Upotoshaji wa Humphrey Polepole kuhusu fedha za MCC

ILAN RAMON

JF-Expert Member
Sep 10, 2013
8,046
2,931
Baada ya Marekani kuzuia pesa za MCC kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na sheria ya mitandao, CCM hawakukubali ukweli huo. Hawakuamini kama Marekani inaweza kufuta msaada huo kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na Cyber Law. Kwahiyo wakaanza kutafuta "vijisababu" vyao.

Wakasema "haiwezekani Marekani wafute msaada kwa sababu ya Zanzibar tu. Lazima watakua na agenda ya siri hawataki kusema.." Nikacheka sana. Yani vijana wa CCM wanaona suala la Zanzibar kama vile si kitu.. yani haiwezeni Zanzibar isababishe tukose hela.

Wao wanaona uchaguzi wa Zanzibar ni sawa na uchaguzi mdogo wa udiwani pale kwetu "Kibosho Manushi" wakasahau kwamba Zanzibar ni nchi na ilikua na kiti Umoja wa mataifa hadi mwaka 1964 kilipofutwa.

Lakini vijana wa CCM wanaipuuza Zanzibar.. Wao wanaona Zanzibar ni kitu kidogo ambacho hakiwezi kusababisha tukose "mabilioni ya Wamarekani"..

Kwa hiyo wakaanza kutafuta sababu zingine ambazo wanaamimi "zinasound" zaidi kiuliko Uchaguzi wa Zanzibar. Na hapa ndipo uzwazwa ulipoanzia.

Mmoja wa makada wa CCM Hamprey Polepole pamoja na "Accorders" wenzie wakaanza kupotosha sababu ya kunyimwa fedha hizo. Wakasema si kwa sababu ya Zanzibar wala Cyber Law ila ni kwa sababu ya Symbion (kampuni ya kuzalisha umeme ya Marekani).

Polepole amenukuliwa mara kadhaa mitandaoni na kwenye runinga akidai Marekani wametunyima pesa za MCC kwa sababu wanajua tutawanyima dili la kuzalisha umeme kwa kampuni yao ya Symbion.

Alifika mbali na kusema "Marekani wanatuonea wivu kwa kuwa Symbion haitapata ulaji wa umeme"!

Nikamuonea huruma sana kijana huyu aliyejingea imani kwa watanzania wakati wa Tume ya Warioba. Huyu ni Accorder type one.. Wale wanaosofia kwa kujipendekeza. Eti kwamba Marekani wanatuonea wivu?? Hahahaah..

Kuna "Facts" ambazo Accorders hawazijui; ngoja niwasaidie halafu tuone kama kweli Marekani wanatuonea wivu.

#Fact_number1
Mradi wa kuzalisha umeme wa Symbion ni wa dola milioni 900 ambapo kwa sasa wametekeleza kwa kiwango cha kama dola milioni 350 hivi. Hizi ni sawa na Shilingi Bilioni 800 za kitanzania (haijafika hata trilioni moja).

#Fact_number2
Pesa za MCC walizotunyima Marekani ni takribani Shilingi Trilioni 1.2 za Kitanzania.

Sasa inawezekanaje mtu akunyime Trilioni 1.2 kwa hofu kwamba utamnyima dili la Bilioni 800? Uzwazwa mkubwa sana huu. Yani unaogopa kumpa mtu viatu vya laki moja kwa sababu unahofia atakunyima kandambili za jero.?

#Fact_number3
Bajeti ya Tanzania (ambayo haijawahi kutekelezwa kwa hata 75%) ni shilingi TRLIONI 22 kwa mwaka!

#Fact_number4
Bajeti ya jimbo la California pekee ni Dola Bilioni 122.6 kwa mwaka, sawa na shilingi TRILIONI 245.2 (exchange rate ya $1 kwa TZS 2,000). Maana yake ni kwamba bajeti ya jimno la Carlifonia peke yake ni sawa na Bajeti ya Tanzania kwa miaka 11.15 (under ceteris peribus).

Sasa jiulize hapa Marekani wanatuoneaje wivu? Bado simuelewi Polepole na genge lake la Mazwazwa. Hivi dereva wa "Range Rover sport" anamuoneaje wivu dereva wa "Starlet Old model"?

