Ni kweli
Cheki account za ITV walikua wanamuhoji mkurugenzi wa NACTE akitangaza kufunguliwa kwa udahili.
Wiki kadhaa nyuma nilikutaarifu ila naona bado hauamini.
Umeipata taarifa ya NACTE iliyotolewa Leo kufungua dirisha la udahili?
Kama bado udahili unaanza leo June 15 hadi Septemba 15 Mwaka 2020.
Kazi kwako pamoja na wale wote ambao walikua wakisubiria taarifa hii.
Jipe muda, usiwe na haraka utapata tu suluhisho.
Kadri muda unavyoenda, utaona muelekeo wa X wako ukoje. Usijifungie kisa maumivu, kabili kila linalokuja mbele yako.
Usisahau kumuomba Mwenyezi MUNGU atakuonyesha njia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa muwasilisho huu
Hii stori ni ya kwako 100%
Tunasubiria kilichofuata baada ya kuchukua tax na kuelekea kunako stahili...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wana bodi!
Toka jana asubuhi simu yangu haina ya tecno C-9 Hairuhusu simu kuingia. Anayenipigia anasikia inaita kidogo kisha namba inatumika. Tatizo hili liko kwa laini zote mbili ( Vodacom na Halotel) nimeripoti huduma kwa mteja wamenipa maelekezo ambayo hadi sasa hayajanisaidia.
Ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.