Recent content by Team JPM

  1. T

    Serikali hasa TAKUKURU tuambieni nani amekula fedha za vijana wa timu ya taifa under 15? Wameshinda milioni 180 wamepewa elfu 20 wakatelekezwa na TFF

    Nape na Msigwa ingilieni hili suala, vijana walipwe japo Mil 1 kwa kila mmoja. Kama mlivyokuwa active kwenye tuzo za wasanii, tambueni kwamba mpira pia ni sanaa. Nasema, walipwe pesa zao
  2. T

    Bila Mzee Jakaya Kikwete leo tusingekuwa na UDOM

    Kila Rais kuna kitu alianzisha, hivyo njoo taratibu na hiyo mbeleko ya JK.
  3. T

    Chama cha Walimu (CWT) kitapata wapi ujasiri wa kutetea msalahi ya Walimu?

    Safi sana, Mwenyekiti wa C.C.M Kagomea uwanja alaf Mgeni Rasmi kautosa mwaliko.
  4. T

    Kwanini Viongozi wakiwa ziarani Mtwara hawaendi kuzuru kaburi la hayati Benjamini Mkapa?

    Tena kadri tunavyokaribia uchaguzi, watazuru sana Chato. Na yale maadhimisho yaliyozimwa mwaka huu, mwakani yatafanyika kwa kiwango cha SGR.
  5. T

    Peter Madeleka awaburuta Mahakamani Jaji Biswalo Mganga na Kamishina wa uhamiaji Anna Makakala

    Katika Taaluma ya Sheria, unafungua kesi ngumu anbayo itakutangaza kibiashara ili kuvuta wateja wa kesi za kawaida. Hata ukishindwa na jamhuri lakini unapata faida ya kujitangaza na kufahamika kwa wadau
  6. T

    Haki huyu ndie mwalimu SIMBA tuliyemhitaji

    Tatizo ni kumwamini Onana kuliko Chama. Nafasi nyingi zinapotea kwa uzubavu wa Onana. Sub ya Mikson dakika za majeruhi, angeingia Kenedy Wilson Juma ili kuimarisha ukuta
  7. T

    Jinsi polisi walivyonusuru maisha yangu last night

    Rudi nchini, huko hapakufai kabisa. Bora kulala njaa penye amani na usalama kuliko shibe penye shari na uhatarishi
  8. T

    Kwanini wakurugenzi wa makampuni makubwa ni Wahindi?

    Wahindi ni wasimamizi wazuri. Biashara zao tangu babu hadi mjukuu hazifi. Akiuza penseli anadumu na hiyo biashara na kuibobea kwelikweli. Sisi wabongo, machungwa yakimlipa, anaanzisha mapapai, baadae ananunua bodaboda kisha Hiace alaf hiace ikifa ndo mwisho wa biashara. Wao huendeleza...
  9. T

    Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

    Chukua kagombee ubunge CCM, UKIPATA UKAWA WAZIRI ZINARUDI NDANI YA MWAKA, UKIKOSA UKAKUWA MGANGA WA KIENYEJI AU KUFUNGUA KANISA, ZITARUDI FASTA
  10. T

    Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8

    Andiko lako litasaidia kuwabadilisha tabia?
  11. T

    Naomba kujua namna ya kuonana na Maofisa wa Waziri Mchengerwa

    Nenda moja kwa moja utumishi. Muombe PS akuruhusu kuonana na Mh. Waziri, ingawa mtendaji Mkuu ni Katibu Mkuu na anaweza kukusaidia. Pia ukifika Dodoma ukakwama kumuona, usirudi patupu. Wapo wakurugenzi wa kila nyanja. Pale Mtumba na UDOM pia. Tatizo lako linaweza kutatuliwa na Wasaidizi wa...
  12. T

    Tuzo Ndg. Yeriko Nyerere itupe funzo kuthamini 'big brains' wa ndani ya nchi

    Hongera Kijana Yeriko Nyerere, kelele zisikurudishe nyuma. Andaa toleo la pili la UJASUSI WA KIELIMU, UJUZI NA TEKINOLOJIA. UTHUBUTU NI VITENDO SIO MANENO
  13. T

    Mambo 11 niliyoyaona Simba vs Gwanengy Galaxy leo

    Kiwango cha Simba leo kimeongezeka. Mechi ijayo, ushindi mnono
  14. T

    Majengo haya yana wapangaji?

    Uhakiki ufanyike ili majengo ya serikali yasiyo na matumizi yapangishwe au yauzwe
Back
Top Bottom