Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa cha nne .....

Mimi katika kisa hiki najuta sana na pia naumia sana kwa yote niliyoyasababisha kwa jamaa yangu

Nikiwa chuo mwaka wa tatu , kuna bro tulizoeana sana mpaka kiasi cha kuamini nisipo mimi yeye hayupo japo alikuwa mwaka wa mwisho ila bado tulibond vizuri mno .

Kaka huyu alikuwa ni mtu kutoka Geita, lakini mpaka nafahamiana naye , hakika niligundua alikuwa ni wale watu wa masomo na yeye si mtu wa kusema azunguke aujue mji kidogo au ajichanganye ila alikuwa anapenda sana kubeti .

Sasa kubeti ndiyo kulifanya urafiki wetu ukafana sana , na hapa ndiyo wale wakuitwa wahenga wanasema.....ndege wafananao huruka pamoja, basi bro yule akajikuta ameanza kunifuata kwa kila tabia niliyokuwa nayo, mpaka wale wanaojikuta wanasomeshwa na kijiji, daily wanamshauri huyu jamaa hafai kuwa rafiki yako anakupoteza .

Walikuwa wanamshauri haya maana niliwahi zinguana na lecturer sababu ya uonevu aliotaka kunifanyia hivyo habari zikawa zinasambaa na vile nilikuwa nahudhuriaga kwenye kumbi za starehe around hapo chuo basi waliniona mimi ni mhuni sana na sio wa kuwa na rafiki aliyeserious na masomo vile.

Ila jamaa hakuwasikiliza maana alijua in deed sina uhuni kihivyo maana hata pombe sinywi ila ni vile rafiki zangu ni wahuni , ukizingatia nasoma chuo , nyumbani.
Basi jamaa taratibu akaanza naye kupenda kununua vidada Poa sehemu tofauti tofauti kama mimi nilivyokuwa nafanya, yeye alikuwa amepanga geto keko, hivyo mida fulani nikiwaga na time nilikuwa namuibukia tunabeti kama kawaida na tukishinda basi tunaingia viwanja kuwacheki 2watoto wazuri.

Dah nikaja kustuka jamaa angu ashakuwa mlevi, sasa sikuwahi jua alikuwa mlevi kabla au la?
Mara ya kwanza kujua ni mlevi tulienda kuopoa dada poa , mida ya saa saba baada ya UEFA MATCH kuisha usiku huo, tulikuwa na mkwanja mzuri , tulienda maeneo ya LIQUID pale uhasibu , basi kabla ya kuchagua wadada akasema tukapoze koo ikawa hivyo akaagiza pombe na akazipiga nikasema bro keshakuwa chapombe

Maana alilewa sana kiasi cha mimi kuanza kuhangaika usafiri na Demu niliyemnunua ili twende guest wakati huo hajiwezi na ilibidi nimchukulie room bila Demu maana asingeweza kufidia hela tutakayomlipa Demu.

Basi maisha na bro hakika yalifana hayupo geto kwangu basi nipo kwake, maisha yakendelea na utaratibu ni ule ule , ni mwendo wa bata na kula nyapu za dada poa bila kujali ni wala nini.

Siku moja jamaa yangu aliniita niende keko maeneo ya DDC ili tupate kupoza koo japo mimi si mnywaji zaidi ya soda na misosi na kuopoa basi
Sasa mida ya kufika pale alisema nifike saa nne usiku ili twende bar moja inaitwa KING PALACE , maana ilikuwa siku ya jumamosi akadai siku hiyo kunakuwaga na watoto wakali.

Pasipo kumpotezea time mwanangu , saa nne nilikuwa pale nikamcheki kwa simu chap na haraka akatokea maana geto kwake haikuwa mbali na pale , maana aliishi karibu na GEREZA LA KEKO , pale ,kweli tukazama KING PALACE taratibu bro akaagiza vinywaji vyake na mimi nikaagiza misosi na soda , tukaendelea kuburudika.

