Kenya: Rais John Magufuli azua minong'ono

Kenya: Rais John Magufuli azua minong'ono

Ataongea nini jamani hajui diplomasia wala ngeli kusoma akiandikiwa hawezi.....alinipigia broken ya mwaka pale Rwanda huwezi amini!! Yaani aibu tupu
 
Ataongea nini jamani ngosha hajui diplomasia wala ngeli kusoma akiandikiwa hawezi.....alinipigia broken ya mwaka pale Rwanda huwezi amini!! Yaani aibu tupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi sitokaa nisahau "I don't have much to speak".
 
Wakenya wajue mpaka sasa hatujapata wakalimani.

Unajidhalilisha ! Hakuna Tatizo la lugha ktk ziara za Magu nje hata Angeweza kutumia hata kiswahili Kama vile ambavyo anaweza kusoma hotuba iliyoandikwa . Labda useme pia hajui kusoma!
 
Unajidhalilisha ! Hakuna Tatizo la lugha ktk ziara za Magu nje hata Angeweza kutumia hata kiswahili Kama vile ambavyo anaweza kusoma hotuba iliyoandikwa . Labda useme pia hajui kusoma!
Watafute issue nyingine hiyo haina maana.. baadhi ya Marais mbona hawakitukuzi katika hotuba zao za kimataifa
 
Hebu muhurumieni basi, lugha ya Taifa hajui itakuwa hiyo ya malkia?
 
siyo mpaka aonekane kumtuma mwakilishi tuu nyumba ya jirani inatosha mwacheni afanye kazi kwanza.
 
Uandishi mwingine wa kilevi kabisa maana ulivyoanza na content yake ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Kiongozi mwepesi kutengeneza maadui zaidi ya marafiki hawezi kufanikiwa na ni hatari kwa taifa"
 
Back
Top Bottom