Recent content by technically

  1. technically

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Zitto Kabwe?

    Au ndio kulamba asali? Madeleka anateseka mwanachama wa ACT yeye kala buyu? Hivi Zitto atawaadaa watanzania mpaka lini?
  2. technically

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naombeni odd 2 nitafute pesa ya bia
  3. technically

    JamiiForums Tanzania Je, atajiuzulu kama wanavyotaka?

    Drama zinaendelea drama zinaendelea Wapili kaandikiwa barua ajiuzulu! Wapili kagoma! Je, watamfanya Nini? Je, wanajua kwanini anajiamini? Wanamtandao kazi mnayo mwaka huu mtauana na kumalizana.
  4. technically

    JamiiForums Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?

    Sidhani Kama ametuzidi akili watu wote milioni 70 Sidhani kama ni kweli sizani ni vile tunamchukulia poa hatumchukulii serious kulingana na haiba yake ya nje but kwa ndani anafanya mambo ya hatari. Bado namsoma soma huyu jamaa kuelekea siku za mwisho mwisho za kiutawala toka mwaka 1985-2026...
  5. technically

    JamiiForums Tanzania Je kudondoshwa Kwa mawakili wa Serikali takribani 10 na Lissu akiwa peke yake pale court of Appeal ina maana gani?

    Una akili sana maana kesi uwa zina review kesi za nyuma na maamzi yake
  6. technically

    JamiiForums Tanzania Waache Ufyatu: Haiwezekani CHADEMA Iwaume Zaidi

    Mzee unazeeka vizuri Sana hongera kwa kukataa kula matapishi Long live legendary!!
  7. technically

    JamiiForums Tanzania Waache Ufyatu: Haiwezekani CHADEMA Iwaume Zaidi

    Mzee unazeeka vizuri Sana hongera kwa kukataa kula matapishi Long live!
  8. technically

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Afcon 2027 kuota mbawa Tanzania, Rwanda kuchukua nafasi

    Tanzania mnavyo viko wapi 😁😁😁😁
  9. technically

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Afcon 2027 kuota mbawa Tanzania, Rwanda kuchukua nafasi

    Pigo jingine na nokauti kwa bibi msumi!!😁😁😁😁😁 Nitashangaa Kama ili kombe litaletwa bongo nitashangaa Nchi inayouwa watu zaidi ya 10000 na kufunga barabara na njia kila muda kuzuia maandamano. Nchi ambayo watu wanatekwa na kupotea Nchi inayowapa watu wake kesi za uaini na Hii afcon ikiltwa...
  10. technically

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amewaapisha viongozi wateule Ikulu ya Tunguu, Zanzibar, Julai 27, 2026

    Kashafika zenji next destination kwa maankoo 😃😃😃😃😃
  11. technically

    JamiiForums Tanzania Ukilewa usichat na usitoe hotuba, kongole wasaidizi kwa hili

    Duh mnaturudisha shule na fasihi za kiswahili wengine tulikimbia Siasa siasani
  12. technically

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Jipige kifua sema nilikula ada
  13. technically

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kuna mchawi mmoja alitabiri humu kuwa Spain bingwa Uzi wake tafadhari
  14. technically

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Hata on target moja hakuna 😄😄😄😄😄😄
  15. technically

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Dunia itafurahi Sasa ♥️♥️♥️♥️ timu Bora imeshinda
Back
Top Bottom