Athari za kulazimisha mahusiano

Athari za kulazimisha mahusiano

Ving'ang'anizi ndio wanaodumu kwenye mahusiano/ ndoa.

Ukidai unajua kujipenda wewe kwanza utabadilisha kila mwezi.
Stress ndio penzi linakomaa.


Ila mie sihusiki aku.

tunataka kuipiga chini CCM Kwa sababu hatukuipenda bali tulilazimishwa kuipenda ma kuichagua .... Pointi yangu ichambue kutokana na mada husika
 
daaaa umenikumbusha mbali
kuna mkaka moja alikua
kaniganda sana yaani ilifikia
hatua ya kunifata
home
kipindi hicho niko
first year chuo anataka kujutambulisha home
daaa hata sikua na lepe
ya mapenzi kwake
kilaaa nkimwambia mi sitaki mapenzi na wewe hata
hataki kuelewa
mwishowe ilibidi nihame
home kwa muda kukwepa
usumbufu
wanaumeee nyieeeeee
msipende kulazimisha kupendwa
utaangukia puaaa bureeeeee
 
daaaa umenikumbusha mbali
kuna mkaka moja alikua
kaniganda sana yaani ilifikia
hatua ya kunifata
home
kipindi hicho niko
first year chuo anataka kujutambulisha home
daaa hata sikua na lepe
ya mapenzi kwake
kilaaa nkimwambia mi sitaki mapenzi na wewe hata
hataki kuelewa
mwishowe ilibidi nihame
home kwa muda kukwepa
usumbufu
wanaumeee nyieeeeee
msipende kulazimisha kupendwa
utaangukia puaaa bureeeeee

ila inauma kutoswa ,.. Maana duh mapenzi ni vita isiyo na sheria
 
Nipo tofauti sana na wewe mkuu, binafsi nilimpenda mwanamke mmoja, nikatamani sana nimuoe, mwanzo tulikuwa poa, baadae akavurugigika, simply nilijua nilichookihitaji sikukata tamaa, niliishi kwenye ndoto zangu za kuwa na naye, things were no easy, tulipitia mengi sana tena sana na ya kushangaza, later we are now in love, soon tunaooana, so if u love something dont be disapointed at all, stick on what u dream, matatizo kukutokea mwanzoni ni kawaida sana, unapokula mnofu jua mbele kuna mfupa, na unapoanza mfupa jua mbele kuna stake,
 
Kuna Jirani yangu alikuwa na gal wakawa pamoja kwa miaka mine,Jamaa alikuwa kafa kaoza.Gal akaenda ng'ambo kubukua,alipofika huko akaanza pozi zisizo na maana Mara kiburi,dharau na ugomvi,mwisho akamtamkia mshikaji kuwa hamueshimu tena.Aliporudi bongo wakaliendeleza,kuna siku gal akamwambia atamani amtose ila anaogopa Jamaa huwa analalamika Sana.Mwisho wa siku Jamaa akakubali matokeo wakatosana kiroho safi.
So Kama haupendwi ni bora kuachia ngazi mapenzi ni maumivu ukiyalazimisha.Penda unapopendwa.Usikubali kupelekeshwa na mapenzi. (Mithali 31:3)
 
I will not let that happen to me, I always run to save myself
 
Back
Top Bottom