Recent content by technically

  1. technically

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Messi na Ronaldo kazi wanayo
  2. technically

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ila wakuu tuache siasa hii timu mh ndio timu iliyokamilika kuliko timu zote this time
  3. technically

    JamiiForums Tanzania Haijalishi 7/7 yawepo au yasiwepo. Tayari yashakuwepo

    Tushaandamana bila kuandamana
  4. technically

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Mh hivi Kuna team ya kuwazuia France na Argentina kucheza Tena final mwaka huu sijaona na France ni bingwa mwaka huu
  5. technically

    JamiiForums Tanzania CAG Mstaafu Prof Mussa Assad: Kuna Waziri Kijana ana ukwasi wa kutisha miaka mitano tu madarakani!!

    Hapa anayetajwa ni kondakita sio rizimoko
  6. technically

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Huyu mzee Kama vile ana miaka 23
  7. technically

    JamiiForums Tanzania Baada ya misheni ya bifu Kati ya Samia na NCHIMBI kubuma Sasa TISS wamekuja na misheni ya Muungano

    Je watafanikiwa ? Baada ya kushindwa kupitia Samia na NCHIMBI kuwaadaa watanzania Sasa wametengeneza misheni nyingine eti mgogoro wa Tanganyika na Zanzibar. Hivi Kuna mzanzibar mwenye ubavu wa kuvunja Muungano? Wakati Muungano ukivunjika 40% ya wazanzibar watarudi kwao na Wana baadhi ya...
  8. technically

    JamiiForums Tanzania Nchi hii inatia hasira bila kwenda road hakuna kitu kitabadilika

    Watu walikufa wakiwa ndani kifo uwa kikifika kimefika tu
  9. technically

    JamiiForums Tanzania TANZIA RPC wa TABORA ACP Richard Abwao afariki dunia

    Moto wa milele na ukamwangazie na umuchome Eeh Bwana. Wote na tuseme Amen🙏🙏🙏
  10. technically

    JamiiForums Tanzania Nchi hii inatia hasira bila kwenda road hakuna kitu kitabadilika

  11. technically

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Ufaransa 3-1 Senegal | World Cup 2026 | MetLife Stadium | 16 Juni, 2026

    French or Portugal
  12. technically

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu referee siyo Mmoroko kweli? Anyway Senegal nanyi mtumie na akili si nguvu peke yake

    Huyu refa kanyooka Kama rula hataki mbeleko na kujilaza hahahahha Bonge moja la mechi
  13. technically

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Spain 0-0 Cape Verde | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium (Atlanta, GA) | 15 Juni, 2026

    😀😀😀😀😀😀😀
  14. technically

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Kama huna hela usije Masaki

    Huyu mzee mpumbavu Sana Kwamba masaki ya Sasa hii iliyojaa nyumba za kizamani nayo ni ya kutishia watu? Matajiri sasahvi wapo kila sehemu Mwambie aache ushamba aje morogoro kilombero uku watu wanauza Mchele milion 500 per day. Watu wasiotembea wajinga Sana
Back
Top Bottom