okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,629
Hello guys
I hope wanaume wengi ishawatokeaga hii, utakuta umemtongoza demu hlf akakupa namba mkakubaliana mkutane sehemu flani (maybe ghetto au kwenye mgahawa), muda wa kukutana unafika demu hatokei, sana sana atakupa sababu zilizomfanya asifike. Wanaume mshawahi gegeda wadada wa aina hii? Wadada kwanini mnafanya hivyo?
MY REAL STORY:
Nlikutana na mdada mmoja nikammendea nkamwomba namba akanipa, tukachat vizuri, cku hiyo hiyo nilimtongoza akasema atanipa jibu, lkn kwa interaction yake demu alionesha kama amenikubali coz hakunipiga mzinga (hakuniomba hela) alinipigia simu na kuniuliza maswali kadhaa kwenye text, k.v umeshakula, ushakuwa kwenye relationship etc.. na text alikuwa anajibu haraka. Pia siku ya pili yake baada ya kumtongoza, aliponiona alini-text kuniuliza naenda wapi nikamwambia njoo nje akaja tukapiga story, then tukakubaliana kukutana kesho yake.
KILICHONIBOA:
Siku ya 3 baada ya mm kumtongoza ikafika, kwa vile aliniahidi kuwa atakuja ghetto, nikapanga ndom zangu kwa ajili ya mgegedo, nkajisemea leo ulimwengu mzima utajua kuwa mm nina gombo, subiri hadi muda wa jioni khaa kwani MTU alikuja, kumuuliza vipi anasema eti anafanya usafi, nkasema maybe ana uoga wa kuja, mwanaume nikajongea karibu na kwao nikamtext nikamwambia Niko nje ya nyumbani kwao alichonijibu nilitafsiri kama ni dharau ya hali ya juu sana, alisema "Nataka nioge niende mtaa flani maybe baadae" nkaona yani kwenda huko anaona ni muhimu kuliko kuonana na mm, wakati mm nko nje kwao nimekuja kumtembelea..nlikasirika sana nilitamani nimtukane tusi ambalo hajawahi tukanwa mtu tangu kuumbwa kwa ulimwengu, ila nkajizuia na kukaa kimya, na demu akakaa kimya cku ikapita. kesho yake nikamwambia mazoea yaishe, na tusijuane tena, na namba yake ya simu nikafuta.
HITIMISHO:
Kwa kifupi nlimtongoza leo nikaachana nae kesho kutwa (kufahamiana kwetu kulidumu siku tatu tu). Huenda nikawa nimekosa potential papuchi ila kudharauliwa sitaki.
I hope wanaume wengi ishawatokeaga hii, utakuta umemtongoza demu hlf akakupa namba mkakubaliana mkutane sehemu flani (maybe ghetto au kwenye mgahawa), muda wa kukutana unafika demu hatokei, sana sana atakupa sababu zilizomfanya asifike. Wanaume mshawahi gegeda wadada wa aina hii? Wadada kwanini mnafanya hivyo?
MY REAL STORY:
Nlikutana na mdada mmoja nikammendea nkamwomba namba akanipa, tukachat vizuri, cku hiyo hiyo nilimtongoza akasema atanipa jibu, lkn kwa interaction yake demu alionesha kama amenikubali coz hakunipiga mzinga (hakuniomba hela) alinipigia simu na kuniuliza maswali kadhaa kwenye text, k.v umeshakula, ushakuwa kwenye relationship etc.. na text alikuwa anajibu haraka. Pia siku ya pili yake baada ya kumtongoza, aliponiona alini-text kuniuliza naenda wapi nikamwambia njoo nje akaja tukapiga story, then tukakubaliana kukutana kesho yake.
KILICHONIBOA:
Siku ya 3 baada ya mm kumtongoza ikafika, kwa vile aliniahidi kuwa atakuja ghetto, nikapanga ndom zangu kwa ajili ya mgegedo, nkajisemea leo ulimwengu mzima utajua kuwa mm nina gombo, subiri hadi muda wa jioni khaa kwani MTU alikuja, kumuuliza vipi anasema eti anafanya usafi, nkasema maybe ana uoga wa kuja, mwanaume nikajongea karibu na kwao nikamtext nikamwambia Niko nje ya nyumbani kwao alichonijibu nilitafsiri kama ni dharau ya hali ya juu sana, alisema "Nataka nioge niende mtaa flani maybe baadae" nkaona yani kwenda huko anaona ni muhimu kuliko kuonana na mm, wakati mm nko nje kwao nimekuja kumtembelea..nlikasirika sana nilitamani nimtukane tusi ambalo hajawahi tukanwa mtu tangu kuumbwa kwa ulimwengu, ila nkajizuia na kukaa kimya, na demu akakaa kimya cku ikapita. kesho yake nikamwambia mazoea yaishe, na tusijuane tena, na namba yake ya simu nikafuta.
HITIMISHO:
Kwa kifupi nlimtongoza leo nikaachana nae kesho kutwa (kufahamiana kwetu kulidumu siku tatu tu). Huenda nikawa nimekosa potential papuchi ila kudharauliwa sitaki.