Drama zinaendelea drama zinaendelea
Wapili kaandikiwa barua ajiuzulu!
Wapili kagoma!
Je, watamfanya Nini?
Je, wanajua kwanini anajiamini?
Wanamtandao kazi mnayo mwaka huu mtauana na kumalizana.
Sidhani Kama ametuzidi akili watu wote milioni 70
Sidhani kama ni kweli sizani ni vile tunamchukulia poa hatumchukulii serious kulingana na haiba yake ya nje but kwa ndani anafanya mambo ya hatari.
Bado namsoma soma huyu jamaa kuelekea siku za mwisho mwisho za kiutawala toka mwaka 1985-2026...
Pigo jingine na nokauti kwa bibi msumi!!😁😁😁😁😁
Nitashangaa Kama ili kombe litaletwa bongo nitashangaa
Nchi inayouwa watu zaidi ya 10000 na kufunga barabara na njia kila muda kuzuia maandamano.
Nchi ambayo watu wanatekwa na kupotea
Nchi inayowapa watu wake kesi za uaini na
Hii afcon ikiltwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.