born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,333
- 1,499
Voda ni ya Enl?
Ni ya RA lakini ENL ana share mle, rejea shivacom voucher
Voda ni ya Enl?
Hiyo figure ni ndogo kwa mnara. Huo ni lazima mnara wa 35m sana sana mpaka 50m tena ni wa coverage tu.
Sitashangaa ukiwa ni wa UCAF tena.
TZS 200mil sio nyingi kwa mnara. I know coz I build them.
Kama zile nguzo mpya za Grid ya taifa za umeme kwa kuanzia tu mifuko isiyopungua 300 inazamishwa chini na hadi nguzo inasimama gharama yake haipungui Million 180 je ukiringanisha huo mnara wa Vodacom wenye kuwekewa vifaa mbali mbali ambavyo hata wewe gharama zake hauzijui je ni halali kwa wewe kushangaa hiyo million 220? tatizo umejikita kwenye mawazo ya kimasikini masikini ndio maana unaona hiki ni kitu cha ajabu.
Ni bilioni 200.Mkandarasi tu analipwa over 100 million, mnara prke yake ni over 100 million hadi ifike hapa tz na kulipiwa kodi. Kuna kila dalili gharama inayotumika ni zaidi ya 200million maana bado kuna generator ambalo si chini ya million 30 na power back up ambayo ni zaidi ya 15 million.
Hakuna kilichiobwa hapo ndugu!
Uchaguzi huu umemkamua lowasa kwa hiyo anatafuta kila namna kufidia hilo gape ,baada ya kugundua kwenye account salio lime yumba
Hawa nao wanapiga sana ni wa kuanza nao tuu
Hujui Voda wamepitisha fibre optic cable nchi nzima ndani ya mwaka ihali mamlaka za maji zimeshindwa kuweka vibomba vya plastuc kwa miaka hamsini?
Hujuwi gharama. za kujenga mnara we.tuulize watu tulioko field
Mtoa Mada nadhani hawa wamesaidia kukupa jibu;
Mulindi,Yodoki II,J33,Gulf Streamer.
Yodoki II;
Kuna outsourcing ilifanyika ya Minara kwa kampuni ya HTT(owner wa Minara ya tigo na voda kwa sasa).
Huyu bwana HTT alianza kwa style ya kununua kwanza,kisha anakungisha yaani aje ktk nyumba yako ninunue kisha nikupangishe ila yeye atahusika na usalama wa vifaa tu.
Walianza na tiGO hii case kisha wakaja vodaaa...mbeleni akaanza kujenga minara yake yeye HTT kisha kuwapangisha makampuni ya simu.
Inavyoonekana speed ya ujengani Minara hawa HTT si kubwa kulingana na mahitaji ya kampuni kusambaa ktk maeneo,kwa hiyo yapo maeneo tigo au voda atajenga mwenyewe minara kulingana na hitaji la hapo.
Ila hawa jamaa wa HTT kidogo wajanja ...at first walianza na hiyo style ya kununua tu na kumiliki kw usalama baadaye wakaomba kujipa task ya kumanage power ya site yaani wao wahusike kuprovide power on site licha ya ownership...hiyo outsoutce ikapita wale subcon wote wa power wakawa chini ya HTT kutoka makampuni ya tigo na voda....
Tender sasa ya HTT ikawa ni ownership na power supply.
Kwa gharama hizo 220 ni kidogo,ujenzi wa mnara ni shughuli pevu ndiyo maana serikali kupitia mfuko wake wa mawasiliano (UCAF) wanasaidia hili la kujenga minara na kutoa ruzuku kwa makampuni kwenda kuweka mawasiliano maeneo ya vijijini kwa kua kampuni zinakua haziko tayari kwenda kuwekeza 500mil hata ndani ya miezi sita 10ml mauzo hakuna.
Ahsanteni.
At least nimetoa mwanga fulani!
Hiyo figure ni ndogo kwa mnara. Huo ni lazima mnara wa 35m sana sana mpaka 50m tena ni wa coverage tu.
Sitashangaa ukiwa ni wa UCAF tena.
TZS 200mil sio nyingi kwa mnara. I know coz I build them.
Asante ndugu mchangiaji. Naomba nitakafakari kuhusu huu mchango wako. Ni kama unajua jambo hapa, lakini ni kweli au si kweli, mtu anahitaji kujifikirisha kwanza. Hii HTT ni mali ya nani?
billioni 220 ndi ndogo?. Umeitizama vizuri hiyo tarakimu lakini? kama mnara mkubwa ni 50m/- hebu gawanya 220,000,000,000 Gawanya kwa 50,000,000 unapata minara mipya mingapi! iko wapi hiyo minara mipya katika mazingira ambayo mwenye minara ni mwingine kwa maelezo ya mdau mmoja hapa.
Kama zile nguzo mpya za Grid ya taifa za umeme kwa kuanzia tu mifuko isiyopungua 300 inazamishwa chini na hadi nguzo inasimama gharama yake haipungui Million 180 je ukiringanisha huo mnara wa Vodacom wenye kuwekewa vifaa mbali mbali ambavyo hata wewe gharama zake hauzijui je ni halali kwa wewe kushangaa hiyo million 220? tatizo umejikita kwenye mawazo ya kimasikini masikini ndio maana unaona hiki ni kitu cha ajabu.
Hiyo figure ni ndogo kwa mnara. Huo ni lazima mnara wa 35m sana sana mpaka 50m tena ni wa coverage tu.
Sitashangaa ukiwa ni wa UCAF tena.
TZS 200mil sio nyingi kwa mnara. I know coz I build them.
Figure in Zaidi ya Billioni 220 mkuu. Ndogo Hizo? Kuna modi kabadili post!
billioni 220 ndi ndogo?. Umeitizama vizuri hiyo tarakimu lakini? kama mnara mkubwa ni 50m/- hebu gawanya 220,000,000,000 Gawanya kwa 50,000,000 unapata minara mipya mingapi! iko wapi hiyo minara mipya katika mazingira ambayo mwenye minara ni mwingine kwa maelezo ya mdau mmoja hapa.
Nijuavyo vodacom hawamilikı tena minara balı wana-outsource huduma za minara toka makampuni mengne(naomba kusahihishwa na mwenye facts zaidi).Na kwa maagizo ya NEMC,minara hiyo itaweza kutumiwa na kampunı zaidı ya moja.
Asante ndugu mchangiaji. Naomba nitakafakari kuhusu huu mchango wako. Ni kama unajua jambo hapa, lakini ni kweli au si kweli, mtu anahitaji kujifikirisha kwanza. Hii HTT ni mali ya nani?
Nijuavyo vodacom hawamilikı tena minara balı wana-outsource huduma za minara toka makampuni mengne(naomba kusahihishwa na mwenye facts zaidi).Na kwa maagizo ya NEMC,minara hiyo itaweza kutumiwa na kampunı zaidı ya moja.