Hahaha Hisabati na Speed up ya Maamuzi!!!
Je kuna wataalamu wa Hisabati ya ofauti kati ya Hisabati y
ya Kuandika na Kuongea????
Hahaha Hisabati na Speed up ya Maamuzi!!
Je nanyi mna wataalamu wa Hisabati ya Kuandika na wengine Hisabati ya Kuongea??
Tuanzie hapa;
Andika au tamka kwa...
Buluwaya,
Hawa ni wawekezaji tu ktk sekta ya Mawasiliano upande wa Miundombinu...wako Worldwide si Tanzania pekee.
Zipo kampuni nyingi tu za uwekezaji ktk Miundombinu hiyo na hizi Tender uwa za kushindania that why hukusikia Airtel ila kesho au keshokutwa waweza sikia minara ya Airtel iko chini...
Mtoa Mada nadhani hawa wamesaidia kukupa jibu;
Mulindi,Yodoki II,J33,Gulf Streamer.
Yodoki II;
Kuna outsourcing ilifanyika ya Minara kwa kampuni ya HTT(owner wa Minara ya tigo na voda kwa sasa).
Huyu bwana HTT alianza kwa style ya kununua kwanza,kisha anakungisha yaani aje ktk nyumba yako...
Binafsi Dar Express na Ngorika niliwahi safiri nazo...
Sasa itategemea na muda wako,hizo zote 12 Asbh ....Dar Exp advantage haitokei UBT unapandia hapa Millenium Tower .
Thus zinawahi kwa gari za 12Asbh.
Next time nilisafiri na gari
za saa 1.30 Asbh nikapanda Bufallo....tukitangulia huku...
Ni ndugu na Dina Chahali wa CH10???
JF kiboko sana ....safi !
Kuna darasa kubwa kwake na wengine wa design yake wenye cv za viapo .....tusipende kuleta dharau za kizamani (dstv kwa mmoja unasema kesho Mohamed Ally atashinda kumbe ushaona kwako usiku wake).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.