Poleni sana maana mtoa maada kazungumza kuhusu hasara ambazo ni za kufikirika na si za kushikika, kajitahidi kuegemea kwenye msimamo wake, lakini ingelikuwa vizuri kama angelitaja faida pia ili watu waelewe. Kitu kuwa haramu ni imani tu, ndio maana wengine wanatumia kitimoto kwa wengine ni...