Kufuatia tambiko Anna Kilango Karogwa? wengine ni Lowasa na Mbowe.

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,037
9,953
Siku chache baada ya kufanyiwa matambiko ya kienyeji ikiwemo kupewa uchifu kinyume cha mila na desturi za kinyantuzu, sasa amefukuzwa kazi. Wengine ni Lowasa alifanyiwa matambiko bariadi alivyotoka huko alifukuzwa uwaziri mkuu. Prof. Muhongo nae alifanyiwa tambiko hilo hilo kishapu nae alivyorudi alifukuzwa uwaziri. Mbowe nae alifanyiwa tambiko kishapu lililopelekea chadema kukosa hata mbunge mmoja usukumani.
 
Siku chache baada ya kufanyiwa matambiko ya kienyeji ikiwemo kupewa uchifu kinyume cha mila na desturi za kinyantuzu, sasa amefukuzwa kazi. Wengine ni Lowasa alifanyiwa matambiko bariadi alivyotoka huko alifukuzwa uwaziri mkuu. Prof. Muhongo nae alifanyiwa tambiko hilo hilo kishapu nae alivyorudi alifukuzwa uwaziri. Mbowe nae alifanyiwa tambiko kishapu lililopelekea chadema kukosa hata mbunge mmoja usukumani.
Hivi hayo unayonena yana ukweli?
 
Siku chache baada ya kufanyiwa matambiko ya kienyeji ikiwemo kupewa uchifu kinyume cha mila na desturi za kinyantuzu, sasa amefukuzwa kazi. Wengine ni Lowasa alifanyiwa matambiko bariadi alivyotoka huko alifukuzwa uwaziri mkuu. Prof. Muhongo nae alifanyiwa tambiko hilo hilo kishapu nae alivyorudi alifukuzwa uwaziri. Mbowe nae alifanyiwa tambiko kishapu lililopelekea chadema kukosa hata mbunge mmoja usukumani.
ana nyota ya ufagio, kafagiliwa, tumpe pole tu
 
Hivi hayo unayonena yana ukweli?
Mcheki Lowasa hapo
LOWASA.jpg
 
Mcheki hapo Mbowe akiwa kavaa zana za kuwalogea wana CHADEMA wasiwe wanambishia chochote.

it01.jpg
hicho kibuyu kinaitwa mbogoshi, ndiko shingila hutunzwa, hapo kwenye nguo nyekundu ni hirizi maalumu inayoitwa bugota
 
Wengine wanaanz usanii,eti ni team Lowasa alikuwepo Azania Front siku ya kutoa shukrani EL! Anaonekana msaliti! Siamini maana RAS asingetumbul asingetumbuliwa kama alikuwa analiwa timing kam kumchinja kobe
 
Hapo kazi ipo, hapo wakuu wa Wilaya na wakurugenzi wa maeneo husika wakae mkao wa kula!.
 
Ubunge kanyimwa na wananchi, ukuu wa mkoa kanyang'anywa na aliyempa sasa atafanya kazi gani mweeeeeeeee hurumaaaa
 
Back
Top Bottom