TEK
Senior Member
- Jul 13, 2015
- 184
- 37
Naamini hapa ndo tunaweza kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa watu tulio wakusudia.
Kunakitu nakihisi kama siyokweli basi naomba MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI athibitishe kwa kutulipa madai yetu.
Mimi ni miongoni mwa waajiriwa wa 2013 kitengo cha ELIMU hadi keo hatujalipwa malimbikizo ya mishahara yetu. Kinachonisikitisha ni pale ninapoona Waziri anasema amelipa madeni huku sisi tukitaabika nahaya madai.
Wadau wote wahusika wa stahiki za watumishi halmashauri mbalimbali mtusaidie.
Nawashukuru sana kwa hili maana naamini ujumbe utafika tu
Kunakitu nakihisi kama siyokweli basi naomba MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI athibitishe kwa kutulipa madai yetu.
Mimi ni miongoni mwa waajiriwa wa 2013 kitengo cha ELIMU hadi keo hatujalipwa malimbikizo ya mishahara yetu. Kinachonisikitisha ni pale ninapoona Waziri anasema amelipa madeni huku sisi tukitaabika nahaya madai.
Wadau wote wahusika wa stahiki za watumishi halmashauri mbalimbali mtusaidie.
Nawashukuru sana kwa hili maana naamini ujumbe utafika tu