Nawakaribisha kwenye kampuni ya NEO Life

Nawakaribisha kwenye kampuni ya NEO Life

TEK

Senior Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
184
Reaction score
37
Nimeona niwakaribishe kwenye hii kampuni ya aina yake inayofanya biashara ya mtandao.

Mtanzania wa kawaida kabisa unakaribiahwa kwenye hii fursa. Waliowengi watakupa negatives kuhusu hii biashara lakini naamini maisha hayana njia moja ya kumtoa mtu kimaso maso.

Wewe unataka kuijua hii fursa napengine kufanya kabisa?

KARIBU 0763797853
 
Tatizo tangazo hafifu, halina mvuto, unajihami nin? Jiamini toa maelezo yakuvutia na uache woga
 
Mwenyew wezi vutiwa, kwa maneno mawili ulio andika hapo. vizuri unge tiririka iliwatu tukuelewe.
 
au mwizi nn mbona mbona ume weka thread kihun
 
weka maelezo vizuri ili atakae ridhika akupigie cm sasa kila akitaka kujua fursa gani akupigie cm
 
Back
Top Bottom