Yote kwa yote pia napaswa kupongeza kwa nchi yetu kupokea kijiti cha uongozi. Navyoona hapa mkulu anatakiwa kusimama haswa mambo ya kuwakilishwa sasa kwa hii nafasi anahitaji aihudumu yeye.
Mze tupatupa wew ni moja ya watu naowakubali sana. UDSM Leo kwa wale wenye mwono wa mbali wataelewa kuwa wamefanywa majuha yani team ilijiandaa na iliwachezea kwa kuwatupa huku kisha kule nao hawakuelewa wakageuka mazuzu na kucheka tuu. Ama kweli hii ni kama bua bichi kushangilia, bua kavu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.