Mara nikamuona kimwali nikasema bro mimi naishi na huyu leo , maana walikuwa wanazama mle ili kutafuta wateja, nikamsoundisha mrembo akajaa bei na guest tukakubaliana na akanipa kampani japo yeye ni wa vinywaji vikali, hela ikatoka akaendelea kuishi na sisi.

Baada ya mida kidogo naye bro akaendea akaopoa akarudi na malkia wake, naye tukaungana naye kwenye burudani mara tucheze muziki kidogo mara tupigane busu na malaya wale .

Dah laiti ningejua ilikuwa ni siku naenda kumpoteza rafiki yangu that night ningeondoka mapema tu .
Basi mida ya saa nane tukachomoka pale tukaelekea guest fulani ambazo ni kama unaingia keko ndani kidogo , sehemu inaitwa keko torori, basi kila mtu akaendelea na malaya wake mambo mengine vyumbani.

Asubuhi mida ya saa kumi na moja , malaya wangu alihitaji kuondoka nikamruhusu sasa baada ya kuondoka naenda chumba cha bro kumcheki simkuti ila nilikuta vitu vya ndani kama kitanda na visturi vimekaa kama kuna vurugu ilitokea, dah nikawa na mawazo sana , ikabidi niende mapokezi ili niulize kuna nini na jamaa yangu mbona simuoni?

Mapokezi walinijibu mbona huyu jamaa alichukuliwa usiku na wahuni fulani eti amaemchukua Demu wao, dah pale nikawaza sana , ukizingatia keko kipindi hiko si pema sana kwa watu wake , nikawa nawaza tu jamaa angu awe mzima tu , mengine yanasolvika.

Nikatoka pale guest mpka getoni kwake nako wanasema hawajamuona toka jana usiku na chumba kimefungwa.
Nikawa na mawazo sana kwenda chuo kutoa taarifa nasita pia naona aibu nitasema tulikuwa wapi usiku wake mpaka niwe na mashaka hivyo.

Ikabidi niende geto nikapumzishe kichwa kwanza , lahaura , nafika kituo cha polisi ambacho kipo karibu na kituo cha magari pale DDC ndiyo nakuta watu wengi , wamejikusanya pale eti kuna mtu ameuwa amekutwa keko _magurumbasi, hiyo ni mida ya saa mbili kasoro, dah kuulizia alivaaje nikajua ni bro ndiye kauwawa, mara difenda ikaondoka pale kumpeleka _temeke hospitali, niliumia sana tena sana .

Sasa uchunguzi ukaanza na chuo wakawa wananiuliza sana mimi maana nilkuwa close sana ila ilibidi niseme sijaonana naye toka jana hivyo sijui ilikuwaje maana hata simu zangu , siku iliyopita hazikupokelewa na pia nilienda kwake pia ila bado sikumkuta.

Nilihojiwa pia na polisi ila bado sikubatilisha maelezo, mwisho msiba uliendelea na akasafirishwa na chuo mpaka kwao nilienda pia msibani ila ilibaki kuwa hatia moyoni mwangu .
Kila nikikumbuka uwa najutia sana

All in all rest in peace banzoka .
So sad!![emoji24][emoji24][emoji24]
 
Msala. Mwingine. Ni ........

NILIITWA , Na demu wangu. Mtoto wa police , ( jina Kapuni) nikale mzigo Baada ya babake kwenda kazini , Siku ya jmosi flani hivi mwaka 2012 , maana mtoto. Alimiss. Kupampiwa. Nyuchi.........,..


Koo nkakaa pale Toka asubui mida ya saa 3 mpaka. Saa 7 , ...............



Endelea.....



Ilibaki. Kidogo nikamatwe na baba mwenye mtoto ambae ni. Askari police. Maana. Aliingia ndani. Kimya kimya KUPITIA mlango wa nje...........
Sema. Mrembo alini save balaaaaaa aliniambia niingie chini ya uvungu wa kitanda mpaka mzee atakapo Toka maana Huwa akija , mchana anatoka tena jioni. Kwenda Kwa wazee wenzie KUPIGA bia 2 tatu hivi........aseeeeee siku hiyo. Niliona. Kif[emoji854]r[emoji3063] hichoooo.




