha.

Kuepuka hilo me na kayafa tukasema kama vip hatutakuwa tunafanya mitihani, bas tukaadhimu mioyoni mwetu kuwa hatutakuwa tunafanya mitihani na huo mswada ukapitiswa.

PAUKWA PAKAWA hatukufanya baadhi mitihani kadhaa huku tukisingizia kuwa tumefanya na tumekusanya hivyo tunahitaji matokeo yetu. Issue ilikuja sanuka kuwa hatufanyi mitihani baada ya kukwepa test paper kadhaa za ticha mmoja, nae akamua kuwa anatubana tukawa tunafanya kishingo upande.

Basi siku moja huyo ticha akatangaza kuwa atatunga mtihani ila kila mwanafunzi anayetaka kufanya atatoa buku.
Me na kayafa tukajisemea "tayari huu umetupita", sio kwamba hatukuwa na pesa ila kukwepa paper maana kuna mishe tulikuwa tunazifanya pale school zinatupatia pesa za kuishi ki doni.

Siku ya paper me na mwanangu pamoja na wengine ambao hawakujisikia kutoa buku tukawa tuko huko bwenini tunapiga stori Ticha kaingia kugawa paper haoni watu kadhaa kuuliza akaambiwa ni watu ambao hawakutoa pesa.

Ticha akasema poa ila "The asker na cayafas" hawa watafanya huu mtihani bure.
Basi akaamua kutufuata bwenini kutupige paper. Sisi pale ndani tulikuwa tuna kaa kwa machale so wakati anakuja nikamuona nika msitua mwanangu.
Kumbe yule ticha alimstua ticha mwengine waje kutuvamia afu yule ticha mwingine akapita njia ambayo ni blind spot.

Basi pale bwenini kulikuwa na ki store ambacho juu tulitoboa ceiling kwa ajili ya kujificha endapo tuta vamiwa na vikosi vya urusi. Mim nikachumpa nikazama kwenye dari,cayafa akaamua kukimbilia uhamishoni( vichakani) coz bweni lilikuwa karibu na vichaka MAKOSAA

Yule ticha aliyekuwa blind spot akamnoki jamaa yetu akaanza kumuita "we cayafas unakwenda wap embu twende ukafanye mtihani" kayafa hakutaka kugeuka akaendelea kutokomea, mwalimu akasema tena "we kayafa nimekuona embu njoo hapa ukafanye mtihani" lakini kayafa asisikie.

Wakati huo mm nipo darini nawasikiliza nkatamani kucheka ila nkajizuia maana pia ningetoa siri juu la lile handaki.
Basi walimu wakatoa maneno yao pale ya ghadhabu na uchuro kisha wakaondoka.

Basi wakati wa chakula ukafika tukaenda kuchukua chakula hakukuwa na ticha na mtihani ushafanyika so amani amani.
Akatumwa Headboy akaja kutuambia tunaitwa na headmaster. Hapo hata hatujagusa msosi.

Tukaenda mpaka ofisi ya walimu tukawakuta wamejaa full maana walikuwa wanakula pamoja pale ofisini.
Basi tukasomewa mashitaka tukajitetea hatukuwa na pesa, walimu wengine wakachangia tabia zetu mbovu kama za mademu, kutohudhuria parade, class na kulala bwenini.

Basi ikaamuriwa tutafanya mtihani pale ofisini mbele yao na tukitoroka siku nyingne tutafanyia paredi mbele ya halaiki ya wanafunzi,
Tukapewa mtihani kisha wao wakapakua wali nyama na kuanza kula huku sisi tukiteseka na maswali ya physical geography. Nakumbuka ubwabwa ulikuwa unanukia sana na wakati huo sisi hatujala hivyo akili ikawa inawaza chakula kuliko contour za map.

Baada ya kumaliza paper tukakusanya tukarudi kukaa wakatuambia mnaweza kwenda, sisi tukasema huko chakula kimeisha na sisi tuna njaa tukiwa tunalenga ule ubwabwa, maana msosi wa skuli ulikuwa ugali na mchuzi wa wadudu wale weusi wa kwenye maharage maana walikuwa wengi kuliko maharage yenyewe.

Basi tukatia ngumu pale maana tuliona ubwabwa umebaki, headmaster akaamua kutupatia ule ubwabwa tukala kisha tukatokomea kama washindi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa mnooo yaan khaaaah
 
Back
Top Bottom