Msaada: Basi la haraka kutoka Dar-Kilimanjaro

Msaada: Basi la haraka kutoka Dar-Kilimanjaro

Kuna kirumo na machame safari hizi ni pamba nyepesi madereva ni machaliii wa chuga na mo town awakubali kupitwa ni mwendo tuuuu...... Dar ex gari ya kifather hiyo....
 
Kuna kirumo na machame safari hizi ni pamba nyepesi madereva ni machaliii wa chuga na mo town awakubali kupitwa ni mwendo tuuuu...... Dar ex gari ya kifather hiyo....

Binafsi Dar Express na Ngorika niliwahi safiri nazo...
Sasa itategemea na muda wako,hizo zote 12 Asbh ....Dar Exp advantage haitokei UBT unapandia hapa Millenium Tower .
Thus zinawahi kwa gari za 12Asbh.

Next time nilisafiri na gari
za saa 1.30 Asbh nikapanda Bufallo....tukitangulia huku Machame ikaanza kupakia.
Dah nakumbuka tunaitafuta Hedaru hii Machame ilitupita kipande cha Bwiko ,yakaletwa mashindano hatukuiona tena...
Ndipo Babuu uliponikumbusha hii kitu!!
At last niliwasikia wakitoa kauli kama yako hawa watu wa Bufallo!

Hence,kwa 12 Asbh Dar Express ya Nairobi na Ngorika uwa vijogoo.
Kwa saa 1-1.30 Asbh Buffalo/Machame safi.
 
Ooops!
Dar express unapandia Millenium Business Park-Shekilango (rectify early quote).
 
Ukiwa unatoka Dar kwenda Kilimanjaro na Arusha gari ya kwanza kufika ni Dar express ya Nairobi au Karatu,pia KLM yanatoka pale Shekilango saa 5:45,kwenye saa nane uko Moshi.Lakini ukiwa unatokea Moshi kuja Dar gari ya kukuwahisha ni Buffalo au Ngorika ambayo sio luxury na zenyewe kwenye saa nane uko Dar hizi zinaanzia safari Moshi na sio Arusha.hizo Ngorika,Buffalo,Kirumo na Machame Safari ni kweli zinakimbia lakini zinachelewa kuondoka na Kufika Moshi ni saa tisa au saa kumi.
 
hakuna zaidi ya NGORIKA..tena usipande ile luxury..panda ile iliyochoka....utafika himo saa 7...! moshi saa 8 hivi..ulichelewa sana sa 9
 
Tangulia na haraka zako msalmie BobMarley na Nyerere.
 
Back
Top Bottom