Sema. Alini save sana mtoto ,

So nka kaa pale chini ya kitanda mpka saa 11 jioni. Ndo akanistua mzee katoka. Mie nkachomoka. Ndukiiiiiiiiii ......hivoooooo








Ilibaki kidogo tu nitolewe marinda aseeeeee
Mbna uliwaza kitendo hicho tyuuh na sie vingne? Mmmh
 
Msala. Mwingine. Ni ........

NILIITWA , Na demu wangu. Mtoto wa police , ( jina Kapuni) nikale mzigo Baada ya babake kwenda kazini , Siku ya jmosi flani hivi mwaka 2012 , maana mtoto. Alimiss. Kupampiwa. Nyuchi.........,..


Koo nkakaa pale Toka asubui mida ya saa 3 mpaka. Saa 7 , ...............



Endelea.....



Ilibaki. Kidogo nikamatwe na baba mwenye mtoto ambae ni. Askari police. Maana. Aliingia ndani. Kimya kimya KUPITIA mlango wa nje...........
Sema. Mrembo alini save balaaaaaa aliniambia niingie chini ya uvungu wa kitanda mpaka mzee atakapo Toka maana Huwa akija , mchana anatoka tena jioni. Kwenda Kwa wazee wenzie KUPIGA bia 2 tatu hivi........aseeeeee siku hiyo. Niliona. Kif[emoji854]r[emoji3063] hichoooo.




Sema. Alini save sana mtoto ,

So nka kaa pale chini ya kitanda mpka saa 11 jioni. Ndo akanistua mzee katoka. Mie nkachomoka. Ndukiiiiiiiiii ......hivoooooo








Ilibaki kidogo tu nitolewe marinda aseeeeee
Kwa uandishi wako haiwezekani ukawa umesoma Seminary, kiufupi haujiwezi na haujitambui.
 
....wakanipa elfu15 na card ambazo nilikuwa nimeshinda, nikaambiwa niendelee kucheza baada ya kuzifunua card nikakuta moja kati ya zile card nmejishindia generator, kimbembe kikaja kwenye kupewa ilo generator nikapewa option mbili niendenalo au niwauzie wanipe hela cash

Kutokana na changamoto za usafiri na influence toka kwa walionizungua pale ikabidi niseme nawauzia, wakasema bei ya lile generator ni laki8 na lakini ili nipewe hiyo hela inatakiwa nichangie % flan kama laki 1 hivi, nikawambia mm sina laki, jamaa wa pembeni yangu akanambia we toa ulichonacho uwaombe wakusaidie kwa hiyo hiyo hela uliyonayo

Bwana nikatoa elfu 50 cash nikawapa wakasema kwa kuwa hela yako ni punguvu tutakusaidia kitu kimoja, akachukua ile card yangu ya zawadi akamix na zingine mbili akanambia nichague ipi ni ya zawadi na nikipata watanipa laki8, mtoto wa kiume nilikuwa makini sana wakati anachanganya zile card baada ya kuchanganya nikachagua moja kati ya zile card tatu nikawa na uhakika ndio ya zawadi.... Rahaula! Alivyofunua nikakuta sio ya zawadi

Hela elfu 50 yangu niliyopata kwa tabu ikawa umeenda hivyo baadae nikaja kujua kumbe wote waliokuwa pale walikuwa team moja kwanzia yule mama hadi wale wapambe nuksi wote walishilikiana kuniingiza mkenge

Kimsingi Mimi ni mtoto wa Mara nilitaka niwawashie moto pale ila nikaona niache tu nichukulie lile tukio kama lesson

NB: Tuwe makini sana na hela zinazopatikana kirahisi
[emoji1][emoji1] jamaa hawanaga huruma wale,washenz sn
 
Kwa uandishi wako haiwezekani ukawa umesoma Seminary, kiufupi haujiwezi na haujitambui.
Unazijua smartphone. Keyboard typing ?? Una type hiki kinakuja kile , kile pale hiki au una taka kingine ?
 
