Pole sana kaka, jarbu kumwelekeza taratbu atakuelewa 2! ila n tabia mbaya sana, au jarbu kuchunguza vzur kutakua na sababu inayomfanya mke wako kua ivo!
Chagua unayempenda dada na c pesa, kama ukfata pesa cku akiishiwa je we unazan utaendelea kuwa nae kat ulmpendea pesa? Na kumbuka elim ya m2 haiish kchwan ad cku ya kufa kwake, umeona ee? So fanya mamuz ya busara dada
Iv ata uon aibu kuomba ushaur ju ya hil, we unafkir 2takupa ushauri gan sasa kati uyo bnt c mke wako, cha muhimu we ka2nze familia yako na mwache bnt, na alvyokwambia kuwa anatafuta wa kumwoa n kwel coz we huwez kumwoa, kingne kwa imani yako mwombe MUNGU akusamehe pia iombe na familia yako msamaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.