#Fact_number5
Bajeti ya ujumla ya Serikali ya Marekani (US Federal Budget) kwa mwaka 2015/16 ni Dola Trilioni 3.8 ambazo ni sawa na shilingi TRILIONI 7,600 za kitanzania. Hiki kiasi ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa MIAKA 345 NA MIEZI 6.

Yani tukipewa bajeti ya Marekani kwa mwaka mmoja tu tunaitumia hadi mwaka 2361 (under ceteris peribus). Yani Yesu anaweza kurudi akatukuta tunakula tu pesa ya Mmarekani ya mwaka mmoja. Na ukumbuke kuwa bajeti ya Marekani ni asilimia 21% tu ya GDP ya nchi yao. Bado wana reserve ya mabilioni ya dola.!

Sasa hebu tusaidiane hapa Marekani wanatuoneaje wivu?

Kichwa kinaniuma sana sijui kwa nini hawa Wamarekani wanatuonea wivu kwa ajili ya ki-Symbion chao..!

Kichwa kinaniuma sana, nimemwomba Daktari aniandikie "Brufen" kabisa maana "Diclofenac" imebuma.!
 
Napenda watu wanaokuja na facts zinazoeleweka, research nzuri tatizo la vijana wetu ambao ndio tunawahitaji kusimamia ukweli wanaongozwa na hisia na hamu ya kupata madaraka kwa kusifia uozo, aibu kwao siku zote muda ndio utatuambia.
 
Hakuna misaada mkuu,hapo tunaibiwa wenyewe na tunarejeshewa tena upya.
Issue ya Zanzibar sio kubwa iliyopelekea hivyo.
Kwani kabya ya hizo pesa Zanzibar haikuwepo?au hujui kama Zanzibar yenyewe iliwahi Kuikopesha Tanganyika pesa miaka hiyo?
Nyie watembea na mafuta kina Genta mnatabu saana,yaani bila MCC maisha hakuna au?
Hoja dhaifu saana ya kwamba eti watu watakufa njaa,Mbona Kenya walizuia misaada kama hiyo na Uhuru Kenyata akasema sio issue na waka recover na wala hana habari teena wameisha sahau na budget yao ilikuja ku fix gepu.

Aikili unavyoidumaza ndio inavyokupeleka.Ukiamini kwamba bila msaada huwezi kuishi au Nchi haiwezi kuendelea basi kila siku utakuwa na majibu mapya huku siku zikiendelea na maisha yanaendelea.
Kwanza misaada mingi haizidi 30% ya maombi yake.

1.2 Trilion zogoooo,aiseee,pesa gani hiyo
Haya tuone sasa kama tutakufa,
 
Hakuna misaada mkuu,hapo tunaibiwa wenyewe na tunarejeshewa tena upya.
Issue ya Zanzibar sio kubwa iliyopelekea hivyo.
Kwani kabya ya hizo pesa Zanzibar haikuwepo?au hujui kama Zanzibar yenyewe iliwahi Kuikopesha Tanganyika pesa miaka hiyo?
Nyie watembea na mafuta kina Genta mnatabu saana,yaani bila MCC maisha hakuna au?
Hoja dhaifu saana ya kwamba eti watu watakufa njaa,Mbona Kenya walizuia misaada kama hiyo na Uhuru Kenyata akasema sio issue na waka recover na wala hana habari teena wameisha sahau na budget yao ilikuja ku fix gepu.

Aikili unavyoidumaza ndio inavyokupeleka.Ukiamini kwamba bila msaada huwezi kuishi au Nchi haiwezi kuendelea basi kila siku utakuwa na majibu mapya huku siku zikiendelea na maisha yanaendelea.
Kwanza misaada mingi haizidi 30% ya maombi yake.

1.2 Trilion zogoooo,aiseee,pesa gani hiyo
Haya tuone sasa kama tutakufa,




Mkuu Kenya wanajitegemea kibajiti kwa asilimia 98 so.ur comparison is irrelevant
 
Baada ya Marekani kuzuia pesa za MCC kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na sheria ya mitandao, CCM hawakukubali ukweli huo. Hawakuamini kama Marekani inaweza kufuta msaada huo kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na Cyber Law. Kwahiyo wakaanza kutafuta "vijisababu" vyao.

Wakasema "haiwezekani Marekani wafute msaada kwa sababu ya Zanzibar tu. Lazima watakua na agenda ya siri hawataki kusema.." Nikacheka sana. Yani vijana wa CCM wanaona suala la Zanzibar kama vile si kitu.. yani haiwezeni Zanzibar isababishe tukose hela.