Nilikuwepo siku hiyo,, hahahaaa! Huyo Hp alikuwa anaitwa Gwamaka,, jamaa kutoka Mbeya. Alikuwa anasoma HGE mimi PCB Aisee umenikumbusha mbali sana yani. Sisi ndiyo tuliosimamia cruel iliyobaki shuleni isiende kuungana na wahuni waliokwenda kutafta bomba huko mtaani ukizingatia ilikuwa usiku.

Vita ikageuka kati ya walioshiriki na wale ambao hawakushiriki, kwakuwa lilikuwa ni tukio la kushtukiza kweli mwanzoni ilibidi tuikimbie shule maana hao vijana waliokuwa wamevaa ninja walikuwa wanapiga balaa na wakaitwaa mess ikawa chini yao.
Ila tulivyokuja kung'amua ni wanafunzi wenzetu tukaretreat kwasababu sisi tulikuwa wengi zaidi yenu,,, tulitumia mawe sasa. Ninja wao wanatumia stick wakawa hawana namna ila nakumbuka yaliisha usiku huo baada ya walimu kusuruhisha ila kesho yake waliohusika wakachukuliwa hatua.

Hii ilipelekea performance yetu mtihani wa mwisho kuwa chini,,, hadi wengine ndoto ya kusoma MD ikayeyuka nikaishia kusoma BBA na baadae kuingia jeshini.

Pale Shinyanga Sec sitapasau tuliishi kama tupo jeshini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo siku nahisi nilikukosakosa fimbo ya kichwa aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Siku nikikaa vyema ntaleta hapa msala ulionikuta. Pindi nakula Bata ya usiku was manane, maeneo ya la Cairo hotel kule kwetu mwanza miaka ileeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Dah aseeeeee. Kumbe mpaka wanawake wanakaba kooo tenaanakufinya kabisa kwenye dushe mzee utatoka tuuu ??
 
Siku nikikaa vyema ntaleta hapa msala ulionikuta. Pindi nakula Bata ya usiku was manane, maeneo ya la Cairo hotel kule kwetu mwanza miaka ileeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Dah aseeeeee. Kumbe mpaka wanawake wanakaba kooo tenaanakufinya kabisa kwenye dushe mzee utatoka tuuu ??
Sasa kwa nini anakufinya? Ukifinywa ujue wewe ni phaller na hutakiwi kujiita mwanaume since that day.
 
Kuna siku nmetoka zangu skuli niende nikale chakula cha mchana mtaani(chaugingi) sasa nmetoka maeneo ya shule nafika nje kidgo ya shule naona kwa mbele kuna kundi flani la watu wamesimama, mim nikahisi labda kuna walimu kati yao so ngoja nipite uku kulia nikatokee mbele(hili lilikua ni kosa namba moja nililofanya)
Kumbe pale kuna Wizi ulikua umetokea mchana ule so wakawa wanajadili sasa waliponiona mim nachungulia kwa mbali afu nasita kwenda wakahisi labda ndo Mwizi mwenyew. Ile njia nlopitia jamaa wawili wakanifuata wakanisimamisha, wakaanza kuniuliza natoka wapi naenda wapi. Nikawadanganya kua natoka uko narud hom chaugingi(kosa namba mbili nlilofanya) mara ghafla naona jamaa wameongezeka wamenizunguka wakanambia kaa chini ghafla nikapigwa mtama nikajikuta nmekaa chini. Wakaanza kusema mim ndo mwizi nmepita kuja kusikilizia nin nikaendelea.
Ili kujiokoa na kufanya mambo yasiwe mengi ikabidi niseme mim ni mwanafunzi apa napita naenda kula nifikiri kuna mwalimu pale ndo mana nlikua nawakwepa. Ilibidi adi nimtaje rafiki yang wa chaugingi ambaye hua naenda kula jirani apo na hua namsalimiaga, nikaongozana na wale manyambizi (walikua mob la watu) hadi chaugingi njiani watu wanashangaa tu na wakanichimba mkwara nikikimbia tu wananiita "Mwizi"! Baada ya kutoka chaugingi tukarud tena pale waliponikamata mara kidogo akapita Mwalimu wakamuita "mwalimu akanihoji maswali weee akagundua kua mim ni Innocent sema tu nlifanya WRONG TURN. Badae jama wakaniachia lakin ndo ukaja msala mwingine kwa Ticha kua nlikua natoroka nikiwa Civil tena bila ruhusa. Kosa moja lakin Walimu wanatengeneza makosa 8 apo. Kushukuru msala uliisha sikupewa Sunspaa wala kufukuzwa shule. Kesho yake kama balaa tu Dingi alikua amekuja kunitembelea ndo akakuta kijana wake nina msala huo. Sipati picha kama wale Manyambizi wangechukua maamuzi ya haraka, dingi angekuta maiti ya kijana wake
Utoto ni utoto tu Sikukoma na sikuacha kutoroka
 
