Recent content by technically

  1. technically

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton: Kuna connection gani Kati ya Mawakili wa Serikali na Mhe. Lema?

    Uongo uwa hauna muda mrefu You can fool people sometimes but...........
  2. technically

    JamiiForums Tanzania Marry Nchimbi ni nani?

    Kuna kada wa CCM anaitwa Marry Nchimbi kafariki kibaha Je Marry Nchimbi ni nani? Mwenye CV yake
  3. technically

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amtuhumu Lema kuishi sea cliff kwa miezi miwili sasa

    Kwani uongo pale Chadema mpinzani ni Lissu tu Ata Heche ni project ya TISS Mnyika mtumishi mtiifu wa TISS Yule dada pia mtumishi Lema amekuwa shushushu wa muda mrefu toka wakina David kafulila, Zitto, slinde, mkumbo, sema wabongo ni wajinga Subirini ya Maria salungi na Hilda network...
  4. technically

    JamiiForums Tanzania Maoni: Yaitishwe maandamano nchi nzima ili tuambiwe yupo wapi Nchimbi.

    Naunga mkono hoja Huu udenge wa Samia unatakiwa kukoma
  5. technically

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    Anawapigania yupo kajificha marekani Mwenzie Lissu yupo front Nani mwenye uchungu Kati ya Mange na Lissu Watu tunapigania mifumo ambayo itaishi 200 years Mange ana chuki tu Hana tofauti ya Zitto, Fatma Karume na Mbowe. Ni vile watanzania ni wajinga tu hawawezi kujua nani mtumishi wa...
  6. technically

    JamiiForums Tanzania Wakuu Tusipuuze ishu ya Dr. Emmanuel Nchimbi na taarifa zinazoitwa za Upotoshaji, mambo huwaga hivi hivi …..

    Wanaendaga hivi hivi ila kwa huyu akipotea Nchii hii haitokaa itawalike
  7. technically

    JamiiForums Tanzania Msishangae wakuu wa majeshi wakapanga safari kukimbia kesi

    Hii kesi imefika patamu Sana
  8. technically

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Nyerere alikuwa rais akiwa na miaka mingapi?
  9. technically

    JamiiForums Tanzania Watu walipotea au kufa kwa utata chini ya utawala wa CCM toka 2010-2026

    Wote Hawa ni either waliuwawa, walipotezwa au kufanyiwa umafia toka mwaka 2010 1: Mwangosi 2: Deo 3: Akwilina 4: Ben Saanane 5: Lwejabe 6: Mdude 7: Mawazo 8: Pole pole 9:Mhagama 10: Soka 11: Ndungai 12: Lowassa 13: Mahinga 14: Kijazi 15: Mfugale 16: Mfugale 17: Membe 18: Magufuli Hawa wote...
  10. technically

    JamiiForums Tanzania Kabla JK hajajitokeza kwenye shughuli yoyote lazima zitangulie kwanza taarifa za ugonjwa au msiba fake

    Kikwete atakufa tu na yeye hata Kama sio Leo ila atakufa Kama alivyoua watu October 2025. Israel atamchukua tu na siku iyo nikiwa sijafa nitafanya sherehe wiki nzima kusherekea kifo chake.
  11. technically

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe muda unaopoteza Kumnanga Mchezaji Chama ungeutumia kujifunza Kiingereza kinachokusumbua mno ingesaidia

    Jibu swali wachina,warusi na waarabu nao ni washamba wajinga kwa kutokujua kingereza?
  12. technically

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe muda unaopoteza Kumnanga Mchezaji Chama ungeutumia kujifunza Kiingereza kinachokusumbua mno ingesaidia

    Kwamba ukiongea kingereza, unyi, uli, ufi Africa mna mentally za kipumbavu sana Tofauti ya kingereza na kisukuma ni Nini nambie Kwahiyo wachina ambao hawawezi kuongea kingereza nao ni wajinga ??
  13. technically

    JamiiForums Tanzania Siri za nchi ni zipi (mambo ya aina gani)

    Hivi ugonjwa ni Siri?
  14. technically

    JamiiForums Tanzania Siri za nchi ni zipi (mambo ya aina gani)

    Unaficha afya yako ili iweje kwa mfano mfano una ukimwi unaficha ili iweje ? Uambikize watu?
Back
Top Bottom