Je watafanikiwa ?
Baada ya kushindwa kupitia Samia na NCHIMBI kuwaadaa watanzania
Sasa wametengeneza misheni nyingine eti mgogoro wa Tanganyika na Zanzibar.
Hivi Kuna mzanzibar mwenye ubavu wa kuvunja Muungano?
Wakati Muungano ukivunjika 40% ya wazanzibar watarudi kwao na Wana baadhi ya...
Huyu mzee mpumbavu Sana Kwamba masaki ya Sasa hii iliyojaa nyumba za kizamani nayo ni ya kutishia watu? Matajiri sasahvi wapo kila sehemu
Mwambie aache ushamba aje morogoro kilombero uku watu wanauza Mchele milion 500 per day.
Watu wasiotembea wajinga Sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.