Unaongea ukiwa unalenga wa nchi ipi maana kama unalenga Tz una wrong Tz haipimwi na Rwanda hata siku moja hats kama TZ haijafikia %age hizo za ukuaji,Tz iko daraja jingine LA juu kuliko lililomo Rwanda,nyie m compete na Burundi na nchi zinazofanana na hizo(mnajifahamu) kwanza wa Tz hatuna...
Kutofanya liwalo lolote tukamwongezea mda wa kutawala kwa kuangalia eti katiba mara mini tukashindwa kuangalia makubwa aliyoyafanya na kuhitaji akaendelea na menhine zaidi kwa kuongezewa mda mwingine ni upumbavu.
Kwa wabobezi nilihitaji kujua kwa undani juu ya masuala yahusuyo ugonjwa wa Ukimwi kama ifuatavyo,umuchukua mda gani mwathirika wa HIv kuanza kuambukiza mtu mwingine toka mwathirika alipoambukizwa? He ikitokea wakati wa tendo LA ndoa ukadondokewa na maji ya ukeni(mengi) kwenye uume baada ya...
Wengine tutakuwa tukiwatoa humu kwa upumbavu mlokuwa nao! Hayo ni ya kutuambia siye? Si ni suala la kuwakusanya ndugu zako na kuwaeleza hayo na ukasikia wanachokwambia.
Nina vijana wangu wanasoma Kampala shule Fulani,hapo pana mwalimu wa kiswahili kutoka Kenya,kama pana shida kubwa ya kiswahili ni hapo shuleni maana kiswahili kinachozungumzwa na kufundishwa na Huyo mwalimu ni majanga matupu hadi inatia huruma kwa wanafunzi hao wanaopenda kujua kiswahili kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.