Hii kitu hainaga dawa specific, allergies kila binadamu anayo kwenye mwili wake na uamka wakati wowote mwili unapokutana na reaction itakayoamsha hiyo allergy , la msingi ni kugundua/kutambua ni kitu gani au mazingira gani yamechochea kuamsha hiyo hali na wewe kufanya njia ya kuepukana nayo ...
Uzi mkali wewe kweli mpenzi wa muziki wa dansi, hapo kwa Rajab Zomboko wa Radio 1 pia Ijumaa kipindi cha HIZI NAZO kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 7 mchana
Binadamu hawatabiriki mkuu, sasa soma habari ya PM leo kuhusu huyu Mkurugenzi amesimamishwa pamoja na wenzake kama 6 na wana tuhuma za kujibu
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/majaliwa-aagiza-kusimamishwa-kazi-watumishi-jiji-la-mwanza-4388862
Akishaamua hata ukipeleka watakupinga kwa idadi yao tu, kwani mangapi umeona wanayapinga na kuyapitisha kibabe? Lakini yakiwachachia ndio unakuta wanarudi tena na ukiwaambia tulisema kuhusu haya mkatukatalia utaambiwa wewe sio mzalendo, kuna mtu aliitwa mpaka tumbili mule au umesahau?
Walikuwa wanaitwa KIMULIMULI
Wimbo unaitwa Kisa cha Foto Album
Chini ya uongozi wake Ali Zahir Zoro
Search kwa You Tube utapata ulikuwa wimbo mzuri sana nakumbuka baadhi ya mistari:
Wameniambia mambo yako mama eee
Wamenieleza matatizo ya mume wako eee
Na kisa cha we Sheri Zinduna kufika...
Mkuu naomba utusaidie kutudadavulia haya maneno kwa lugha yetu adhimu tupate kuelewa:
"He pointed out that two new laws enacted by parliament earlier this year, the Natural Wealth and Resources (Sovereignty) Act and the Unconscionable Terms Act have changed the whole investment environment that...
Kawaida tu mbona hata wakubwa wake kwenye chama hutumia neno 'Pumbavu' Mara ya kwanza nilimsikia Ben akiwaita wapinzani hivyo na juzi nimesikia mkuu wa kaya akisema neno hilo pia kule Arusha
"real G, post: 23647010, member: 123875"]Mbunge wa Mtama ameseikia akimuwakia mtu aliyekuwa akimuuliza...
Si kweli mkuu, hata Tanzania kusajili kampuni ni 24 hrs labda uniambie kuanza kufanya kazi(Operations) mpaka upate vibali vingine kutoka mamlaka mbalimbali kuhusiana na biashara yako UOTE="mdukuzi, post: 11906447, member: 194966"]nani kasdma hataki quality control na matusi ya nini,tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.