Tatizo la maaskari wa usalama barabarani

Tatizo la maaskari wa usalama barabarani

Neno LA rais ndio sheria.iyo ni ela ya kubrashi viatu.IPO kisheria.kaa kimya.
 
Ha ha ha ha eti ndo wanajenga peke yao wakati huu.

Mkuu, gari lako lina makosa ndio maana unatozwa faini. Moja ya sababu kwa ninirushwa itaendelea kuwepo ni utayari wa watoa rushwa kushawishi tena kwa kupiga magoti kutoa rushwa. Wakosaji hawako tayari kuhakikisha makosa yao yanakoma, nabaadhi ya makosa kuyarekebisha ni gharama kuliko kulipa faini na ni gharama zaidi kuliko kutoa rushwa.

Naamini wenye magari tukibadirika, na matrafic watabadilika.

Nikujulishe tu, kati ya hela inayoangaliwa kwa macho makubwa ni pesa za notification za polisi, hata Magufuri anapiga mkwara makosa yakiwa pungufu.Sema ukweli, hakuna siku ulishawishi kutoa rushwa lakini askari wakakataa? unadhani kwa nini? Ujue mkuu amempiga mkwara IJP kuwa makusanyo ni kidogo. Na serikali inajua sisi siyo wakamilifu.

Mkuu hapa tatizo ni mazingira waliyojitengenezea hawa jamaa miaka ya nyuma kuanzia 2010 kurudi nyuma gari lako lilikua likiwa va vibali vyote vilivyo hai ulikua na uwezo wa kutoka Mwanza-Dar na kurudi bila kutoa hata buku kwa hawa jamaa lakini sikuizi hata ungekua na gari umetoka kulimenya toyota bado watakukomalia tu na mbaya zaidi kwa gari private wanakomaa chini ya elfu kumi hawakuachii
 
Neno LA rais ndio sheria.iyo ni ela ya kubrashi viatu.IPO kisheria.kaa kimya.
Hivi raisi anajua kuwa kwa siku wanapiga pesa mingi sana? Bado anawalipa posho... ndo maana wengi wao ni walevi na wavuta bangi. Wao kila kitu wakiona wanawaza dili. Hawajawahi kuwaza kizalendo hata siku moja. Bora wanajeshi wana uzalendo.
 
kwa mtu asiye na gari hawezi jua ukubwa wa hili tatizo. Huu mfumo, unajenga hasira na visasi ndani kwa ndani na kuna siku watu watachoka. Ndio yale ya watu kushangilia pale hao watu yakiwakuta
 
nashauri hawa askari wawe na sticker wanazobandika kwenye gari baada ya kulikagua na kuandika tatizo kama lipo. kwa njia hii itawasaidia askari wengine sehemu nyingine kutofanya ukaguzi kwa siku hio hivyo kusave muda kwa wote.

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
kwa mtu asiye na gari hawezi jua ukubwa wa hili tatizo. Huu mfumo, unajenga hasira na visasi ndani kwa ndani na kuna siku watu watachoka. Ndio yale ya watu kushangilia pale hao watu yakiwakuta
Kweli kabisa 100%
 
Back
Top Bottom