Wao wanaona uchaguzi wa Zanzibar ni sawa na uchaguzi mdogo wa udiwani pale kwetu "Kibosho Manushi" wakasahau kwamba Zanzibar ni nchi na ilikua na kiti Umoja wa mataifa hadi mwaka 1964 kilipofutwa.

Lakini vijana wa CCM wanaipuuza Zanzibar.. Wao wanaona Zanzibar ni kitu kidogo ambacho hakiwezi kusababisha tukose "mabilioni ya Wamarekani"..

Kwa hiyo wakaanza kutafuta sababu zingine ambazo wanaamimi "zinasound" zaidi kiuliko Uchaguzi wa Zanzibar. Na hapa ndipo uzwazwa ulipoanzia.

Mmoja wa makada wa CCM Hamprey Polepole pamoja na "Accorders" wenzie wakaanza kupotosha sababu ya kunyimwa fedha hizo. Wakasema si kwa sababu ya Zanzibar wala Cyber Law ila ni kwa sababu ya Symbion (kampuni ya kuzalisha umeme ya Marekani).

Polepole amenukuliwa mara kadhaa mitandaoni na kwenye runinga akidai Marekani wametunyima pesa za MCC kwa sababu wanajua tutawanyima dili la kuzalisha umeme kwa kampuni yao ya Symbion.

Alifika mbali na kusema "Marekani wanatuonea wivu kwa kuwa Symbion haitapata ulaji wa umeme"!

Nikamuonea huruma sana kijana huyu aliyejingea imani kwa watanzania wakati wa Tume ya Warioba. Huyu ni Accorder type one.. Wale wanaosofia kwa kujipendekeza. Eti kwamba Marekani wanatuonea wivu?? Hahahaah..

Kuna "Facts" ambazo Accorders hawazijui; ngoja niwasaidie halafu tuone kama kweli Marekani wanatuonea wivu.

#Fact_number1
Mradi wa kuzalisha umeme wa Symbion ni wa dola milioni 900 ambapo kwa sasa wametekeleza kwa kiwango cha kama dola milioni 350 hivi. Hizi ni sawa na Shilingi Bilioni 800 za kitanzania (haijafika hata trilioni moja).

#Fact_number2
Pesa za MCC walizotunyima Marekani ni takribani Shilingi Trilioni 1.2 za Kitanzania.

Sasa inawezekanaje mtu akunyime Trilioni 1.2 kwa hofu kwamba utamnyima dili la Bilioni 800? Uzwazwa mkubwa sana huu. Yani unaogopa kumpa mtu viatu vya laki moja kwa sababu unahofia atakunyima kandambili za jero.?

#Fact_number3
Bajeti ya Tanzania (ambayo haijawahi kutekelezwa kwa hata 75%) ni shilingi TRLIONI 22 kwa mwaka!

#Fact_number4
Bajeti ya jimbo la California pekee ni Dola Bilioni 122.6 kwa mwaka, sawa na shilingi TRILIONI 245.2 (exchange rate ya $1 kwa TZS 2,000). Maana yake ni kwamba bajeti ya jimno la Carlifonia peke yake ni sawa na Bajeti ya Tanzania kwa miaka 11.15 (under ceteris peribus).

Sasa jiulize hapa Marekani wanatuoneaje wivu? Bado simuelewi Polepole na genge lake la Mazwazwa. Hivi dereva wa "Range Rover sport" anamuoneaje wivu dereva wa "Starlet Old model"?

#Fact_number5
Bajeti ya ujumla ya Serikali ya Marekani (US Federal Budget) kwa mwaka 2015/16 ni Dola Trilioni 3.8 ambazo ni sawa na shilingi TRILIONI 7,600 za kitanzania. Hiki kiasi ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa MIAKA 345 NA MIEZI 6.

Yani tukipewa bajeti ya Marekani kwa mwaka mmoja tu tunaitumia hadi mwaka 2361 (under ceteris peribus). Yani Yesu anaweza kurudi akatukuta tunakula tu pesa ya Mmarekani ya mwaka mmoja. Na ukumbuke kuwa bajeti ya Marekani ni asilimia 21% tu ya GDP ya nchi yao. Bado wana reserve ya mabilioni ya dola.!

Sasa hebu tusaidiane hapa Marekani wanatuoneaje wivu?

