sio sahihi to make this analysis based on our emotional, but rather the fact, reality za kiuchumi na kibiashara pia.. hili litakuwa tatizo kubwa wajameni
uwezo mdogo wa kufikiri unalitesa sana taifa letu... ni aibu kubwa mtu kuhusisha filamu za nje kuwa zinaua soko la bongo movies.. very little poor understanding which leads us to be more than poor
UJUMBE MFUPI WA TAARIFA KUMALIZA TB.
Tanzania imekua ikirekodi takribani wagonjwa 63000 kila mwaka wa Kifua kikuu (TB) kwa miaka mitano ikifanya nchi yetu kua ya sita kati ya nchi zinazoongoza kwa ugonjwa wa TB barani Afrika hii ni kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO).
Ikisababishwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.