Recent content by TCleverly

  1. TCleverly

    Stats Show Liverpool's DANIEL STURRIDGE is better than SUAREZ,RONALDO,MESSI,IBRAHIMOV IC!!!!!

    umesoma hizo stats?? ziko wazi mkuu dogo yuko vizuri
  2. TCleverly

    Stats Show Liverpool's DANIEL STURRIDGE is better than SUAREZ,RONALDO,MESSI,IBRAHIMOV IC!!!!!

    wakati TORRES akiwa Liverpool alikuwa striker hatari sana alivyoenda Chelsea akawa expensive flop.....Sturridge alivyokuwa Chelsea alikuwa anaonekana flop,kaja Liverpool he is now the real deal...kuna nini hapo?
  3. TCleverly

    Stats Show Liverpool's DANIEL STURRIDGE is better than SUAREZ,RONALDO,MESSI,IBRAHIMOV IC!!!!!

    Statistics show Liverpool's Daniel Sturridge is real deal as a striker The man who has a better league goalscoring rate than his team-mate Luis Suárez could boost England's World Cup hopes Daniel Sturridge celebrates scoring Liverpool's third goal in the...
  4. TCleverly

    Yanga vs wamisri kila goli mil 50!!chezea manji

    hio 50m inagawanywa kwa wachezaji wote au kwa mfungaji tu?
  5. TCleverly

    My dad watu 8......

    Mentor kumbe hata mabazazi mna madada??
  6. TCleverly

    Kwa nini wanawake hupenda kuvaa nguo fupi?

    dah kama uko hivi vaa tu nguo fupi wasiopenda wajinyonge......enzi hizo walikuwa wanavaa vipande vya ngozi vinafunika papuchi na dushelele ------ na matiti wazi....huo ndi ulikuwa utamaduni ukoo mzima sasa mini skirt si kawaida tu?
  7. TCleverly

    Huwa mnavumiliaje hii?naelekea kushindwa

    hebu muulize akimuandikia sms baba ake,mama ake au bosi wake kazini anatumia lugha hio ya xaxa,xiku,ctaki,nixasehe?? kama jibu ni NDIO basi amepinda huyo msamehe.....kama jibu ni HAPANA ina maana anakudharau/hakuheshimu unatakiwa umuadabishe.
  8. TCleverly

    For those who fall in love with someone here

    you must be dumb to fall in love with avatar and comments.
  9. TCleverly

    Tamaa Itanimaliza Jamani

    kwani huna mtu wa kumpa mzigo???
  10. TCleverly

    Siri ya kuwa huru kwenye ndoa

    mbona mimi sijaoa lakini sirudi kwangu saa kumi na moja?weekend chache sana naweza kurudi saa saba/nane. watu wengine hawakui,ushaoa bado unataka uishi kama teenager ushamba huo!!!
  11. TCleverly

    Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    Mimi nimepanda ndege za masafa tu...ba,klm,swissair,emirates.....sikupata tabu yoyote kwasababu nilisimuliwa na kuona vingi kwenye tv/movies....lakini sijawahi kui-enjoy wala sitakuja ku-enjoy flight.... Napanda coz i have to....safari za local nita-drive au kupanda bus....i hate flying,kitu...
  12. TCleverly

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    we acha tu sijui wanafikiri angeenda man city au chelsea angelipwa pound 50,000 kwa wiki??? Rooney is a defender,midfielder,striker rolled into one....he is our symbol now....when you see rooney you see manchester united.
  13. TCleverly

    Nawaza Tu: Ukimpata mpenzi wa hivi

    if you dont return the favour,its just a matter of time before she stops doing what you need either in the name of love or whatever.
  14. TCleverly

    Nawaza Tu: Ukimpata mpenzi wa hivi

    thank you....BIG LIKE my 'like' button imepotea for some reasons i dont know! the last time i liked someone's post was 3 weeks ago and i feel bad when someone like my post and i cant do the same to their useful post!
Back
Top Bottom