Kichwa kinaniuma sana sijui kwa nini hawa Wamarekani wanatuonea wivu kwa ajili ya ki-Symbion chao..!

Kichwa kinaniuma sana, nimemwomba Daktari aniandikie "Brufen" kabisa maana "Diclofenac" imebuma.!
Mkuu bado hueleweki, we unajua ulimwengu wa kibepari kweli? Na sasa tupo kwenye dunia ya kibeberu ambayo sio suala la ajabu kuona mwenye "lamborghin akimuonea wivu mwenye baiskeli"

Chukulia mfano wa bilionea wetu SSB.
Hivi kwa akili zako,kuna sababu gani ya Bakharesa kuuza chapati kama sio kuwaonea wivu wauza chapati wote? Afu kwanini Bakharesa anauza vijuisi kama sio wivu kwa wafanyabiashara wadogowadogo wa juisi?

Kama akili imekukaa vizuri sasa utagundua kuwa America hataki kuona tukijitegemea in any how. Sasa wame focus wakagundua kuwa kwa hizi plan zinazofanyika ina maana baada ya miaka 50 hatutawahitaji tena kwa lolote lile.
Wameona mwisho kutokea mwanzo.
 
Maneno yako matamu lkn ungeongea hivyo kipindi kile cha vuguvugu la kudai Uhuru, hakika ungeshapigwa panga. Maana maneno yako yanaonyesha bila chembe ya shaka ww unaukumbatia utumwa.

Hoja yangu kama mtz sihitaji msaada kutoka taifa lingine.

Maana hakuna binaadam (achiliambali taifa) alie fanikiwa kwa kupitia msaada.
 
Muhimu nikuelewa upepo umebadilika. Nchi zote zinahitajiana. Kinachoamua ni nini unaleta mezani. Tunahama kutoka enzi za misaada na kuhamia uhusiano wa kibiashara --aid to trade.
Hata nchi za Ulaya kuna kipindi walipewa misaada na Marekani--baada ya vita kuu ya pili ya dunia--na sasa wao ndio wanatoa misaada. Japo muktadha unaweza kuwa tofauti, lakini ni muhimu tujifunze waliweza vipi (Someni Marshall Plan au European Recovery Programme - ERP)

Watanzania tuache kulialia kama mtoto kanyang'anywa mpira, tujipange kupambana vyema kwenye huu ulingo la sivyo tutaendelea kubaki na wimbo bila fimbo.

Huu ni mfano wa mahusiano na wahisani yanakoelekea...

Kenyatta, Hollande to Witness Sh29 Billion in Deals Signed
The French and Kenyan Governments were on Monday expected to sign deals that will see Sh29 billion, "injected into the Kenyan economy," according to Foreign Affairs Cabinet Secretary Amina Mohamed, at talks presided over by President Uhuru Kenyatta and French President Francois Hollande.

Presidents Kenyatta and Hollande were scheduled to meet on Monday afternoon following the former's arrival in Paris on Sunday evening.

Kenya is already the biggest beneficiary of French oversees development assistance and according to State House Spokesperson Manoah Esipisu, the French government has committed Sh88.5 billion to Kenya through the Africa Development Bank; having committed Sh5 billion to the upgrading of slums through the French Development Agency.

"We consider France as a partner not a donor because the work we have been doing together is not the kind that happens when it is a donor-recipient relationship. It is a relationship that France would have even with the developed world with joint ventures where resources coming into the country are investments not aid," Mohamed said on Monday.

Kenya, she said, was interested in the growth of that partnership and to seeing more of the French in Kenyan investment circles and as visitors to the country.

http://allafrica.com/stories/201604050121.html
 
Mkuu bado hueleweki, we unajua ulimwengu wa kibepari kweli? Na sasa tupo kwenye dunia ya kibeberu ambayo sio suala la ajabu kuona mwenye "lamborghin akimuonea wivu mwenye baiskeli"

Chukulia mfano wa bilionea wetu SSB.
Hivi kwa akili zako,kuna sababu gani ya Bakharesa kuuza chapati kama sio kuwaonea wivu wauza chapati wote? Afu kwanini Bakharesa anauza vijuisi kama sio wivu kwa wafanyabiashara wadogowadogo wa juisi?

