Ulitaka afe Nani?
Babako? Au mamako? Mtoto wako au mke wako?
Huyu amekufa kifo Cha kawaida wenzetu walikufa na kufukiwa 50 kwenye kaburi moja
Imeandikwa kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti
Mliyoyafanya October 29 mwaka Jana na bado mtalipwa .
Naona na Wanamtandao wameanza kufa Safi Sana hata mbuyu ulianza Kama mchicha
Tunashukuru kwa kidogo kitu Mungu ni wetu sote.
R.I.P ndugu zetu walikufa tarehe 29/10/2025 na kuzikwa makaburi ya pamoja
Kwa mujibu wa makubaliano ya muungano watanganyika wanatakiwa kuchukua ajira 79% na wazanzibar 21% tu kwenye secta zote zenye makubaliano ya kimuungano.
Lakini kwa Sasa ni tofauti kabisa wazanzibar wanachukua ajira mpaka kwenye halimashauri na zahanati za vijiji.
Tujiulize je Kuna...
Kuna muda unanichanganya mpaka unaogopa
Kwenye vikao vya ccm dodoma mwaka Jana nilijichanganya Sana aisee mpaka nilijuta.
Wasiwasi mwingi nimepima Mara 3 baada ya kutoka kule ila dodoma sio sehemu salama ukienda kule nenda kwa umakini lasivyo utakufa.
Ukimwi upo kila pahali ila dodoma Kuna...
Hawa BAKWATA Ni nani na walianzishwa na Nani na kwa maslahi ya Nani?
Rwanda wanaonaje mwezi kabla ya Zanzibar?
Uganda, Kenya na Burudi na Kongo Leo ni Idd
Lakini wao wanasema mpaka kesho
Kalenda ya nchi Leo inanyesha ni idd wao wanasema kesho.
Nauliza wapo kwa maslahi ya Nani Nani...
Niliamisha pesa zangu zote crdb baada ya mafisadi kuchezea mifumo kabla ya October mwaka Jana
Nilikuwa na milion 19 pale naenda kucheki salio asubuhi kupitia app nakuta inasoma 00 nilienda chap nikaamisha zote nikaenda kcb
Huu ni useng duh
Anaenda kupeleka propaganda na Kenya baada ya TANZANIA Uganda Burundi na Rwanda
KTN na The standard jipangeni kuzuia Uhuru wa Habari kupokwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.