Habari zenu ndugu zangu, katika kutafakari nini cha kufanya nimejikuta napata wazo hili ambalo kimsingi kwa mtu ambaye atazingatia itamsaidia.
Hii ninazungumza kutokana na uzoefu nilionao katika maisha yangu. Mwaka 2016 ni mwaka ambao kwangu ulikuwa ni mgumu sana lakini kutokana na kilimo cha...
Habari ndigu zangu! Mimi kila siku natamani sana kuona nchi yangu ikipiga hatua na kufika sehemu ambayo itakuwa ni suluhusho la maisha magumu tuliyonayo kisiasa, kihistoria na kiuchumi. Nchi hii inapitia vipindi vigumu sana hasa katika nyanja za siasa.
Siasa za nchi hii zinapitia maigizo mengi...
Naamini hapa ndo tunaweza kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa watu tulio wakusudia.
Kunakitu nakihisi kama siyokweli basi naomba MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI athibitishe kwa kutulipa madai yetu.
Mimi ni miongoni mwa waajiriwa wa 2013 kitengo cha ELIMU hadi keo hatujalipwa...
Kulingana na hali halisi ya sasa mimi ninakushauri ujiunge na kampuni inayofanya biashara ya kusambaza bidhaa za afya na usafi pia kilimo. Laki 5 zinatosha kuanzisha biashara inayoweza kukupa faida ya laki 3 hivi kwa mwezi. So mimi nakushauri njoo tufanye wote pamoja, ni rahisi kikubwa uwe na...
Nimeona niwakaribishe kwenye hii kampuni ya aina yake inayofanya biashara ya mtandao.
Mtanzania wa kawaida kabisa unakaribiahwa kwenye hii fursa. Waliowengi watakupa negatives kuhusu hii biashara lakini naamini maisha hayana njia moja ya kumtoa mtu kimaso maso.
Wewe unataka kuijua hii fursa...
Lisilo wezekana kwa mtazamo wa kibinadamu linawezekana kwa yeye. Amefanya miaka 100 kuwa mziki kuifikia vivyo hivyo alifanya miaka mia 9 iwezekane kipindi hicho. MUNGU ATABAKI KUWA MUNGU HATA KAMA UNADHANI NI UONGO!!!
Ninasambaza bidhaa za afya na udafi zenye sifa zifuatazo:-
CARE:-
Hii ni bidhaa maalum kwaajili ya mambo yafuatayo:-
- Inatibu kuku magonjwa mengi hasa KIDELI
- Inatibu fangasi sehemu za siri na miguuni
- Hutoa gesi tumboni
- Huondoa sumu mbalimbali kwenye mboga na nyama
- Inatibu ng'ombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.