Kama akili imekukaa vizuri sasa utagundua kuwa America hataki kuona tukijitegemea in any how. Sasa wame focus wakagundua kuwa kwa hizi plan zinazofanyika ina maana baada ya miaka 50 hatutawahitaji tena kwa lolote lile.
Wameona mwisho kutokea mwanzo.
Umejibu Vyema Sana
 
Hakuna misaada mkuu,hapo tunaibiwa wenyewe na tunarejeshewa tena upya.
Issue ya Zanzibar sio kubwa iliyopelekea hivyo.
Kwani kabya ya hizo pesa Zanzibar haikuwepo?au hujui kama Zanzibar yenyewe iliwahi Kuikopesha Tanganyika pesa miaka hiyo?
Nyie watembea na mafuta kina Genta mnatabu saana,yaani bila MCC maisha hakuna au?
Hoja dhaifu saana ya kwamba eti watu watakufa njaa,Mbona Kenya walizuia misaada kama hiyo na Uhuru Kenyata akasema sio issue na waka recover na wala hana habari teena wameisha sahau na budget yao ilikuja ku fix gepu.

Aikili unavyoidumaza ndio inavyokupeleka.Ukiamini kwamba bila msaada huwezi kuishi au Nchi haiwezi kuendelea basi kila siku utakuwa na majibu mapya huku siku zikiendelea na maisha yanaendelea.
Kwanza misaada mingi haizidi 30% ya maombi yake.

1.2 Trilion zogoooo,aiseee,pesa gani hiyo
Haya tuone sasa kama tutakufa,
Napenda Sana Kumuona Mtz Anajiamin Kama Wewe. Ngoja Tufe Njaa.
 
Baada ya Marekani kuzuia pesa za MCC kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na sheria ya mitandao, CCM hawakukubali ukweli huo. Hawakuamini kama Marekani inaweza kufuta msaada huo kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na Cyber Law. Kwahiyo wakaanza kutafuta "vijisababu" vyao.

Wakasema "haiwezekani Marekani wafute msaada kwa sababu ya Zanzibar tu. Lazima watakua na agenda ya siri hawataki kusema.." Nikacheka sana. Yani vijana wa CCM wanaona suala la Zanzibar kama vile si kitu.. yani haiwezeni Zanzibar isababishe tukose hela.

Wao wanaona uchaguzi wa Zanzibar ni sawa na uchaguzi mdogo wa udiwani pale kwetu "Kibosho Manushi" wakasahau kwamba Zanzibar ni nchi na ilikua na kiti Umoja wa mataifa hadi mwaka 1964 kilipofutwa.

Lakini vijana wa CCM wanaipuuza Zanzibar.. Wao wanaona Zanzibar ni kitu kidogo ambacho hakiwezi kusababisha tukose "mabilioni ya Wamarekani"..

Kwa hiyo wakaanza kutafuta sababu zingine ambazo wanaamimi "zinasound" zaidi kiuliko Uchaguzi wa Zanzibar. Na hapa ndipo uzwazwa ulipoanzia.

Mmoja wa makada wa CCM Hamprey Polepole pamoja na "Accorders" wenzie wakaanza kupotosha sababu ya kunyimwa fedha hizo. Wakasema si kwa sababu ya Zanzibar wala Cyber Law ila ni kwa sababu ya Symbion (kampuni ya kuzalisha umeme ya Marekani).

Polepole amenukuliwa mara kadhaa mitandaoni na kwenye runinga akidai Marekani wametunyima pesa za MCC kwa sababu wanajua tutawanyima dili la kuzalisha umeme kwa kampuni yao ya Symbion.

Alifika mbali na kusema "Marekani wanatuonea wivu kwa kuwa Symbion haitapata ulaji wa umeme"!

Nikamuonea huruma sana kijana huyu aliyejingea imani kwa watanzania wakati wa Tume ya Warioba. Huyu ni Accorder type one.. Wale wanaosofia kwa kujipendekeza. Eti kwamba Marekani wanatuonea wivu?? Hahahaah..

Kuna "Facts" ambazo Accorders hawazijui; ngoja niwasaidie halafu tuone kama kweli Marekani wanatuonea wivu.

#Fact_number1
Mradi wa kuzalisha umeme wa Symbion ni wa dola milioni 900 ambapo kwa sasa wametekeleza kwa kiwango cha kama dola milioni 350 hivi. Hizi ni sawa na Shilingi Bilioni 800 za kitanzania (haijafika hata trilioni moja).

