Hivi Kwann usipowatambua hawa majin wanakupa mitihani na kukuzibia kipato ata mipango yako, Mfano ni mimi nateseka na maisha kisa hawa , na nikiuliza kwa watu wananiambia hawa makini wanataka niwatambue na mimi sijui ata pa kuanzia kuwajua wala kuongea nao
Mkuu wala sijamaanisha mipasho wala sina kusudi hilo, pole ni kuwa nahurumia nafsi yangu na kukupa pole kwa kutaka kukupa mzigo ni hilo tu, samahani kama nimekukwaza
Wanadai na viumbe visivyoonekana, ukipata kazi haikai, kunatokea fitna mtu unamaliza elimu mwaka wa saba hakuna ujira, kila ukiomba nafasi hakuna ukifanya biashara ata ndogo unakosa hela ya kula, Mungu akuongoze katika hili jambo uone jinsi utanitoa kifungoni
Arsis kupitia simba naomba unijuze, kupata kipato imekuwa shida sana, ila masheikh wanasema natakiwa kusali sana maana hakuna anayeweza nisaidia zaidi Mungu na mimi mwenyewe kwa kuswali sana , maana nina vita kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.