siwez kuielezea lakin hata nikiamua kuielezea haina madhara kabisa maana nilifanya bila kujua kama ninafanya uovu na matokeo yake hayakuonekana mda huo huo,

Ilichukua mda sana hadi baadae ambapo matokeo yalionekana kwa hiyo nilijua ukweli kwa kuunganisha matukio ila ndi ikawa tayari yalishamwagika hayawezi kuzoleka na hata kama ningejua sikuwa na namna ya kumnasua maana tayar alikuwa anakufa ndani kwa ndani hapa kinachoniuma ni kujua kuwa nimetumiwa kuuwa pasipokujua
Elezea..utakuwa huru..

Hapa hatujuani na zaidi itakuwa funzo kwa wengine..

Utapata ahuweni..huna kosa maana hukudhamiria..
 
....wakanipa elfu15 na card ambazo nilikuwa nimeshinda, nikaambiwa niendelee kucheza baada ya kuzifunua card nikakuta moja kati ya zile card nmejishindia generator, kimbembe kikaja kwenye kupewa ilo generator nikapewa option mbili niendenalo au niwauzie wanipe hela cash

Kutokana na changamoto za usafiri na influence toka kwa walionizungua pale ikabidi niseme nawauzia, wakasema bei ya lile generator ni laki8 na lakini ili nipewe hiyo hela inatakiwa nichangie % flan kama laki 1 hivi, nikawambia mm sina laki, jamaa wa pembeni yangu akanambia we toa ulichonacho uwaombe wakusaidie kwa hiyo hiyo hela uliyonayo

Bwana nikatoa elfu 50 cash nikawapa wakasema kwa kuwa hela yako ni punguvu tutakusaidia kitu kimoja, akachukua ile card yangu ya zawadi akamix na zingine mbili akanambia nichague ipi ni ya zawadi na nikipata watanipa laki8, mtoto wa kiume nilikuwa makini sana wakati anachanganya zile card baada ya kuchanganya nikachagua moja kati ya zile card tatu nikawa na uhakika ndio ya zawadi.... Rahaula! Alivyofunua nikakuta sio ya zawadi

Hela elfu 50 yangu niliyopata kwa tabu ikawa umeenda hivyo baadae nikaja kujua kumbe wote waliokuwa pale walikuwa team moja kwanzia yule mama hadi wale wapambe nuksi wote walishilikiana kuniingiza mkenge

Kimsingi Mimi ni mtoto wa Mara nilitaka niwawashie moto pale ila nikaona niache tu nichukulie lile tukio kama lesson

NB: Tuwe makini sana na hela zinazopatikana kirahisi
Mkuu ulituangusha wanajeshi wa mpakani.
Mimi walinibembeleza wanishikisha hizo cards, nikashinda vocha ya buku 8 wakaniambia niwape simu waniwekee nikawapa.

