Jamaa zangu wa karibu ninaofanya nao biashara wa 3 walikufa October 29 mwaka Jana.
Aisee nasikia uchungu Sana Leo nimetoneshwa kidonda I'm so sorry nimekumbuka mambo mengi Sana ambayo nilikuwa nimeanza kuyasahau
Ukiziondoa nchi Kama Spain,India,Brazil na South Africa ambazo zimejitenga na uongo na unafiki wa dunia.
Nchi nyingi duniani zimeonyesha unafiki na mnafiki mkuu wa hii duniani ni Marekani.
Imagine nchi inayoitwa ya kidemocrasia baba wa democracy mpaka Sasa vita mwezi kafukuza majenerali 8...
Ulituambia ndani ya siku 100 utaanzisha mchakato wa katiba mpya, leo ni siku zaidi ya 150
Tuliona ukazuga na Warioba na kupiga picha ili akusafishe,
Nakuonya kwa Mara ya mwisho ili la katiba nipo serious kidogo ukipuuza utakuwa na mwisho mbaya Sana.
Watu wanataka katiba Tena Ile ya rasimu ya...
Ulitaka afe Nani?
Babako? Au mamako? Mtoto wako au mke wako?
Huyu amekufa kifo Cha kawaida wenzetu walikufa na kufukiwa 50 kwenye kaburi moja
Imeandikwa kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti
Mliyoyafanya October 29 mwaka Jana na bado mtalipwa .
Naona na Wanamtandao wameanza kufa Safi Sana hata mbuyu ulianza Kama mchicha
Tunashukuru kwa kidogo kitu Mungu ni wetu sote.
R.I.P ndugu zetu walikufa tarehe 29/10/2025 na kuzikwa makaburi ya pamoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.