Recent content by Tee Cup

  1. T

    Wizara ya Elimu, Tume ya Vyuo Vikuu na Bodi ya Mikopo mnayajua haya?

    JE WIZARA YA ELIMU, TUME YA VYUO VIKUU NA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU JE MUNAJUA KWAMBA UNIVERSITY OF BAGAMOYO NI CHUO KIKUU CHA HOVYO KABISA? Chuo hiki hakina hadhi na sifa ya kuwa na wala kuitwa chuo kikuu. Huu ni uuaji na ushushaji wa elimu ya Tanzania. »Chuo kikuu gani hakina majengo...
  2. T

    Idadi ya watu ni mali, Rais ajaye atuambie namna ya kutumia wingi wetu kuinua uchumi

    Kura yangu nitampa atakae toa mpango madhubuti juu ya hii hoja ya wingi na idadi ya watu kuweza kuinua uchumi kwa uzalishaji mali
  3. T

    Idadi ya watu ni mali, Rais ajaye atuambie namna ya kutumia wingi wetu kuinua uchumi

    Kura yangu nitampa atakae toa mpango madhubuti juu ya hii hoja ya wingi na idadi ya watu kuweza kuinua uchumi kwa uzalishaji mali
  4. T

    wasiwasi wa uchaguzi ujao kughubikwa na majanga.

    Wamekosa hoja za msingi cdm
  5. T

    Ndugu Mtanzania: Je unajua hili?

    Sasa nimejua
  6. T

    Miaka sitini na tatu unaoa ili iweje?

    Bora aoe apate mwenza wa kumliwaza ili kutokuendelea kumkumbuka mkewe alie tangulia mbele za haki
  7. T

    Tanzania paid $76 million to 'ghost workers' over the course of a year

    Kweli hili suala livaliw njuga na wahusika wawajibishwe
  8. T

    Hivi nyie wasichana/wanawake mpoje?

    Huo ndo ukweli mkuu Hawa ni kuwadanganya tu ili tuwahondomole Maana kwao uongo ni ukweli na ukweli ni uongo
  9. T

    Athari za kulazimisha mahusiano

    kweli kabisa mapenzi hayalazimishwi
  10. T

    Babu hajaacha makuzi tu (funny)

    Hahahahahaha
Back
Top Bottom