Recent content by technically

  1. technically

    JamiiForums Tanzania Kuwasha subwoofer kwa sauti kubwa sio dalili za umasikini?

    Miaka hii ya 2026 watu wanatumia smart tv na unlimited wifi bado Kuna watu wanarusha miziki kwenye vibanda na kuja kusumbua wengine wasilale usiku Hivi hii tabia ya kununua sabufa na kufungulia mziki mkubwa ndani na kusumbua watu waliopo nje au majirani Wengine unakuta wamepanga vyumba vya...
  2. technically

    JamiiForums Tanzania Kiherehere cha Rio Fernand kiwe Fundisho kwa Wengine

    Sijawai kuona mwingereza mjinga hivi Halafu watanzania sisi hasa waandishi ni wapumbavu Sana Kiufupi hatuna nchi kwa Sasa ni magenge tu ya wahuni.
  3. technically

    JamiiForums Tanzania Heche: Tundu Lissu alipewa chungwa kidogo, papai, kipande cha nanasi na embe. Alipomaliza kula, tumbo likaanza kumuuma vibaya

    Hii kitu Samia anatengeneza itamgarimu Sana kizazi chake
  4. technically

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Matwakooo yako
  5. technically

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Leo nimetonyeshwa kidonda kilichokuwa kinaelekea kupona, Moyo wangu unavuja damu

    Jamaa zangu wa karibu ninaofanya nao biashara wa 3 walikufa October 29 mwaka Jana. Aisee nasikia uchungu Sana Leo nimetoneshwa kidonda I'm so sorry nimekumbuka mambo mengi Sana ambayo nilikuwa nimeanza kuyasahau
  6. technically

    JamiiForums Tanzania Trump atishia kuiangamiza Iran usiku wa leo kama hawatofanya maamuzi ya Makubaliano kabla ya muda uliowekwa kuisha

    Atapigika Kama vetinam,😀😀😀😀😀😀
  7. technically

    JamiiForums Tanzania Hii vita ya Marekani na Washirika wake dhidi ya Iran ndio imeonyesha siasa ni unafiki duniani kote

    Ukiziondoa nchi Kama Spain,India,Brazil na South Africa ambazo zimejitenga na uongo na unafiki wa dunia. Nchi nyingi duniani zimeonyesha unafiki na mnafiki mkuu wa hii duniani ni Marekani. Imagine nchi inayoitwa ya kidemocrasia baba wa democracy mpaka Sasa vita mwezi kafukuza majenerali 8...
  8. technically

    JamiiForums Tanzania Samia nakuonya Tena mwisho wako utakuwa mbaya Sana! Katiba iko wapi?

    Ulituambia ndani ya siku 100 utaanzisha mchakato wa katiba mpya, leo ni siku zaidi ya 150 Tuliona ukazuga na Warioba na kupiga picha ili akusafishe, Nakuonya kwa Mara ya mwisho ili la katiba nipo serious kidogo ukipuuza utakuwa na mwisho mbaya Sana. Watu wanataka katiba Tena Ile ya rasimu ya...
  9. technically

    JamiiForums Tanzania Kutoka JamboTV: Kufa kwa TISS shida ni CCM au TISS yenyewe?

    Nauliza tu swali kufa kwa TISS je shida ni wenyewe au CCM?
  10. technically

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz: Sina itikadi za kutafuta sifa za kijinga kupondaponda serikali, mimi siyo mwanaharakati

    Huyu bado kidogo atasema kwanini alilala chumbani kwa pdiddy
  11. technically

    JamiiForums Tanzania Wananchi wapuuza Ripoti ya CAG, Wadai zaidi ya porojo haina Tija yoyote, Wote wanaobainika kufanya ufisadi hawajawahi kuchukuliwa hatua yoyote

    Samia pengine ndiye rais mbovu kuwai kutawala duniani Imagine majibu mepesa Sana katoa Leo mpaka nimecheka badala ya kisikitika
  12. technically

    JamiiForums Tanzania Kila mtu asome constitution of United States of America 🇱🇷 mtajifunza jambo kubwa sana

    Hii weekend tuache kunywa bia Tusome katiba ya mabeberu serious
  13. technically

    JamiiForums Tanzania Kilichonikuta kwa wasichana wa bar

    Usimuonee huruma mwanamke Mwanamke ni shetani nyoka.
Back
Top Bottom