#Fact_number2
Pesa za MCC walizotunyima Marekani ni takribani Shilingi Trilioni 1.2 za Kitanzania.

Sasa inawezekanaje mtu akunyime Trilioni 1.2 kwa hofu kwamba utamnyima dili la Bilioni 800? Uzwazwa mkubwa sana huu. Yani unaogopa kumpa mtu viatu vya laki moja kwa sababu unahofia atakunyima kandambili za jero.?

#Fact_number3
Bajeti ya Tanzania (ambayo haijawahi kutekelezwa kwa hata 75%) ni shilingi TRLIONI 22 kwa mwaka!

#Fact_number4
Bajeti ya jimbo la California pekee ni Dola Bilioni 122.6 kwa mwaka, sawa na shilingi TRILIONI 245.2 (exchange rate ya $1 kwa TZS 2,000). Maana yake ni kwamba bajeti ya jimno la Carlifonia peke yake ni sawa na Bajeti ya Tanzania kwa miaka 11.15 (under ceteris peribus).

Sasa jiulize hapa Marekani wanatuoneaje wivu? Bado simuelewi Polepole na genge lake la Mazwazwa. Hivi dereva wa "Range Rover sport" anamuoneaje wivu dereva wa "Starlet Old model"?

#Fact_number5
Bajeti ya ujumla ya Serikali ya Marekani (US Federal Budget) kwa mwaka 2015/16 ni Dola Trilioni 3.8 ambazo ni sawa na shilingi TRILIONI 7,600 za kitanzania. Hiki kiasi ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa MIAKA 345 NA MIEZI 6.

Yani tukipewa bajeti ya Marekani kwa mwaka mmoja tu tunaitumia hadi mwaka 2361 (under ceteris peribus). Yani Yesu anaweza kurudi akatukuta tunakula tu pesa ya Mmarekani ya mwaka mmoja. Na ukumbuke kuwa bajeti ya Marekani ni asilimia 21% tu ya GDP ya nchi yao. Bado wana reserve ya mabilioni ya dola.!

Sasa hebu tusaidiane hapa Marekani wanatuoneaje wivu?

Kichwa kinaniuma sana sijui kwa nini hawa Wamarekani wanatuonea wivu kwa ajili ya ki-Symbion chao..!

Kichwa kinaniuma sana, nimemwomba Daktari aniandikie "Brufen" kabisa maana "Diclofenac" imebuma.!

UKweli kuhusu Symbion ni kwamba ipo chini ya mfumo wa mikataba ya kimataifa ya kuuziana umeme yaani Power Purchase Agreement (PPA) ambayo inamlazimisha TANESCO kutumia umeme wao hadi mwisho wa mkataba na kulipa capacity charges muda wote huo hata kama umeme hautaki!!!!!. ndiyo maana ni mfumo huo huo unoa iweka IPTL au PAP ya Singa Singa kuendelea kuwepo kwenye game ya power hata kama serikali na bunge hawataki.
Kwa maana hiyo namshauri Mr Pole Pole kuwa anafanya tafiti kwa jambo analotaka kuzungumzia asidhani kila jambo ni siasa za kujipendekeza kutafuta vyeo kama u DC!!!!!!
 
Tatizo Tanzania ina resources nyingi sana karibia kila kona ya nchi imejaa rasilimali ila tunamuwa waoga tu wa kuthubutu. Laiti tungekuwa na msimamo wetu hata hao Marekani na Umoja wa Ulaya (EU) wasingetutisha kwa lolote
 
Baada ya Marekani kuzuia pesa za MCC kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na sheria ya mitandao, CCM hawakukubali ukweli huo. Hawakuamini kama Marekani inaweza kufuta msaada huo kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar na Cyber Law. Kwahiyo wakaanza kutafuta "vijisababu" vyao.

Wakasema "haiwezekani Marekani wafute msaada kwa sababu ya Zanzibar tu. Lazima watakua na agenda ya siri hawataki kusema.." Nikacheka sana. Yani vijana wa CCM wanaona suala la Zanzibar kama vile si kitu.. yani haiwezeni Zanzibar isababishe tukose hela.

Wao wanaona uchaguzi wa Zanzibar ni sawa na uchaguzi mdogo wa udiwani pale kwetu "Kibosho Manushi" wakasahau kwamba Zanzibar ni nchi na ilikua na kiti Umoja wa mataifa hadi mwaka 1964 kilipofutwa.

