Recent content by teluvii

  1. T

    Mfugale Flyover haina msaada kwa watumiaji Barabara ya Mandela, foleni yarejea upya

    Tatizo la Mandela ni ujenzi wa reli ya kati maarufu"SGR"kwenye level crossing ya Buguruni. Nafikiri!
  2. T

    UDSM kutumia vijana wa bodaboda na bajaj kulinda usalama wa chuo

    Kuna barabara mbili ambazo kwa uelewa wangu ni 'public '.Kuelekea Msewe na Ch' keni kutokea Ubungo au Savei. Sasa Chuo kinapozungumzia ulinzi wa 'viunga' vyake ni pamoja na hizo barabara?Au ndio sababu wanakagua hata 'guta "yenye shehena ya mazao kutoka Mabibo sokoni? Sent using Jamii Forums...
  3. T

    TUJADILI: Hukumu kwa waliochoma Kituo cha Polisi Bunju A

    Na wale waliochoma kanisa Bukoba vipi kwani nao walifungwa maisha. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. T

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Inakuaje bili ya mwezi wa pili kwa mfano unaipata tar 15 kabla ya mwisho wa mwezi? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. T

    Airtel acheni kutuibia wateja wenu, TCRA angalieni haya makampuni yanavyotufisadi wananchi

    Mimi nakereka pale ninapojiunga na kifurushi lakini anaambiwa huduma uliyopewa ni bure?
  6. T

    India yailalamikia Tanzania kwa utapeli, Mwijage kushughulikia suala hilo

    hao wanaoitwa watanzania ukichunguza ni wahindi wa Tanzania Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  7. T

    Tatizo la maaskari wa usalama barabarani

    nashauri hawa askari wawe na sticker wanazobandika kwenye gari baada ya kulikagua na kuandika tatizo kama lipo. kwa njia hii itawasaidia askari wengine sehemu nyingine kutofanya ukaguzi kwa siku hio hivyo kusave muda kwa wote. Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  8. T

    Mwanza: Rais Magufuli atinga uwanjani ghafla kwenye mechi kati ya Buhongwa vs Nyamwaga

    ulinzi mkali kwa kiongozi wa juu. hizi ni nyakati tofauti.lazima tukubaliane na hali halisi Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  9. T

    Interlocking brick making machine - manual

    nami nahitaji mashine ya kutayarisha nyasi isiyotumia motor(manual) Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  10. T

    Kwa hili kamishna Mpinga ni sawa kwa trafiki kufanya haya?

    mbona mtumizi ya mshine kwa kulipia faini za makosa ya barabarani hazijaanza kutumika mikoani kama mlivyoahidi? au notification za kuandika ni mradi? Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  11. T

    Wafanyakazi wa UDSM wanawalipisha faini wanaoharibikiwa magari ndani ya chuo

    actually hao walinzi wa chuo kikuu wanakera. ukipita na kuku, umempata wapi?ukiwa na ng'ombe ndio kabisa umekua deal.wanajifanya hawajui kua ile barabara ni public. Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  12. T

    Hans Pope: Ni nchi nne tu zenye smelting duniani,tanuri moja tu linaweza kula nusu ya umeme wetu

    mambo mengine ni ya kisomi. huo unaoitwa mchanga kwa uelewa wangu ni mfano wa unga wa mawe uliosagwa na kufanyiwa uchunguzi (analysis to know concentration of different elements, eg copper, gold,tin,silver, etc.).depending on the level of each element it will be called either gold or copper etc...
  13. T

    Wadada nyoeni sehemu za siri jamani!

    Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  14. T

    Ndalichako: Marufuku wasio na sifa kujiunga na masomo ya shahada kwa kupitia kozi za'foundation'

    prof amekosea.kuna watu ambao hata form four hawakupitia lakini walipata PhD. eg prof.Mmari.
Back
Top Bottom