Hivi nyie wasichana/wanawake mpoje?

Hivi nyie wasichana/wanawake mpoje?

Kumbe mashairi yote hayo kwa ajili yakugegeda na si kuoa!!! utawapata hao hao

yani mikelele yote hiyo kumbe anataka mpwapwapwa,naona hadi mishipa ya midole imemtoka.hahahhahahhah.
 
hahahahhahaaaa... wakina dada hapa wamekuwa wakali ajabu......ukweli unauma eehh...
 
Lol! kwa mtindo huu ndio maana wengi wanachezewa,binafsi sipendi kujiproud na ku pretend nina hadhi nisizokuwa nazo.
 
Huo ndo ukweli mkuu
Hawa ni kuwadanganya tu ili tuwahondomole
Maana kwao uongo ni ukweli na ukweli ni uongo
 
Nyie mabinti bila kudanganywa siku zote hamwezi kumkubalia mtu,nina ushahid wa mabinti kumi na mbili ambao wote nilivyowadanya mimi ni afisa flani mahala,eti wakanipatia kibwengo chao,yena walikuwa wasomi na wenye heshima zao,sasa nawashangaa vi sistar duuh vya hapa eti vinabisha bila sababu,kama wewe unabisha hebu jiulize Uchi wako ushaliwa na wanaume wangapi na kwa bahati mbaya hata mmoja hakutoa mahali wala kukuchumbia,,,

Naweza kuwa nililiwa na 30 lakini wote ilikua kutokana na hulka/tamaa yangu tu sio kwasababu ya kudanganywa, kuna mabinti wengine wanalala na wanaume hata 8 kwa siku ukichunguza kati yao 1 au 2 tu ndio walau wanavijipesa, nishakuambia ukiona unamwambia mwanamke ndege zote zako ndo anakubali, hapo ujue nyuma unabaki unachekwa tu japo we unaona sifa
 
Ila.ndugu zangu hawa ni wapenzi wetu madada zetu tuwashauli waelewe wayaelewa tu maana nawonea huruma wengine chips kuku tu anaongopewa wengine cm ya watssap uyo mpaka nakuomba umpe mimba ni hatari
 
Wasichana / wanawake mpoje? Mkitongozwa kwa kuambiwa ukweli mnatukataa lakini mkitongozwa kwa kudanganywa ndiyo mnatukubali! Na sasa tutawadanganyeni hadi mkome kudadadeki zenu.

Kwa mfano mwanamke ukimwambia kuwa mimi naitwa Gentamycine, maisha yangu ni ya kawaida tu leo ninazo kesho sina ila napambana tu kimaisha katika kutafuta mtonyo hivyo kama utaona nakufaa ni heri karibu tuanzishe malividavi.Hapa ukimpata huyo msichana katambike kijijini kwenu Kyaka Nkunde.

Lakini ukimwambia mwanamke kuwa unajua dada mimi Gentamycine nimekupenda kupita maelezo na sina tatizo kuishi nawe ukizingatia kuwa nina mali za kutosha kuanzia zile meli zote unazoziona kule baharini hazitii nanga Bandarini hadi ruhusa yangu.

Halafu na yule tajiri Dangote nina ubia nae na kama hiyo haitoshi pikipiki na bajaji zote hapa Dar ni mali zangu.Hapa Ukimkosa huyo demu basi wewe una nuksi au gundu la kiasili, ila kwa sumu za aina hiyo utahondomola wasichana wa kibongo hadi uchoke / ushindwe mwenyewe.

Dada zetu msitulaumu kwani mnatufundisha uwongo na ujanja huu nyie wenyewe na mtatukoma.Badilikeni mnatuumiza.

kuna mwaka 1 nikiwa milambo secondary tabora, miaka ya 90 huko, tukiwa tunajisomea kwenye ukumbi wa chakula usiku kama saa 6 tulisikia kelele za mwanamke zikitokea jikoni, tukashangaa kwani kipindi hicho shule ilikuwa ni ya wavulana tu ikabidi twende jikoni kweli tukakuta mlinzi alikuwa bize akigegeda, ikabidi mlinzi astuke manake hata yeye mwenyewe zile kelele zilimstua akawa anavaa nguo yule dada hoi, nadhani alikutana na mguu wa mtoto, sasa cha ajabu tulipomuuliza kuwa kwanini umekubali kuja shuleni hujataka upelekwe guest akadai kuwa nimeambiwa kuwa hapa ni nyumbani kwake, sasa tukajiuliza mtu aweze miliki majumba yote haya ndo akulaze kwenye mabench, nikasema kweli wanawake bila uongo humpati
 
kuna mwaka 1 nikiwa milambo secondary tabora, miaka ya 90 huko, tukiwa tunajisomea kwenye ukumbi wa chakula usiku kama saa 6 tulisikia kelele za mwanamke zikitokea jikoni, tukashangaa kwani kipindi hicho shule ilikuwa ni ya wavulana tu ikabidi twende jikoni kweli tukakuta mlinzi alikuwa bize akigegeda, ikabidi mlinzi astuke manake hata yeye mwenyewe zile kelele zilimstua akawa anavaa nguo yule dada hoi, nadhani alikutana na mguu wa mtoto, sasa cha ajabu tulipomuuliza kuwa kwanini umekubali kuja shuleni hujataka upelekwe guest akadai kuwa nimeambiwa kuwa hapa ni nyumbani kwake, sasa tukajiuliza mtu aweze miliki majumba yote haya ndo akulaze kwenye mabench, nikasema kweli wanawake bila uongo humpati

Umekamilisha Jioni Yangu Kwa Kuvunja Mbavu Zangu Mkuu. Nimecheka Hadi Basi!
 
Mwanamke umwambie ukweli imekula kwako maana kwao ukweli ni sumu sna uongo ndio mahali pake hadi anacheka mwenyewe na anajua kua anadanganywa ila fresh kabisa na utapewa vyote

Utapewa Vyote Una Maanisha Hadi Tigo au?
 
nadhani wameongelewa wasichana chini 18 ,na wadada wa kazi za nyumbani hapa , hivi mtu mzima kama mimi unidanganye urongo wa kijingajinga nakupiga maswali wawili tu unatoka Nduki , hayo mimi yule Mjomba wangu , Meli za Baba haihusu kabisa ! wewe nani na unafanya nini kama wewe !

Tena Wewe Dada Yangu Ndiyo Unaonekana Ni Mwepeeeeeeesi Na Laiiiiiiiiiiiiiini!!!!!!!
 
Back
Top Bottom