Recent content by technically

  1. technically

    PostGE2025 Leo nimetonyeshwa kidonda kilichokuwa kinaelekea kupona, Moyo wangu unavuja damu

    Jamaa zangu wa karibu ninaofanya nao biashara wa 3 walikufa October 29 mwaka Jana. Aisee nasikia uchungu Sana Leo nimetoneshwa kidonda I'm so sorry nimekumbuka mambo mengi Sana ambayo nilikuwa nimeanza kuyasahau
  2. technically

    Hii vita ya Marekani na Washirika wake dhidi ya Iran ndio imeonyesha siasa ni unafiki duniani kote

    Ukiziondoa nchi Kama Spain,India,Brazil na South Africa ambazo zimejitenga na uongo na unafiki wa dunia. Nchi nyingi duniani zimeonyesha unafiki na mnafiki mkuu wa hii duniani ni Marekani. Imagine nchi inayoitwa ya kidemocrasia baba wa democracy mpaka Sasa vita mwezi kafukuza majenerali 8...
  3. technically

    Samia nakuonya Tena mwisho wako utakuwa mbaya Sana! Katiba iko wapi?

    Ulituambia ndani ya siku 100 utaanzisha mchakato wa katiba mpya, leo ni siku zaidi ya 150 Tuliona ukazuga na Warioba na kupiga picha ili akusafishe, Nakuonya kwa Mara ya mwisho ili la katiba nipo serious kidogo ukipuuza utakuwa na mwisho mbaya Sana. Watu wanataka katiba Tena Ile ya rasimu ya...
  4. technically

    Kutoka JamboTV: Kufa kwa TISS shida ni CCM au TISS yenyewe?

    Nauliza tu swali kufa kwa TISS je shida ni wenyewe au CCM?
  5. technically

    Diamond Platnumz: Sina itikadi za kutafuta sifa za kijinga kupondaponda serikali, mimi siyo mwanaharakati

    Huyu bado kidogo atasema kwanini alilala chumbani kwa pdiddy
  6. technically

    Wananchi wapuuza Ripoti ya CAG, Wadai zaidi ya porojo haina Tija yoyote, Wote wanaobainika kufanya ufisadi hawajawahi kuchukuliwa hatua yoyote

    Samia pengine ndiye rais mbovu kuwai kutawala duniani Imagine majibu mepesa Sana katoa Leo mpaka nimecheka badala ya kisikitika
  7. technically

    Kila mtu asome constitution of United States of America 🇱🇷 mtajifunza jambo kubwa sana

    Hii weekend tuache kunywa bia Tusome katiba ya mabeberu serious
  8. technically

    Kilichonikuta kwa wasichana wa bar

    Usimuonee huruma mwanamke Mwanamke ni shetani nyoka.
  9. technically

    Kuna mambo 21 tu ya muungano lakini katiba inavunjwa waziwazi

    Haki za watanganyika he ziko wapi kwenye hati ya muungano?
  10. technically

    ‘Tatizo la moyo’ na vifo vya viongozi: List inazidi kuwa ndefu, asili isihojiwe au kuna ya kusemea gizani?

    Wacha na moyo upumzike unabeba mengi Damu,mapenzi, kupumua, kolodani vyote vipo chini ya moyo Nao unachoka bwana
  11. technically

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Ulitaka afe Nani? Babako? Au mamako? Mtoto wako au mke wako? Huyu amekufa kifo Cha kawaida wenzetu walikufa na kufukiwa 50 kwenye kaburi moja Imeandikwa kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti Mliyoyafanya October 29 mwaka Jana na bado mtalipwa .
  12. technically

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Naona na Wanamtandao wameanza kufa Safi Sana hata mbuyu ulianza Kama mchicha Tunashukuru kwa kidogo kitu Mungu ni wetu sote. R.I.P ndugu zetu walikufa tarehe 29/10/2025 na kuzikwa makaburi ya pamoja
Back
Top Bottom