Recent content by Technological Health

  1. Technological Health

    Series (Special thread)

    HOUSE OF CARDS Game of Thrones hizo series mbili are my best of the best then hizo zote mlizomention pia ni nzuri
  2. Technological Health

    BUNGENI: Serikali imeagiza sukari kutoka nje sababu ya uhaba

    huwezi zuia sukari kutoka nje wakati huna uhakika 100% wa kuproduce sukari ya kutosha.. ni ujinga na kukurupuka tu.
  3. Technological Health

    Kufuatia tambiko Anna Kilango Karogwa? wengine ni Lowasa na Mbowe.

    chenge mwanzo mwisho pale... kajipanga balaa
  4. Technological Health

    Upotoshaji wa Humphrey Polepole kuhusu fedha za MCC

    hahaha... nimependa sana hiyo analysis.. mpka Yesu anarudi bado hatujamaliza bajet ya mwaka 1 tu ya Marekani
  5. Technological Health

    NSSF ndani ya ufisadi mzito: Wajanja wapiga zaidi ya Sh. Bilioni 179

    mi nadhani hata mifuko mingine mikubwa kama PPF itakuwa na haya madudu pia
  6. Technological Health

    Barrick Gold Mine yanaswa ukwepaji kodi wa kutisha

    kwa uwezo wao wa teknolojia inawezekana saiv pia hawaipi kodi ila hatujui, tutajua afta another 4 yrs
  7. Technological Health

    Nchi 10 kati ya 14 za Ulaya zasitisha msaada wa kibajeti kwa Tanzania

    sio sahihi to make this analysis based on our emotional, but rather the fact, reality za kiuchumi na kibiashara pia.. hili litakuwa tatizo kubwa wajameni
  8. Technological Health

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    lack of sleep/ insomnia might be caused by psychological or biological factors.
  9. Technological Health

    Makonda aombwa azuie filamu za nje

    uwezo mdogo wa kufikiri unalitesa sana taifa letu... ni aibu kubwa mtu kuhusisha filamu za nje kuwa zinaua soko la bongo movies.. very little poor understanding which leads us to be more than poor
  10. Technological Health

    Kuhitimisha Siku ya Kifua Kifuu Duniani.

    UJUMBE MFUPI WA TAARIFA KUMALIZA TB. Tanzania imekua ikirekodi takribani wagonjwa 63000 kila mwaka wa Kifua kikuu (TB) kwa miaka mitano ikifanya nchi yetu kua ya sita kati ya nchi zinazoongoza kwa ugonjwa wa TB barani Afrika hii ni kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO). Ikisababishwa na...
Back
Top Bottom