Recent content by technically

  1. technically

    Kuna mambo 21 tu ya muungano lakini katiba inavunjwa waziwazi

    Haki za watanganyika he ziko wapi kwenye hati ya muungano?
  2. technically

    ‘Tatizo la moyo’ na vifo vya viongozi: List inazidi kuwa ndefu, asili isihojiwe au kuna ya kusemea gizani?

    Wacha na moyo upumzike unabeba mengi Damu,mapenzi, kupumua, kolodani vyote vipo chini ya moyo Nao unachoka bwana
  3. technically

    Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Ulitaka afe Nani? Babako? Au mamako? Mtoto wako au mke wako? Huyu amekufa kifo Cha kawaida wenzetu walikufa na kufukiwa 50 kwenye kaburi moja Imeandikwa kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti Mliyoyafanya October 29 mwaka Jana na bado mtalipwa .
  4. technically

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Naona na Wanamtandao wameanza kufa Safi Sana hata mbuyu ulianza Kama mchicha Tunashukuru kwa kidogo kitu Mungu ni wetu sote. R.I.P ndugu zetu walikufa tarehe 29/10/2025 na kuzikwa makaburi ya pamoja
  5. technically

    Kuna mambo 21 tu ya muungano lakini katiba inavunjwa waziwazi

    Kwa mujibu wa makubaliano ya muungano watanganyika wanatakiwa kuchukua ajira 79% na wazanzibar 21% tu kwenye secta zote zenye makubaliano ya kimuungano. Lakini kwa Sasa ni tofauti kabisa wazanzibar wanachukua ajira mpaka kwenye halimashauri na zahanati za vijiji. Tujiulize je Kuna...
  6. technically

    Kama sikupata UKIMWI pale, basi sitapata

    Kuna muda unanichanganya mpaka unaogopa Kwenye vikao vya ccm dodoma mwaka Jana nilijichanganya Sana aisee mpaka nilijuta. Wasiwasi mwingi nimepima Mara 3 baada ya kutoka kule ila dodoma sio sehemu salama ukienda kule nenda kwa umakini lasivyo utakufa. Ukimwi upo kila pahali ila dodoma Kuna...
  7. technically

    BAKWATA ilianzishwa na nani na ni kwa maslahi ya nani?

    Hawa BAKWATA Ni nani na walianzishwa na Nani na kwa maslahi ya Nani? Rwanda wanaonaje mwezi kabla ya Zanzibar? Uganda, Kenya na Burudi na Kongo Leo ni Idd Lakini wao wanasema mpaka kesho Kalenda ya nchi Leo inanyesha ni idd wao wanasema kesho. Nauliza wapo kwa maslahi ya Nani Nani...
  8. technically

    Msitoe pesa CRDB ATM ya Royal Dodoma. Ni wezi

    Crdb hii bank inakufa kijinga Sana kwa kuendekeza tamaa
  9. technically

    Msitoe pesa CRDB ATM ya Royal Dodoma. Ni wezi

    Niliamisha pesa zangu zote crdb baada ya mafisadi kuchezea mifumo kabla ya October mwaka Jana Nilikuwa na milion 19 pale naenda kucheki salio asubuhi kupitia app nakuta inasoma 00 nilienda chap nikaamisha zote nikaenda kcb
  10. technically

    Kassim Majaliwa: Moyo wangu utulie niseme Magufuli alikuwa kiongozi Mzalendo

    Hawa ndio waliotufikisha hapa Shame !!
  11. technically

    Rostam Aziz anunua kampuni ya Nation Media Group ya Kenya

    Huu ni useng duh Anaenda kupeleka propaganda na Kenya baada ya TANZANIA Uganda Burundi na Rwanda KTN na The standard jipangeni kuzuia Uhuru wa Habari kupokwa.
  12. technically

    Inachezwa chini ya maji mno

    Wanamtandao ni ngumu Sana kuwadondosha Labda nature iseme inatosha sawa Tulishindwa October 29 sizani Kama itajirudia
Back
Top Bottom