Recent content by Team JPM

  1. T

    Hii ni kwa wale wanaopenda riwaya pendwa: Je, ni muhusika gani umpendaye kati ya Joram Kiango na Willy Gamba?

    Hata kama waliiga, wakufanya kazi kubwa kuakisi uhalisia. KIKOMO kuhusu wizi WA almasi Mwadui, na vingine vingi. Willy Gamba, Hana mfano. Tukimpata Jasusi mmoja Tu mwenye uwezo WA Gamba, Taifa , litasonga mbele. Uzalendo Kwanza. Kongole Kwa mtunzi hata kama alinakili
  2. T

    PostGE2025 Wasifu (CV) wa Naibu Waziri wa Elimu, Wanu Hafidh Ameir sijauelewa kabisa

    Hakuna chuo kinaitwa Online Open University of Tanzania. Atueleze alikosoma
  3. T

    CHAUMMA imefanikiwa kisiasa kwa zaidi ya 100%

    Ulikuwa na jina kubwa na heshima mitandaoni, Kwa Vijana na Wana mapinduzi. 'HERI JINA JEMA KULIKO MARIHAMU NZURI' wewe umechagua Shekeli badala ya jina.
  4. T

    Salamu za Shukrani kwa Wanachama wa JamiiForums

    WAlioomba ufafanuzi ulikuwa mtego, Mello au Mod mwingine yeyote angejitokeza kutoa kauli, ingekuwa NI kesi kubwa kwamba amekiuka zuio Kwa kuendesha JF. Mshana arejeshe Ile namba, uchangiaji ufanyike lakini Mello au Mod wakae kimya ili kutojiingiza matatizo. Pia anayetuma, asitumie namba yake...
  5. T

    Walimpa kocha nafasi ya kusajili na bado kawakimbia, simba bado wana akili za kitoto.

    Akili hazikutoshi au NI QT Class. 1. Umesema kocha kawaleta wachezaji anaowataka kisha akasema aliowataka wameenda Yanga 2. Umesema ameikimbia Simba alaf unasema ana uwezo mdogo. Dogo, Fanya application VETA nafasi NI chache.
  6. T

    UDSM mwaka huu kuna nini?

    1 ya 5 alaf analalamika, pale wanaenda clean tupu, Triple A.
  7. T

    Sijui kwanini Magufuli alilivunja jengo la TANESCO-Ubungo, pengine Polepole atujuze!

    Upande mmoja jengo la Tanesco, upande WA pili Tenki la maji. Vyote viliondolewa kupisha Barbara. Hadi stendi ya daladala ilihamishwa. Zingine NI porojo Tu, sababu NI za kimsingi wala hakuna hujuma
  8. T

    Simba kumuaga Mkude ni kumnanga na kujikosha tu, asikubali

    Club kuwaaga wachezaji NI heshima kubwa. Hata Chama alipaswa aunganishwe kwenye Hilo tukio. Walipohamia Yanga, isingekuwa rahisi kuwaaga. Kwa sasa NI Jambo jema. Mchango wao kwenye Simba ulikuwa mkubwa Sana. Tena pamoja na zawadi za club. Wanachama pia waruhusiwe kuwapa zawadi. Pamoja na...
  9. T

    Kwanini wanawake wakizeeka ndo wanakuja jukwaa hili kutafuta wenza?

    Jamii forum iWE na muongozo WA kuzuia unyanyapaa, udhalilishaji na mashambulio ya kijinsia. Kizeeka hakuna jinsia. Hivi karibuni kumekuwa na nyuzi nyingi za kuwadhalilisha wanawake, Mods, msiruhusu hili likaota mizizi. Hili NI jukwaa huru Kwa wote
  10. T

    Kuhama kituo cha kazi kutoka mkoa X kwenda mkoa Y ndani ya taasisi moja

    Utafuta kazi, ukapata kazi, kafanye kazi. Hayo mazingira magumu, walioko huko wamekufa?. Wenzio hata hiyo nafasi hawana, Acha madeko
  11. T

    Mtaalamu wa virus kwa computer anahitajika

    Kaspersky ndiyo ant virus, sasa unataka ant virus ipi tena?
  12. T

    Timu ya wananchi Yanga rasmi imetambulisha jezi zao za msimu ujao 2025-2026

    Mwaka huu mmezingua, labda ubize WA kusaka uBunge. Hizi jezi itabidi mzibadilishe Tu maana NI aibu Kwa timu na nchi pia
  13. T

    Tusilee ujinga, nilipogundua hii dawa akaondoka mwenyewe na hana hamu tena

    Haukuwa muungwana, kidato cha Nne ukashindwa kumlipia hata VETA?. Unamshika makalio shemeji yako, huo NI ujinga haupaswi kujitangaza
Back
Top Bottom