Lakini vijana wa CCM wanaipuuza Zanzibar.. Wao wanaona Zanzibar ni kitu kidogo ambacho hakiwezi kusababisha tukose "mabilioni ya Wamarekani"..

Kwa hiyo wakaanza kutafuta sababu zingine ambazo wanaamimi "zinasound" zaidi kiuliko Uchaguzi wa Zanzibar. Na hapa ndipo uzwazwa ulipoanzia.

Mmoja wa makada wa CCM Hamprey Polepole pamoja na "Accorders" wenzie wakaanza kupotosha sababu ya kunyimwa fedha hizo. Wakasema si kwa sababu ya Zanzibar wala Cyber Law ila ni kwa sababu ya Symbion (kampuni ya kuzalisha umeme ya Marekani).

Polepole amenukuliwa mara kadhaa mitandaoni na kwenye runinga akidai Marekani wametunyima pesa za MCC kwa sababu wanajua tutawanyima dili la kuzalisha umeme kwa kampuni yao ya Symbion.

Alifika mbali na kusema "Marekani wanatuonea wivu kwa kuwa Symbion haitapata ulaji wa umeme"!

Nikamuonea huruma sana kijana huyu aliyejingea imani kwa watanzania wakati wa Tume ya Warioba. Huyu ni Accorder type one.. Wale wanaosofia kwa kujipendekeza. Eti kwamba Marekani wanatuonea wivu?? Hahahaah..

Kuna "Facts" ambazo Accorders hawazijui; ngoja niwasaidie halafu tuone kama kweli Marekani wanatuonea wivu.

#Fact_number1
Mradi wa kuzalisha umeme wa Symbion ni wa dola milioni 900 ambapo kwa sasa wametekeleza kwa kiwango cha kama dola milioni 350 hivi. Hizi ni sawa na Shilingi Bilioni 800 za kitanzania (haijafika hata trilioni moja).

#Fact_number2
Pesa za MCC walizotunyima Marekani ni takribani Shilingi Trilioni 1.2 za Kitanzania.

Sasa inawezekanaje mtu akunyime Trilioni 1.2 kwa hofu kwamba utamnyima dili la Bilioni 800? Uzwazwa mkubwa sana huu. Yani unaogopa kumpa mtu viatu vya laki moja kwa sababu unahofia atakunyima kandambili za jero.?

#Fact_number3
Bajeti ya Tanzania (ambayo haijawahi kutekelezwa kwa hata 75%) ni shilingi TRLIONI 22 kwa mwaka!

#Fact_number4
Bajeti ya jimbo la California pekee ni Dola Bilioni 122.6 kwa mwaka, sawa na shilingi TRILIONI 245.2 (exchange rate ya $1 kwa TZS 2,000). Maana yake ni kwamba bajeti ya jimno la Carlifonia peke yake ni sawa na Bajeti ya Tanzania kwa miaka 11.15 (under ceteris peribus).

Sasa jiulize hapa Marekani wanatuoneaje wivu? Bado simuelewi Polepole na genge lake la Mazwazwa. Hivi dereva wa "Range Rover sport" anamuoneaje wivu dereva wa "Starlet Old model"?

#Fact_number5
Bajeti ya ujumla ya Serikali ya Marekani (US Federal Budget) kwa mwaka 2015/16 ni Dola Trilioni 3.8 ambazo ni sawa na shilingi TRILIONI 7,600 za kitanzania. Hiki kiasi ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa MIAKA 345 NA MIEZI 6.

Yani tukipewa bajeti ya Marekani kwa mwaka mmoja tu tunaitumia hadi mwaka 2361 (under ceteris peribus). Yani Yesu anaweza kurudi akatukuta tunakula tu pesa ya Mmarekani ya mwaka mmoja. Na ukumbuke kuwa bajeti ya Marekani ni asilimia 21% tu ya GDP ya nchi yao. Bado wana reserve ya mabilioni ya dola.!

Sasa hebu tusaidiane hapa Marekani wanatuoneaje wivu?

Kichwa kinaniuma sana sijui kwa nini hawa Wamarekani wanatuonea wivu kwa ajili ya ki-Symbion chao..!

Kichwa kinaniuma sana, nimemwomba Daktari aniandikie "Brufen" kabisa maana "Diclofenac" imebuma.!