Badae nikashinda redio bas wakasema nichangie hako ka percentage, nikasema sina hela, wakanishawishi nikagoma, wakasema nilipe fine ndo wanirudishie simu yangu.

Tukazozana kidogo pale, yule mgawa card anakaaga ndani ya zile kamba zilizungushwa pale akasogea kidogo usawa wangu nikamtia kabali mithili ya jon cena. Akamwambia yule muweka vocha kwenye kile kigari chao alete simu yangu.

Wakanipa simu pamoja na furushi la matusi, me nkatokomea zangu na kumwacha yule mpumbavu akikohoa kwa lilo roba nililomkwida.
 
[emoji28][emoji28][emoji28] nimecheka sana haya majuto ya watu.,,hasa la mjita
 
Denial is not a river in africa.

Tatizo ya binadamu wengi tunafanya uzinzi alafu tukipata tunachokitafuta huko unaanza kutaka huruma ya watu.

Unakubaliana na matokeo ya matendo yako yawe hasi au chanya
Nani alikwambia kwenye uzinzi huwa tunatafuta UKIMWI

Hakuna mtu amewahi tafuta UKIMWI na haita tokea
 
Nilibebeshwa mavi mkononi kwa sababu ya upole


Mimi ni mpole ila nilivyokuwa mdogo nilikua mpole kupitiliza ndo maana nilibebeshwa mavi ambayo sikunya mimi.


Kipindi nipo darasa la kwanza nilipelekwa boarding sasa hiyo siku tuko zetu tunacheza mida ya jioni akaja matron akatuita boys wote tulikua kama 30 hivi ambao tunakaa bweni na tulivyokusanyika akatuambia nifuateni tukaona anaelekea chooni basi tukamfwata tulivofika chooni ile sehemu ambayo ipo special kwa ajili ya haja ndogo tukakuta mavi yapo makimba matatu yamejipanga matron akauliza nani kanya hapa ina maana vyoo hamvioni mpaka mtumie sehemu ya haja ndogo nitajieni aliyekunya hapa.


Wote tulikua kimya mara ghafla kuna dogo mmoja mmasai anaitwa Lomnyaki akayasogelea yale mavi akayaangalia afu akanitaja akasema matron huyu Mafian cartel haya mavi yake kabisa yeye ndo kanya hapa mavi yake nayajua dah nilishangaa sana kumsikia Lomnyaki akinisingizia kosa ambalo sikufanya sijui alikua ana malengo gani kunichoma kwa matron


Basi Matron hakutaka maelezo akawaruhusu wenzangu waondoke akabaki na Mimi na kunihoji kwa nini nimekunya sehem ambayo siyo sahihi basi na Mimi na upole wangu ambao ulikua uboya nikawa nalia tu kwa kuonewa matron akasema wewe lia ila haya mavi uyazoe ukatumbukize Kwenye tundu la choo nikirudi nisikute mavi hapa afu akaondoka


Dah sasa nikabaki pale nahuzunika moyoni namlaumu Lomnyaki kwa kunichoma,basi nikachukua toilet paper nikaanza kuokota kimba moja napeleka kudumbukiza Kwenye tundu la choo nikachukua tena lingine hadi nikamaliza kuzoa makimba yote matatu kisha nikanawa na kumwambia matron nishamaliza kuzoa makimba yale.akasema sawa nenda ila usirudie tena.


watu walinicheka sana na kunitania pale shule mpaka Leo natafakari kwanini Lomnyaki alinichoma wakati mimi sihusiki labda yeye ndo aliyekunya n kuamua kuniuzia kesi

Mataccor yako Lomnyaki
Hahaaahahahaaaa!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Nani alikwambia kwenye uzinzi huwa tunatafuta UKIMWI

Hakuna mtu amewahi tafuta UKIMWI na haita tokea
Sie twatafuta utamu wa asali ila ndio hivyo na mdudu nae yupo kwenye asali
 
Back
Top Bottom