Recent content by teamasala

  1. teamasala

    A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

    🤣ME, msitufanyie ivo jamen
  2. teamasala

    Tujuzane mwenzenu nimeponea chupu chupu, je hali hii na kwenu Ipo?

    Mimi poa imenichapa hii ila mi sikupata mafuanbadala yake nikapata kikohozinkikavu kikali kilivjoambatana na koo kuwasha na vjafya kali kilichodumu kwa zaidi ya wiki na kichwa kuniuma kila siku asubuhi, usiki ni jasho jingi mno kama nimemwagiwa maji, natumia asali kitunguu saumu tangawizi na...
  3. teamasala

    Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

    Mimi binafsi sio mtaalamu wa maswala ya ndoa wala ila kwa experience niliyo nayo ya miaka niliyopo, nimegundua ndoa inaweza kukuharibia au kukutengenezea big time. Unajua kila binadamu ana maono yake hata kabla hajaingia kwneye ndoa. Nilichojifumza mm ndoa haitakiwi kuwa sehemu ya kufulfil...
  4. teamasala

    Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

    Hapa umeiweka vizuri, ni kweli. Kuna wakati ata mimi nikiona nafanya sana nusu kwa nusu nayeye najikuta namwambia baba fanya majukumu yako( sisi wanawake kuna ile unasikia ukiamsaidia sana unakua kama umebeba majukumu ya mume na ataacha kufanya) so kuogopa iyo kuna muda ata mm nasema ili...
  5. teamasala

    Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

    Sasa kwa mentality hii ata wewe ukiwa na mtoto wa kike utaweza kumwekezea kweli?? Mwombe Mungu tu upate mtu sahihi mbaye atakuchukulia mapungufu yako na wewe utamchukulia mapungufu yake kwani hakuna aluye mkamilifu katika hii dunia. Ndoa ina nyakati za furaha na nyakati za misukosuko na hayo...
  6. teamasala

    Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

    Mi sijui mnakutanaga na wanawake wa dizaini gani yaani tttu!! Mfano mimi nimelewa na mwanzo wa maisha yetu mr ndio akikua na kipato kuzd mm, ila saiv mm namzidi, mali tumechangia kuzitafuta kwa pamoja, ada za watoto analipa term mbili na mm namalizia mbili. Matumizi ya nyumbn menginemengine...
  7. teamasala

    Jinsi ya kutambua simu fake bila kuumiza kichwa

    kwa Kwa Kwa ufupi ili bandiko linayuambia indirect simu ni iphone tu 😁😂😂😂
  8. teamasala

    KERO Wafanyabiashara ya chakula acheni kurudisha mabaki

    Bado hujasema wale wauza nyama choma yaani wanashika nyama kw amkono wanakata kwa mkono wanaweka kwenye sahani ya mteja kwa mkono😤 ni huzuni.
  9. teamasala

    Huyu ni Ferooz, kumbe kweli uzee upo

    😂😂ila jamii forum 🤣
Back
Top Bottom