Wewe ulipofikia hata "Brufen" itabuma... kama uliweza kumsapoti dhalimu kama nywele nyeupe! Wewe na wafuasi wenzako wote wa GENGE LA UKIWA sasa hivi tunawashuri waanze dose za Morphine or Heroin! ili kuzuia series ya maumivu mtakayoyapata kila siku katika kipindi cha miaka 10 Ijayo au tukuweke Palliative care unit kwa usalama wako. Kila kitu kipo wazi MCC si serikali ya Marekani ni Kashirika kadogo ambako kanatafuta mwanya wa kujiingiza na kujipenyeza katika ma deal mbali mbali! Inawezekana waliwachangia kwenye vikampeni vyenu sasa mmebaki wote mmeduwaa..... Wacha propaganda! MCC is nothing! Tanzania bado iko vizuri zaidi kwenye mahusiano na serikali za Nchi mbali mbali duniani... Mfano Jana Sweden Wamesaign Mkataba wa kusapoti Nishati tena huko huko Zanzibar... Kwa kipindi cha wiki moja tumeshuudi Tanzania ikisaini mikataba ya miradi mbali mbali na Kuwait, China, Ubelgiji hii yote iko hadharani achilia mbali mengine ambayo haipo hadharani....for your information baada kuonyeshwa attitude MCC wanatafuta jinsi ya kurudi kwa mlango wa nyuma... just like Maalimu seif anavyohaha baada ya kuingizwa mkenge... Tupo Imara , Tumejipanga... namba mtaendelea KUZISOMA NYUMBU WALEEEEHHH!
 
KWA KUTHIBITISHA UNAFIKI WA MAREKANI NISAIDIENI MASWALI HAYA.
1. Museve Ame/Anaongoza Uganda Kwa Muda Gani Sasa?.

2. Je Muda Aloongoza Museven Unatofauti Gani Na Muda Wa Mugabe?.

3. Uganda Na Zimbabwe Zimezingatia Uchaguzi Wa Haki?.

4. Why Mugabe Awekewe Vikwazo Lakn Museven Aachwe?.

5. Kwanini Gadaf Aliwekewa Vikwazo?

6. Je Kagame Kawekewa Vikwazo Gani Na Marekani?.

7. Kama Marekani Wanahubiri Demokrasia, Why Wampige Gadaf, Sadam?.

Tujiulize Haya Maswali Ndugu Zangu.

Mtoa Mada Kaeleza Vizuri Lakn Ameeleza Kwa Upande Mmoja Tu Bila Kujali Mwingine.

Marekani Wanahubiri Demokrasia Lakn Wao Ndio Wakwanza Kuipinga. Demokrasia Kwao Ipo Kwa Kuwafeva Wao Na Si Vinginevyo.

Ujinga Tulonao Watz Ni Kwmb, Tunatafsiri Na Kuamini Demokrasia Ipo Kwny Uchaguzi Pekee Lakn Tumesahau Kuhusu Huduma Za Kijamii Nazo Zinatakiwa Zitolewe Kwa Demokrasia Ambayo Inagusa Misingi Ya Haki Za Binadamu.

Marekani Walitulazimisha Tuingize Haki Za Binadamu Kwny Katiba Yetu, Lakn Wao Ndio Walitoka Kwao Na Kumuua Sadam Na Gadaf.

Hawa Wamarekani Ni Wanafiki Jaman Mbona Hatutaki Kukubali!.

Mpinzani Wa Kiti Cha Urais Na Musevi Mpaka Sasa Yupo Kizuizini Hatakiwi Kabisa Kutoka Wala Huruhusiwi Kumuona, Lakn Museven Hajawekewa Vikwazo Ye Yuko Poa Tu.

TAMBUENI HILI.
Mtu Anapokulea Wewe Na Familia Yako Maana Yake Ni Kwmb, Hata Siku Akimuhitaji Mkeo Aje Kumfulia Hutoweza Kumzuia Coz Utaogopa Kesho Kunyimwa Misaada.
Tujitegemee Watz, Hata Marekani Wanashida Zao Lakn Wanajifanya Wajanja Kutusaidia Sisi.

Tufe Njaa Tu Lakn Misaada Yao Hatutaki.
 
ukimuona kuku kwa mganga ujue kaponzwa na rangi yake wacha watanganyika tukose msaada kwa ajili ya kikundi kidogo cha wavaa nguo za rangi ya mmea
 
Back
Top Bottom